Tarime-Mura
JF-Expert Member
- Jul 28, 2015
- 252
- 104
Mko wachache ILA hamjaweza kujitosheleza kwa chakula ndip maana WFP wako Kenya permanent. Acheni misifa ya kijinga. Kwanza mjitoshelesha mahitaji ya msingi ndio tuwaelewa.Nyie mbona mumetuzidi kwa idadi ya watu lakini mpo nyuma kwenye GDP. Hamkosi vijisababu....