Recent content by Tata K

  1. Tata K

    Message ya mchepuko yaenda kwa mume

    Ha haa haaa! Mi nilitumiwa msj na mdada nisiyemjua ila ilikuwa poa aisee ilikuwa hiv(nimepunguza ukali wa maneno) "T, tangu usafiri nimekutunzia nanilii yko, yaan ukirudi utakuta kitu taitiii afu cha motooo, nakusubiri mpenz" bahati mbay wife aliiona ile msj ikiingia na akasoma sura yang...
  2. Tata K

    Laptop ipo poa inauzwa

    Nauza laptop Dell latitude D620, HDD 160 GB, RAM 2GB, haina shida yoyote ni mpya kabisa bei ni 230,000 maelewano yapo, wale wa Mwanza au jirani wani-PM tafadhali.
  3. Tata K

    Nimebaki kuwa mtazamaji katika suala la kuolewa

    "Heri uishi peke yako kuliko kuishi na mtu halafu ukose furaha" - Lucky Dube. Ok, ok, nimekusoma dear.
  4. Tata K

    Nimebaki kuwa mtazamaji katika suala la kuolewa

    "Heri uishi peke yako kuliko kuishi na mtu halafu ukose furaha" - Lucky Dube. Ok, ok, nimekusoma dear.
  5. Tata K

    Is Tanzania the Switzerland of Africa?

    Still a Long Walk To Socio-ecomic Development, the viability of peace and harmony have not viewed interms of sustainability to disengage the country from POVERTY....
  6. Tata K

    The Blurred Bright Future: Mr President Don't Shut Down Our Bunge.

    "Information is power". This slogan or lets say an English Saying has been used purposely to ensure that people have a right to access information. The chosen title which I have decided to talk about is a result of ongoing chaotic situation in our Bunge(Tanzanian Bunge to be specific) . The...
  7. Tata K

    Mrejesho: Mfanyakazi mwenzangu anataka tuchepuke ofisini

    Mwe! Mwe! Mwe! Wadaaada taratibu jamani ayaaaah! Tutaonana wabaya ayaaaah!
  8. Tata K

    CAF Champions League: Al Ahly vs Yanga 20/04/16

    Hasira haziui la sivyo sa hv ningekuwa na jina jingine yaani nyota imezima ghafla, nitamwambia nini huyu jamaa angu wa matopeni???????????????????????????
  9. Tata K

    Kwa upuuzi huu wa wife, hivi nikigegeda rafiki yake nitakosea?

    Unaita wenzio MANYUMBU kwa sabab unawagegedea wake zao? Da mkuu mkeo kakutega kwa sabab anajua ishu zako. Ujue naye huko nje kuna jamaa anajitulizia nafsi na JAMAA ANAKUITA WEWE NYUMBU TENA BOYA KABISAA.
  10. Tata K

    Leo nayatoa ya moyoni

    Mkuu imeisha hii issue? I mean hii story? Inafunza aisee, givu asi samu mo....
  11. Tata K

    Leo nayatoa ya moyoni

    Nimekupata mkuu, Kama ulikuwa huendi msikitini au kanisani au kwa namna nyingine yeyote ile ya kumwabudu Mola na kama unaamini ktk Mungu plse ebu anza sasa, vry sory bro. Vijana ambao hamjaoa jifunzeni kwa hili, wanawake wachache kama huyu wapo sana mjihadhari sana.
  12. Tata K

    Leo nayatoa ya moyoni

    Dah bro ushimen...! Pole sana ila nadhani umerelax kias baada ya kuweka mambo hadharani. Bi dada ulompata hapa Jf najua atakuelewa vizuri. Ila mkuu cjakusoma vizuri kumbe huyo mwanamama ulishazaa naye kid mmoja, au ni wawili? Kama ni mmoja mbona umesema "watoto wako" so una watoto wengine wasio...
Back
Top Bottom