Mungu kawapa ufaham wa ndan sana ambayo hujui, ukiwa unampima anajua yy ana switch side ukiwa humpimi pia anajua , ww cha msingi ondoa hofu mpe pesa wala usijaji kuwa mr don't care yy mwenyewe utaona anakwambia ...
Siyo tu hivyo unaweza hata kusahau kama ulianzisha ujenzi na unajenga labda kama mtu akuzindue watu waroga , kwa wale ambao hujenga kimyakimya bila kumshirikisha mtu wa karibu hata wa kukuzindua kama una ujenzi ndo basi tena 😀😀😀
Huyo aliyekujia huu muda naye anawaza yeye ndo amekosea masharti hadi ukamuona au wewe ndo unashida ...... Omba mungu amefanya makusud umuone lakin usimtambue
tabu inakuja mzigo unauskia kabisa upo ukiinuka lakin ukikaa ushushe ndo utajuta ,labda iyo choo yako iwe ya master,lakin ile ya choo ya changanyiken utakuta notes kwa mwenye mjengo
Haya ma ngano ya karne zetu cjui yanakitu gan , huko nyuma si ndo ngano ilikuwa chakula mama ,mikate migumu unakula na zabibu au tende imeisha lakin hizi zetu hata ule na asali lazima kikurambe ukiwa chooni...
Unajua hilo neno makafiri ni wapingaji, nafikiri lingeitwa kwa jina la wapingaji msingelalamika kiasi hicho, kwani wale wa dhehebu la wa pentekoste unajua kwann walikuwa na hilo jina
Hapa kati kuna kimgogoro kiliingia kati ya urusi na wale wa ukraine ili kuisahaulisha dunia mgogoro mkubwa uliopo wa udhalimu na mauaji ya watu wa gaza , mgogoro , lakini hilo lilishindikana na ndo imejulikana zaidi ya awali
Hawa jamaa mfumo wao hauko sawa kivile, lakini IT wao wako active muda wote ku reply all query ,majuzi nilikuwa na ishu ya mfumo wangu wa vyeti ilikuwa ijumaa but jumapili waka solve fasta, wao wanajua mahala penye udhaifu wana solve soon
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.