Mshana ndugu yangu mi kibarua changu ni kusafirisafiri je nikichukua vitunguu swaumu vikubwa kama vitano vikamenywa na kutwangwa,kisha nikachanganya na asali kama vikombe viwili vya chai na ndimu kama tano,alafu nikachukua mchanganyiko huo nikaweka kwenye chupa ili nikisafiri niwe nachukua kiasi...
Kiukweli umesema nami nimeufuatilia sana kiba anapewa sana promo na media lkn kikazi mond yuko vzr,na ndio maana kiba anavuma Tz lkn kimataifa havumi hongera mond
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu alukua dodoma mala ngapi akina tundu lissu wanakamatwa toka bungeni na hakuwahi kuongea chochote?au anadhani watanzania wa sasa ni wakudanganywa danganywa tu?
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.