Habari yenu wana jamii forums napenda. kujuzwa kwa yeyote anaejua habari za Mkopo hivi ndo kusema Yale majina elfu 25 yamekamilika?? au kuna batch nyingine? maana nasikia tu yamebaki elfu 3 Mara tayari please mwenye uelewa na hili msaada nisije komaa kusubiri appeal yang au majina hayo elfu 3...
wahanga tuko wengi ..nami nipo hapa udom mambo si mambo ...eeh Mungu tunusuru mafukara ...imefika time najutia kusoma kabisa bt nmeappeal uku nikisubiri hayo yaliyobaki ...Mungu ni mwema hakika atatenda ndugu tusikate tamaa.
daah jaman watu tunasota adi wengine wamerud om afu mtu anashabikia daah oneni huruma adi February uko ndo majibu hapo mtu Asie nacho si anarudi om...eeh Mungu tunusuru
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.