Nashauri tufanye mgomo wa kutotumia simu wiki nzima labda watajifunza, turudi nyuma simu za mezan
Sas hv vifurushi ni masaa 12
Yaan tunaibiwa sana iweje haujatumia iishe mda wake? Ni wiz tuu halaf tcra iko kimyaaa shenz typeWatoa huduma wana umoja wao. Lakini sisi watumiaji wa huduma hizo kila MTU na lwake, tusipounda vyama vya kutetea maslahi yetu tutaendeleza wizi huu
haramu
Kama hujajiunga namkifurushi nanhaya masmart phone zenu. Ukiweka kijivyocha chako zima data. La sivyo utaona unaibiwa daily
Twendeni na Halotel...
Bonge la PointWatoa huduma wana umoja wao. Lakini sisi watumiaji wa huduma hizo kila MTU na lwake, tusipounda vyama vya kutetea maslahi yetu tutaendeleza wizi huu haramu
Kuwa IT raha sana....mwaka unakatika sijui bei ya bandle