Nimekupata mkuu, Kama ulikuwa huendi msikitini au kanisani au kwa namna nyingine yeyote ile ya kumwabudu Mola na kama unaamini ktk Mungu plse ebu anza sasa, vry sory bro. Vijana ambao hamjaoa jifunzeni kwa hili, wanawake wachache kama huyu wapo sana mjihadhari sana.