Recent content by Tarime-Mura

  1. Tarime-Mura

    Ethiopia's GDP overtakes Kenya's

    Mko wachache ILA hamjaweza kujitosheleza kwa chakula ndip maana WFP wako Kenya permanent. Acheni misifa ya kijinga. Kwanza mjitoshelesha mahitaji ya msingi ndio tuwaelewa.
  2. Tarime-Mura

    Kumekucha CCM, aliyepigwa rungu na Ndugai ateuliwa Ukuu wa Wilaya

    Mmawia huna kazi ndio maana unashinda ukibishana kwenye mtandao. Watu wa Mara sio wavuvi na tuna ujasiri wa kusimamia tunachokiamini sio kama ninyi kina DJ hamna courages bata ya kufanya uchaguzi eti makamanda. Hata viranga wana ujasiri kuliko ninyi wote na visuti vyenu
  3. Tarime-Mura

    Hivi kweli Rais wetu huguswi na wabunge wa upinzani kutoka bungeni?

    Wabunge WA ukawa hawana heshima Na hekima. PIA wanatumia akili ya semi educated. KUB form six alitia mpira kwapani baada ya kuona hawezi kujibu maswali. Na mwaka huu bugeni pia katia mpira kwapana anataka Mtei asaidie
  4. Tarime-Mura

    Lissu: Serikali hii (ya Magufuli) ni ya hovyo, huyu dikteta uchwara anahitaji kupingwa na kila mwananchi

    Lisu hovyo hauna moral principle kulaumu mtu yeyote. Enzi za Slaa ulikuwa beacon of hope. Ulipoingia kwenye Project Lowasa huna dira wala maoni Na ujasiri kusimamia unachoamini.
  5. Tarime-Mura

    Kumekucha CCM, aliyepigwa rungu na Ndugai ateuliwa Ukuu wa Wilaya

    Na nyinyi leta KUB aka DJ Freeman Mboye. Au Yuko free of education
  6. Tarime-Mura

    UKAWA wamjibu Magufuli kuhusu kutofanya siasa, wasema wataendelea kwa kuwa katiba inawaruhusu

    Mbowe bure kabisa matamko yake Ni sawa na kutoa ushuzi hana ujasiri wa kufanya chochote baada ya haya matapishi yake.
  7. Tarime-Mura

    UKAWA, Wenzenu CORD KENYA Wamefanikiwa Tume huru

    Ukawa hawana strategy na leadership hawawezi kupanga mkakati wa maana ndio sababu wamejikita kwenye gimmicks and sideshow pale mjengoni
  8. Tarime-Mura

    Kumekucha CCM vs UKAWA

    Hili tamko ni la ajabu Sana hawa watu tuwaogope kuliko ukoma. Hawafai kuwa viongozi.
  9. Tarime-Mura

    Banana Republic alert: Tanzanian charged for insulting president on WhatsApp

    Banana republic ni Kenya hata wabunge waheshimu katiba yao, alshabab wanaoperate freely kabisa. Insecurity is classic example of failure state unfortunately Kenya fall under this category.
  10. Tarime-Mura

    Hadi bajeti ya Tanzania, Uganda na Rwanda ziunganishwe ndio zifikie ya Kenya

    Pelekeni chakula bamba village kilifi watu wanakula majani kama mbuzi na kunywa maji machafu. Budget sehemu kubwa ni rushwa tu watu wengi wanaishi kwa shida sana
  11. Tarime-Mura

    Kenyatta appoints 14-member taskforce on miraa(Mirungi)

    Kweli wewe chizi bangi ya tarime soko ni nairobi sasa sijui unasema bangi ipi.
  12. Tarime-Mura

    Kunguni wavamia matatu Nairobi

    power house ya kunguni muone aibu hili Ni jambo la fedheha. Kama kwenye matatu hali ni hii kwenye majumba watu hawalali oneni aibu muache kutafuta mijisifa ya kijinga
  13. Tarime-Mura

    Yaliyojiri katika mahafali ya CHASO mbele ya Edward Lowassa - Karimjee Hall, Dar

    Tusuwadanganye hawa vijaba wapewa nafsi kuwa wanafunzi Ili wajifunze. Hii Ni toka pande zote za siasa ccm Na ukawa.
  14. Tarime-Mura

    Yaliyojiri katika mahafali ya CHASO mbele ya Edward Lowassa - Karimjee Hall, Dar

    Wanafunzi wa vyuo mnatumiwa kama condom watoto wa hao wanasiasa wanasoma ng'ambo nyinyi mnatumia. Someni acheni ujinga kwenye job interviews hawaangalii political activities zenu
Back
Top Bottom