Recent content by Tarime

  1. Tarime

    Mwenzenu majanga

    Mbonaa ipoo MTU nimemfanyia muda si mrefu mwenge catholic university (mwecau)
  2. Tarime

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Njoo Tarime Mara Mimi nije Arusha,Kilimanjaro au pwani
  3. Tarime

    Mwenzenu majanga

    Mwecau ipooo kwenyeee list angalia mkoa wa Kilimanjaro
  4. Tarime

    transfer transfer transfer !!!!

    Wakoo wengine walipata semester ya pili katikati
  5. Tarime

    transfer transfer transfer !!!!

    Yeah huwaa ni lazimaaa uchelewee kwan allocation inakuwaa imepelekwa chuo kingine,hivyo kama utakubaliwa transfer pesa itachelewa sababu imebafilishwa chuo kwa uelewa wangu ni hivyooo
  6. Tarime

    Mada maalumu: Mchakato Bodi ya Mikopo 2015/16 (Vigezo na ujazaji fomu)

    Majina hayajatoka ni porojo tu na uzushi ingia web ya heslb wamekanushaaa
  7. Tarime

    Mwenge Catholic University

    Njoo na hati ya matokeo ya form six ambachooo ulitumia kuombea chuo
  8. Tarime

    Mwenge Catholic University

    Ndugu mbingunikwetu cha msingi vitu vya kuwa navyo ni vyeti original vya shule,cheti cha kuzaliwa ukiwaa na nakala za vitu hivyo watavihakiki original na chuo watabaki na nakalaaa au vivuli vya vyeti
  9. Tarime

    Tamisemi kunani?

    Kiongoz ingia tovuti ya tamisemi kuna majinaaa watumishi waliohamishwa kwa kibali maalumu Anglia kama upooo kwenyeww hiyo list
  10. Tarime

    Mwenge Catholic University

    Karibuuu sanaaaaa ndugu,hostel zipo kwa mwaka wa kwanza na wenye shida maalam mfano wanafunz kutoka nje ya nchi,albino,walemavu nk hao wanazingatiwaaaa sanaaaaa
  11. Tarime

    Mwenge Catholic University

    Yeah nikooo hapoooo naingia mwaka Wa pili
  12. Tarime

    Mwenge Catholic University

    Asanteee hataaa Mimi nimeshayaonaaaaa kioongoz asanteeee
  13. Tarime

    Mwenge Catholic University

    Ochumeraa mbonaa sijaona
  14. Tarime

    Matokeo ya Kidato cha Sita 2015 yametangazwa

    As ante kwa taarifa wadau
  15. Tarime

    jamani nawatafuta hawa popote walipo.

    nipo mkuu nitafute kwa alexkayombo@yahoo.com au 0715888412
Back
Top Bottom