Mkuu watoto wa kuzalia USA na wakakulia USA ni tofauti kabisa na watoto wanaozaliwa Tanzania na kupelekwa USA kwa kila kitu akili mpka matendo.
Mtoto alie maliza la saba Tanzania ukimpeleka shule za USA anaweza wakimbiza kwa masomo vibaya sana.
Mkuu kama una watoto na unataka kufanya kitu kwa ajili yao nenda nao USA.
But kama hauna watoto baki Tz twanga maisha.
Kwa nini nasema hivyo;
Kama watoto wako wapo vizuri kichwan, wakiwa USA wanaweza soma bure maisha yao yote ya elimu bila wewe kutoa hata $1.
So kama unakwenda USA nenda kwa...
Mkuu aksante sasa
Umejibu maswali ambayo nilikua najiuliza tokea huu mjadala umeanza na hakuna mtu aliweza kuyajibu.
Sent from my SM-G991U using JamiiForums mobile app
Cha kwanza Msukuma atuambie kwanini wambunge walipelekwa Dubai na India na sio kwenye inchi za Africa ambanzo Hiyo kampuni inaendesha bandari.
Cha pili kwa nini mkataba ulipigwa sign kabla bunge na wanainchi hawajaipitia mkataba wenyewe na kukubaliana nao.
Tatu msukuma atuambie yeye kama yeye...
Hakuna shida kwenye boda boda. but kwa jinsi UMUGHAKA anavyopangia story na anavyo elezea matukio anaonekana ni mtu sio wa fuji za boda boda.
Na kama boda boda wengi wakiwa na aliki kama ya UMUGHAKA ajali za boda boda zatapungua sana. Kwani wataendesha kwa mpangilio na kufuata sheria zote barabaran.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.