Napenda kumpongeza kiongozi wetu JPM kwa kubadili stail ya maadhimisho ya uhuru ili kupunguza mzigo kwa walipa kodi na pia kufanya mambo yenye mshiko kwa taifa. Kuna maeneo mengi tu ambapo hela za walipa kodi zinatumika hovyo. Nawaachia wengine mtoe mifano mingine lakini mimi naangazia matangazo...
Hapo umewasaidia, kama wanasoma JF natumaini kesho tutasikia mawaziri wote wanaitisha vyombo vya habari kutangaza tarehe za kuweka majiwe ya msingi nami nitawapa kura, lakini majiwe ya msingi hayatoshi. mnaona barabara zetu nyingine zimeachiwa katikati, hadanganyiki mtu ngo'
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.