Maswali kwangu hua hayaishi nahitaji nipate ufahamu,
Ndugu zangu naomba nipewe elimu juu ya ubatizo wa kweli ni upi? Je, maji mengi au maji machache?
Maana haya mambo lazima tupeane elimu mapema ili watu wafahamu,
Najua waliobatizwa kwa maji mengi wataelezea na waliobatizwa kwa maji machache wataelezea ili nielewe,
Ndugu zangu naomba nipewe elimu juu ya ubatizo wa kweli ni upi? Je, maji mengi au maji machache?
Maana haya mambo lazima tupeane elimu mapema ili watu wafahamu,
Najua waliobatizwa kwa maji mengi wataelezea na waliobatizwa kwa maji machache wataelezea ili nielewe,