Recent content by tanzaniadaima

  1. T

    TANZIA: Mzee Kingunge Ngombale–Mwiru afariki dunia! Rais Magufuli atuma salamu za rambirambi

    Hili ni jambo jema. Tunaita kuiba Mbingu kama yule jamaa aliyesulibiwa na Yesu pale golgota alivyoambiwa “hakika leo hii utakuwa nami paradiso”
  2. T

    Kwa yanayotokea Kenya lilikuwa kosa la kiufundi CHADEMA kumuunga mkono Kenyatta

    Kwani lazima wote muwe CCM au CDM? Kaanzisheni vyama vyenu ambavyo viko perfect
  3. T

    DODOMA: Tundu Lissu ajeruhiwa kwa risasi, akimbizwa Hospitali

    Mtu hata kichwa hakionekani halafu mtu mwingine anataka kumfahamu
  4. T

    Taasisi na Mashirika ya Umma kutoa pongezi kupitia Vyombo vya habari liangaliwe upya

    Napenda kumpongeza kiongozi wetu JPM kwa kubadili stail ya maadhimisho ya uhuru ili kupunguza mzigo kwa walipa kodi na pia kufanya mambo yenye mshiko kwa taifa. Kuna maeneo mengi tu ambapo hela za walipa kodi zinatumika hovyo. Nawaachia wengine mtoe mifano mingine lakini mimi naangazia matangazo...
  5. T

    Magufuli akitaka kufanikiwa aondoe System yote ya JK

    Magufuli anza kuchunguza uraia wa watu wako.
  6. T

    Chopa ya Livingstone Lusinde yapata hitilafu, yashindwa kuruka

    kwa nini wasiziache tu hizo Chopa? mbona kilomita za lami ziko nyingi tu???? :plane
  7. T

    Rais Kikwete kuzindua ujenzi wa reli mpya ya kisasa

    Hapo umewasaidia, kama wanasoma JF natumaini kesho tutasikia mawaziri wote wanaitisha vyombo vya habari kutangaza tarehe za kuweka majiwe ya msingi nami nitawapa kura, lakini majiwe ya msingi hayatoshi. mnaona barabara zetu nyingine zimeachiwa katikati, hadanganyiki mtu ngo'
  8. T

    Rais Kikwete kuzindua ujenzi wa reli mpya ya kisasa

    Ukiuliza hayo tena unataka matatizo
  9. T

    Wenye Mpango wa Kuuga Ukapera angalieni Hii

    This way unaweza kuandamana against yourself. Watchout:tongue:
Back
Top Bottom