Habari JF.
This goes to Makonda.
Tukicheka na hivi vijumuia vinavyojiita vya wanawake vitatusumbua sana mpaka kwenye ndoa zetu.
Kama kweLI wapo serious waanze kujikemea wenyewe wanavyojidharirirsha kwenye miziki kwa kucheza uchi na kuruhusu kushikwa shikwa ovyo.
Wengi wao wanavaa nusu uchi...
Hii ipo karibu halmashauri nyingi sana nchini.
Pesa ZINACHOTWA nchi hii kwenye kiwango cha kutisha.
Akina Kinana na Nchimbi kazi yao ni kumbeza Makonda, wakati wao hakuna jipya wanalofanya kusaidia wizi.
NCHI INALIWA VIBAYA
Huyu alikuwa anakatika mbele ya Rais Mwinyi mwezi uliopita na Rais anakenua meno.
HAFANYI HIVI KWA BAHATI MBAYA, TAYARI KACHUKUA PESA YA KUTOSHA KUTOKA KWA WANAOUPIGANIA USHOGA.
Habari wanaJF.
Hii makala ni kwa waziri wa kilimo ndg Hussein Bashe.
UWAMIGO SAVING AND CREDIT COOPERATIVE SOCIETY LIMITED yenye namba ya usajili PRI-MRG-KLS-DC-2023-5249, inapatikana kijiji cha Mbigiri wilaya ya Kilosa mkoani Morogoro.
SACCOS hii ina wanachama zaidi ya mia nne(400) ambao kwa...
Habari wakuu,
Hii ripoti ilisababisha mvutano mkubwa na mpaka wanaojitambua kutaka kulazimisha bunge kuijadili kabla ya muda wake.
Hivi wale walichezea pesa zetu, kodi zetu kwa maslahi yao na familia zao wamechukuliwa hatua gani? Au ni siri na hatupaswi kufahamu?
Tuliambiwa tusubiri bunge la...
WALIOSABABISHA UPUUZI HUU WAPO NA WANAENDELEA KULIPWA MSHAHARA, WAKATI YULE MFANYAKAZI WA MKULAZI ANAYESEMEKANA ALIIBA VIFAA VYA KIWANDA AMESHAPIGWA RISASI NA KUUAWA.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.