Recent content by taslo

  1. T

    Tatizo kubwa la kitochi 4G za tigo ni anaganda baada ya matumizi. Nimeambatanisha picha

    H Habari bosi? Hivi unafahamu namna ya kufungulia hichi kisimu kisome line nyingine sim1? Nimekinunua juz kati apa, Whatsapp inogoma. Sijajua kama pia unaweza kuwa unafahamu namna ya ku solve hilo tatizo? Na kama unaweza tunaomba mrejesho wa 9apps
  2. T

    Play station 2 inauzwa.

    PS 2 🎮 🎮🎮🎮 Kutoka Zanzibar IPO inauzwa Bei 180k Unapata pad mbili Na flash 8gb na ina game la mpira FIFA 🔥🔥🔥 Kama vp njoo inbox tufanye business.... Location: Dar
  3. T

    Msaada PS2 na PS3

    asante. na ku chip ndo kufanyaje maana n neno ambalo nalionaga afu sielew
  4. T

    Msaada PS2 na PS3

    habari wadau. msaada kuhusu taarifa za ps2 a ps3. nltaka kujua aina zake na utofauti wake. mf. >storage (na unajuaje hard disk ake n ngap) >njia za kuweka magemu (Cd ,flash ,memory etc) >na faida na changamoto zake. >na jinsi ya kuingiza games na bei zake kama itawezekana. >na pia taarifa...
  5. T

    Mafundi simu wa upande wa hardware naomba tukutane hapa

    nlinunua sasa baada ya sku6 nkawa nmeiweka chaj kwenye pc kwa ktmia USB. na nikawa naitmia intanet kama kwa masaa manne na chaj ikawa haipand wala haishuk (ilkuwa ikcheza kat ya 19 na 21) nkaitoa baada ya mda mfup nkaizima.nilipowasha ikawaka lakini ikawa ina display wallpaper tu. na uki...
  6. T

    Mafundi simu wa upande wa hardware naomba tukutane hapa

    ITEL S31. nina itel s31 ni mpya mpya. nmetumia siku6 na ikasumbua nikapeleka kwa mafundi wawili wakaiongezea matatizo ikawa hata haiwaki. na wakasema ni mashine imekufa. kama kuna mwenye mashine au solution karibuni mafundi tusaidiane. mimi niko DAR ES SALAAM . kwahiyo nafka seem yeyote dar
  7. T

    TSSF

    ukipata nishtue na mm 0744901288
  8. T

    Wenye Division III wamepata chuo?

    mm mwenyew kna jamaa zangu wawili wana 7 one, n wa PCB walomba udomb MD walkosa 1st batch,ila 2nd walpata NA wengne wana 9wamekosa ad 2nd
  9. T

    Tuliochaguliwa SUZA(state university of znz) tukutane hapa

    hahahahahhaa unazngua n chuo bhana, kwan VP
  10. T

    Tuliochaguliwa SUZA(state university of znz) tukutane hapa

    anhaaa asante bro,, tutakarbia Mungu akiwezexha
  11. T

    Msaada wa ushauri kuhusu tatizo hili la shuleni kwetu Kwemaramba Sec School, Lushoto Tanga

    Pole sana ndugu yan walimu wetu ndo tatzo lao yan hat ki ckul mishe kama hzo zlkua znatokea cana,bt pole cana mr. Sasa inacktxha kuonexha hata mkuu wa wlwya nay hna mcaada, Bt ngja tucklze maon ya watu But naweza cema muombe MUNGU maana haki ipo ndgu
  12. T

    Ambao hatukuhakiki Rita heslb ndo tumekwenda na maji?

    Ndgu Kna wAtu hawakuelewa pia kuna watu walkua jesh walifanyiwa app Na pia kna watu waliambiw hakuna haja ww hakiki mahakaman na wakaamn mana hawakua ma taarfa kamili ya maelezo,, MUNGU AWASAIDIE ndg zangu mpate nafas ya kurekebxha
Back
Top Bottom