Take home ni hiyo 450k mpaka 500k ila ukichunguza matumizi yake ni kasongo, yaani pesa unayopokea kumbuka hata kiwango cha changamoto zake zinakuja kwa level ya mshahara unaopokea na ukishindwa kuzihandle hata 10000 hautatunza.
Kaangalie series moja ya kikorea inaitwa THE HOLY BETRAYAL utajua mengi kuhusu uanzishwaji wa makanisa pamoja na yanayotendeka nyuma ya pazia mule makanisani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.