Hii ndo sura ya Tanzania ya ccm, watanzania wakati wa mabadiliko umefik, tunataka Tanzania ya mpya, nchi ambayo wakazi wake hawatalia kwa njaa wala kiu, wala hakutakuwa na mtu aliye juu ya sheria, wakati huo ufisadi hautatajwa kwetu wala wasomi wetu hawatarandaranda barabarani na mabahasha...
Mh Kigwangalla wewe ni moja wa wanasiasa vijana ambao nina imani nao, hasa ulipotoa hotuba ile ya kutangaza nia ya kugombea urais kupitia ccm, niliona wazi kuwa una ndoto nzuri na taifa letu. Lakini kwa hili la kuudanganya watanzania sikuungi mkono huu ni wakati wa mabadiliko, miaka 50 chama...
Hayo ni matusi, baada ya kuwanyanyasa mama ntilie miaka yote hamsini bado mnataka kura zao na hali mnawadharau kiasi hicho? Maisha yao yamekuwa magumu kwaajili ya hiyo CCM yenu na bado mnawatukana kwa kuwaona kuwa hawana hadhi ya kufika hotelini.
Kwa taarifa yenu, watanzania kwa pamoja tumeamua...
Wanajifariji ktk hamna, ushindi wa ukawa hauwezi kuzuilika kwa propaganda. Muda wa akili ndogo kutawala akili kubwa umeshapita.
Jiandaeni tu kumpokea Rais mpya wa tz kupitia ukawa 2015
Lowasa alifikiri anaweza kuubadilisha mfumo dhalimu wa CCM akiwa ndani ya mfumo huo, sasa amejua ukweli ndo maana kaja ukawa, watanzania msiwe na shaka naye. Lowasa sasa hana unafiki ndani yake
Mmmmh hana shida tena, ameshafanikiwa kuizika elimu yetu kwa kuingiza siasa ktk elimu. Sasa wao ndo wanaamua wafaulishe kwa division five au kwa GPA bila kujali na waathirika ni watoto wanaotoka ktk familia maskini huku wao wakisomesha watoto wao nje ya nchi kwa kodi zetu. Kama haitoshi wanafiki...
Waite majina yote mabaya kadiri wawezavyo ila tunawapa pole maana wamechelewa. Watanzania wanajua wapumbavu na malofa ni akina nani! Mfa maji siku zote haachi kutapatapa ndivyo ilivyo CCM na viongozi wake. Tunamshukuru mzee Mkapa kwa kutuongezea mtaji wa kisiasa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.