Recent content by Tanzania1Mpya

  1. T

    Ukweli kuhusu ATCL Boeing 787-8

    Ndege imenunuliwa kwa 100m USD rejea mazungumzo ya JPM na mkurugenzi wa Masoko boeing aliposema wameshalipa advance ya 10% sawa na 10m USD? Kosa kama hilo haliwezi kufanyika awamu hii ! Hakuna dalali kipindi hichi!
  2. T

    Kelele zilizotamba kuhusu njaa ya Tanzania

    Mvua zinanyesha sasa tukalime mazoa yanayostahimili ukame mambo ya NJAA inauma tupia kule.....
  3. T

    Wabunge wa CCM waliopanga kumuona Lema gerezani waonywa, waitwa wasaliti

    Kumuondoa waziri mkuu ???? Sidhani kawa wako serious ....Ukiona wabunge wanahaha ujue madili yamekata.......Waziri Mkuu anatumiwa kama daraja tu anayelengwa ni JPM mwenyewe. Vita dhidi ya unga??? Vita dhidi ya viroba??? Inaweza yakawa ni maneno tu ya mtaani. By the way Majaliwa anamsaidia sana...
  4. T

    Kwa Habari Kama hizi, Tafadhali sana Tanzania Daima Mtuombe Radhi Wananchi

    Wa upande ule wanalipenda, wakipita Tanzagiza baadae kwenye hichi kijarida wanajiskia raha, hasa kipindi hichi ambacho viroba vimefutwa.
  5. T

    Magufuli amdiss Wema Sepetu kuhamia CHADEMA

    Chadema wamejenga ofisi kwanza au...??
  6. T

    Magufuli amdiss Wema Sepetu kuhamia CHADEMA

    Amsifu kufuata wenzake walipo.....
  7. T

    Magufuli amdiss Wema Sepetu kuhamia CHADEMA

    Hakuna ubaguzi hapo Mla unga anabakia kuwa mla unga, mla ganja anabakia kuwa mla ganja na na wengi wamekimbilia kujihifadhi upande ule. Kwa ni uongo.
  8. T

    Lowassa awakaribisha CHADEMA/UKAWA waliotimuliwa CCM

    Lowassa hawezi kuongea maneno yote hayo....by the way hata Chadema walimfukuza Zitto Kabwe kwa usaliti.....Tatizo Nyumbu mnajisahaulisha.
  9. T

    Lowassa awakaribisha CHADEMA/UKAWA waliotimuliwa CCM

    Kila chama au kundi la watu lina kanuni zake, Lowassa anapowaaminisha watu waliofukuzwa wameonea hayupo sahihi. Mwanachama anapokuwa masaliti kwa chama adhabu yake ni kuvuliwa uanachama. Zitto Kabwe alivuliwa uanachama Chadema , Kitila Mkumba alivuliwa uanachama Chadema...juzi juzi Prof. Lipumba...
  10. T

    Anguko CCM: Halmashauri Kuu kukutana baada ya miezi 6, Kamati Ku miezi 4. Serikali haitaki kuhojiwa?

    UKAWWA mnakutana marangapi kwa mwaka?? ChaDDEMA mnakutana mara ngapi vile?? Viroba na Ngada/pooda bana mbaya sana.
  11. T

    Museven na Mugabe walianza kucheza na katiba za vyama vyao kwanza.

    Hata Mwenyekiti wenu MBOWWEE alipomfukuza TOZZI alichezea katiba ya chama au....???
  12. T

    CHADEMA kuzungumza na Waandishi wa Habari leo Makao Makuu ya Chama

    Wazee wa ngada ya poooda....wameshakunywa maji mengi sasa, Ngoja ngosha awanyooshe ndio akili zitarudi.
  13. T

    CHADEMA kuzungumza na Waandishi wa Habari leo Makao Makuu ya Chama

    CCM imeingiaje tena hapo au ndio mnaweweseka jamaa anavyowabana wajanja wajanja, , , , , naona anawanyima usingizi.
  14. T

    Natabiri kususwa, kutengwa kwa Magufuli na kudidimia kabisa kisiasa ifikapo 2020

    Endelea kuamini hivyo, Magufuli hawezi kushindwa, magufuli anapambana na ujanja ujanja..... anainyoosha nchi. TULIENI
  15. T

    Anayefurahia kinachoendelea Dodoma ajipime kwanza!

    Jibu hoja " Ujinga unatoka wapi tena", unachotakiwa ni kumuelewesha...Kwani Zitto hakufukuzwa kwa kukiuka maadili ya Chadema, ???
Back
Top Bottom