Recent content by taurus5270

  1. T

    Nauza Samsung Galaxy Tablet 2 10.1

    MODEL ni GT P5100 16GB. Ipo katika hali nzuri inatumia line ya simu ya kawaida mtandao wowote, ina memory card hole, ukinunua nakupa na case cover yake + charger! Ni kama mpya imetumia mda mfup tu. Bei 550,000/= maongezi yapo! DM me or call this number 0713998399
  2. T

    Nyumba / chumba / vyumba vya kupanga au mtu wa kushare nae nyumba

    Hello nimejaribu kutafuta nyumba maeneo ya mjini kama sinza, kijitonyama, makumbusho mikocheni nk. inakuwa ngum, wenye nyumba weng wanataka kod ya mwaka, bajet yangu ni lak 2 au 1.5 kwa miez 6. So kama kuna mwenye interest tunaweza tukashare tukakod nyumba ya lak 4 au 3 kwa mwez then tunagawana...
  3. T

    Ushauri kuhusu kununua gari kutoka kampuni ya Be Forward

    Be forward wako vizuri, wanaku update kila siku from the day umelipa hela kununua gari mpaka siku meli inafika bandarini. Mie gari yangu imeshafika, na nimeshalipia ushuru wiki iliyopita, now ipo kwenye process ya clearance, nadhani mwanzoni mwa wik ijayo ntakuwa naendesha sasa! Thanks kwa...
  4. T

    Ushauri: Ununuaji wa magari

    Si kweli, haikupitishwa hiyo. Uchakavu ni miaka 10.
  5. T

    Ushauri: Ununuaji wa magari

    Si kweli, ile ilijadiliwa ila haikupitishwa, walirudi kwenye makubaliano ya ileile miaka 10.
  6. T

    Ushauri: Ununuaji wa magari

    pilo9069, Hiyo agiza tu, ushuru wake sio mkubwa, haitazidi mil 2. Mie nimetoa ya kwangu juz ya 2005 ushuru ulikuwa mil 2.2
  7. T

    Naomba kujua utaratibu za msamaha wa kodi kwa mtumishi wa umma kama unaagiza gari nje

    Wadau nashukuru gari yangu imeshafika, na nimeshalipia ushuru wiki iliyopita, now ipo kwenye process ya clearance, nadhani mwanzoni mwa wik ijayo ntakuwa naendesha sasa! Thanks kwa michango yenu ya kimawazo kuhusu swala hili.
  8. T

    Gharama za ushuru wa kutoa gari bandarini

    Wadau nashukuru gari yangu imeshafika, na nimeshalipia ushuru wiki iliyopita, now ipo kwenye process ya clearance, nadhani mwanzoni mwa wik ijayo ntakuwa naendesha sasa! Thanks kwa michango yenu ya kimawazo kuhusu swala hili.
  9. T

    Gharama za ushuru wa kutoa gari bandarini

    too bad nimefungua site, wanasema calculator is no longer used by tra, na kodi si nitalipia tra.
  10. T

    Used Samsung Galaxy Tab 10.1 GT 7500 for Sell

    dah 700 parefu kaka, 500 mwisho wangu
  11. T

    Nauza Samsung Galaxy Tab 2 GT-P5100

    kaka kama bado unayo hii nicheki 0713998399
  12. T

    Used Samsung Galaxy Tab 10.1 GT 7500 for Sell

    Kaka bado ipo tablet? Nahitaji kwa bei hiyo
  13. T

    Mwalimu akiagiza gari atapunguziwa kodi?

    More helpful. Bajeti yangu ni mil.3 kwa kodi zote mpaka niitie mkononi. Ikizidi hapo kuna uwezekano wa kuiuzia bandarini. NakuPM Mkuu kama hutojali
Back
Top Bottom