Wanafunzi Elimu Ya Juu Watengewa Bilioni 483 Za Mikop

Wanafunzi Elimu Ya Juu Watengewa Bilioni 483 Za Mikop

Afu vitu vingine tujiongeze jamani hapa kuna baadhi ya vyuo vimepewa sana favour huku vingine maumivu tu kwa mfano pale SUA wametoa hadi second batch...UDSM pale na other's ila ndugu zangu wa makumira first batch majina 200 tu out of 2500+ pale mwalimu nyerere 150 tu out of 2000+ unataka kusema hawa wote hawakuweka taarifa sahihi au walisoma private??hii si kweli huu ni uonevu mkubwa
 
Ni kweli nimemsikia prof Ndalichako akilitolea ufafanuzi hilo bungeni leo hii.
Taarifa tulizokuwa tunapewa humu ulikuwa ni upotoshaji mkubwa sana kuwahi kutokea.
Hata kama ni siasa hii sasa imezidi.
Hakuna mwanafunzi atakae kosa mkopo kwa wenye sifa za kupewa mkopo. Wafuate tu maelekezo wakapewe mikopo.
Siasa za kijinga zitatuponza watanzania.
wenye sifa? mbona kuna wanafunz wanasifa hawajapat kam yule kijana aliesaidiwa kutoka udsm.pia udsm wanafunz wamedahiliwa kama elfu 7 na iv...afu walopata loan ni elfu 3 na iv.....hapo vp?
 
Kama ulimsikia vizuri sifa ni zilezile ila kuna baadhi walifanya udanganyifu na wengine hawakutoa taarifa za kujitosheleza hata kama walikuwa na sifa za kupewa mikopo.
kuna taarifa zilisambaa kuwa hata wale wanafunzi waliopewa mikopo mwaka ulipita nao wafutiwa. Si kweli wanafunzi hao walishawishiwa kugoma kusaini form za mikopo na kupewa pesa zao. mfano ni UDSM, pesa zilipelekwa hapo tangu tarehe 15/10 lakini wamesain wachache wengine walikataa kutokana na ushawishi.
Waziri amewataka wakakamilishe taratibu ili wapewe pesa zao kwasababu zipo hapo tayari.
tatizo haikuwa ushawish au wanafunz kugoma kusain bali ni utaratibu ilikuwa ili uweze kusain n mpaka uwe na new id,ambapo weng ada walikuwa bado kulipa so wasingeweza kuwa na izo ids bila kufanya reg.so ndio mana wengi hawakuwa wamesain,na sio kwamba hawakutaka.
 
Swali ulimsikia waziri leo???
Hakuna kitu hapo wewe,hapo ni kujisafisha kuonekana heslb ndo kuna tatizo Lakini tatizo liko serikalini.Hivi mbona watu mnakua wepesi kudanganyika?
 
Naona kila mtu anaongea lake hapo. Ila tatizo ni kwamba sumu mbaya mliyolishwa ya kila kitu kukiona hakifai ndo inasumbua hapa.

HIVI UKIAMBIWA KUWA KUNA MAKOSA YALIYO FANYIKA SO MKALUDIE TENA, UNAELEWA NINI??
tusibishane bila sababu za msingi hapa we fuata maelekezo yaliyotolewa, sio kubisha bisha ovyo.
Kama unaona kilichosema ni uongo basi acha.
 
wenye sifa? mbona kuna wanafunz wanasifa hawajapat kam yule kijana aliesaidiwa kutoka udsm.pia udsm wanafunz wamedahiliwa kama elfu 7 na iv...afu walopata loan ni elfu 3 na iv.....hapo vp?
mkuu wewe unachong'ang'ania ni serikali kuonekana Imedanganya.
maswali unayouliza yameshatolewa ufafanuzi.
Umesha ambiwa kuna makosa yalifanyika kwahiyo zoezi linaludiwa upya kwa awamu ya pili.
sijui unaelewa mkuu. kama ung'ang'nia hayo ya kwako haya mimi sina muda wa kubishana hapo.
 
uache ujinga..hizo pesa ziko kwenye budget ila mh rais anataka vigezo tu..nakuhakikisha hakuan forgery..Sasa unataka atoe pesa bila uhakiki
Na hizi fununu za kwamba wanafunzi walio soma private schools kuwa hawana kigezo cha kupewa mikopo wewe unatathmini vipi!?

Na kwa wale wanafunzi walio andikiwa kwenye account zao walizo apply nazo mikopo kuwa wamepewa na baada ya wiki kubadilishwa kuwa hawajapewa unalitathmini vipi?

Na kwa wanafunzi wasio na mzazi mmoja kama baba na wamenyimwa mkopo unalipi la kusema...

Hizo ni cases ambazo zipo in reality na ningependa kwa mdau yeyote mwenye majibu anisaidie kama wewe utashindwa...
 
mkuu wewe unachong'ang'ania ni serikali kuonekana Imedanganya.
maswali unayouliza yameshatolewa ufafanuzi.
Umesha ambiwa kuna makosa yalifanyika kwahiyo zoezi linaludiwa upya kwa awamu ya pili.
sijui unaelewa mkuu. kama ung'ang'nia hayo ya kwako haya mimi sina muda wa kubishana hapo.
sijakwambia,tubishane.we unafikir ni makosa gani yametokea au wameteleza na wapi na je katika hyo bajet ya 483 hyo ya watu walokosea wamo au? haitakiw kufany uzemb katik mambo ya msing na muhimu kam hayo bhana.
 
Mtoto wa maskini anaishije mpk Jan 31, na wengine wameambiwa walipe nusu ada, nakushangaa unashadadia mambo usiyoyajua
Nashindwa kuelewa kwann serikali isitoe asilimia sifuri hiyo pesa ya kujikimu kwa kila mwanafunzi wa elimu ya juu na hizo ada na mambo mengine ndio kukawa vipaumbele...


Wanaweka grade Kali za kuchuja watu kuingia vyuoni alafu hao wachache wanaoingia huwezi kuwa hudumia sielewi nchi yangu inafanya mambo gani yani!!
 
serikali isinge toa pesa onyo bila uhakiki hizo porojo nyingine acheni.
fuateni maelekezo mkapewe mikopo.
Soma regulations za vyuo ndio utapata ninachokisema. Kama watachukua miezi 3 kutoa majibu ya appeal ili uendelee kuwa mwanafunzi lazima upate njia nyingine ya kujilipia otherwise ukiwa nnje ya chuo kwa miezi 3 (semester 1) inabidi uahirishe masomo na semester ifuatayo huwenzi kurudi na mwisho wa semester ya pili huna results ndio imekula kwako.
 
daah jaman watu tunasota adi wengine wamerud om afu mtu anashabikia daah oneni huruma adi February uko ndo majibu hapo mtu Asie nacho si anarudi om...eeh Mungu tunusuru
 
Back
Top Bottom