H
Habari bosi?
Hivi unafahamu namna ya kufungulia hichi kisimu kisome line nyingine sim1?
Nimekinunua juz kati apa, Whatsapp inogoma. Sijajua kama pia unaweza kuwa unafahamu namna ya ku solve hilo tatizo?
Na kama unaweza tunaomba mrejesho wa 9apps
PS 2 🎮
🎮🎮🎮
Kutoka Zanzibar IPO inauzwa
Bei 180k
Unapata pad mbili
Na flash 8gb na ina game la mpira FIFA
🔥🔥🔥
Kama vp njoo inbox tufanye business....
Location: Dar
habari wadau.
msaada kuhusu taarifa za ps2 a ps3.
nltaka kujua aina zake na utofauti wake.
mf.
>storage (na unajuaje hard disk ake n ngap)
>njia za kuweka magemu (Cd ,flash ,memory etc)
>na faida na changamoto zake.
>na jinsi ya kuingiza games na bei zake kama itawezekana.
>na pia taarifa...
nlinunua sasa baada ya sku6 nkawa nmeiweka chaj kwenye pc kwa ktmia USB. na nikawa naitmia intanet kama kwa masaa manne na chaj ikawa haipand wala haishuk (ilkuwa ikcheza kat ya 19 na 21)
nkaitoa baada ya mda mfup nkaizima.nilipowasha ikawaka lakini ikawa ina display wallpaper tu.
na uki...
ITEL S31.
nina itel s31 ni mpya mpya. nmetumia siku6 na ikasumbua nikapeleka kwa mafundi wawili wakaiongezea matatizo ikawa hata haiwaki.
na wakasema ni mashine imekufa.
kama kuna mwenye mashine au solution karibuni mafundi tusaidiane.
mimi niko DAR ES SALAAM .
kwahiyo nafka seem yeyote dar
Pole sana ndugu yan walimu wetu ndo tatzo lao yan hat ki ckul mishe kama hzo zlkua znatokea cana,bt pole cana mr.
Sasa inacktxha kuonexha hata mkuu wa wlwya nay hna mcaada,
Bt ngja tucklze maon ya watu
But naweza cema muombe MUNGU maana haki ipo ndgu
Ndgu
Kna wAtu hawakuelewa pia kuna watu walkua jesh walifanyiwa app
Na pia kna watu waliambiw hakuna haja ww hakiki mahakaman na wakaamn mana hawakua ma taarfa kamili ya maelezo,,
MUNGU AWASAIDIE ndg zangu mpate nafas ya kurekebxha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.