Recent content by Tanzania for Majority

  1. T

    JamiiForums Tanzania Boom ni TZS10,000 kwa siku, na siyo TZS8,000

    Hivi watanzania, hizi akili za kipumbavu zilitoka wapi?. Mtu msomi ambaye taifa linakutegemea, na wewe una shadadia, eti mama kaongezq boom kutoka 8000 to 10,000. Hivi akili zako zinajitosheleza wewe, una uhakika uchumi wa 2015 na 2025, uchumo unafanana, inamaana wewe huelewi economy gap kila...
  2. T

    JamiiForums Tanzania TBT: Tujikumbushe hotuba za mhe. Joseph mbilinyi (sugu) bungeni

    https://www.instagram.com/reel/DMSIStBomeX/?igsh=aWgwMzJ0MGR1Yzgx Namba hazidanganyi
  3. T

    JamiiForums Tanzania TBT: Tujikumbushe hotuba za mhe. Joseph mbilinyi (sugu) bungeni

  4. T

    JamiiForums Tanzania Kama Lissu Yupo Gerezani na Hamjaandamana, Mtaizuiaje Uchaguzi?

    Labda watanzania wengine huwa hamuelewi. Ipo hivi, sisi tulio wengi ni kwamba hatuna mambo ya kisiasa, sijui lissu,huyo heche n.k isipokuwa hoja ya msingi ni kuipa thamani kura ya mwananchi, kwamba aweze kuchagua kiongozi anae mtaka regardless awe wa chadema, CCM, CUF, isipokuwa mwananchi...
  5. T

    JamiiForums Tanzania Huyu huyu anayetoa Siri za Wachezaji wazuri wanaotakiwa na Simba SC kwa Yanga SC ndiyo huyu huyu anayetumiiza kwa Yanga SC kila tukikutana nao

    Nikiona jitu la kiume Lina comment upuuzi kama huu, huwa najawa na hasira Kali mithili ya mamba dume alonyimwa unyumba na malkia wa bahari, mamba jike. Hivi una watoto wewe, bila shaka watoto wako wana bahati ya kuwa na baba punguwani kuwahi kutokea, inawezekanaje mtoto wa kiume mwenye uume...
  6. T

    JamiiForums Tanzania Tumefanikiwa kupata habari kamili na location kuhusu, madai ya uwepo wa ukatili sugu kwa mtoto, Mtaa wa Kidemi

    Mama kwanza nianze kwa kukupongeza sana kwa kazi nzuri unayofanya Mimi naitwa Macavel Mama Kuna mwanafunzi wa chuo ananinyanyasa sana , ananifanyia ukatili kiasi siwezi kusoma comfortable kabisa, ananyanyasa hisia zangu eti anasema mapenzi hisia, kweli mama hii ni haki?, nifanyaje mama?
  7. T

    JamiiForums Tanzania Je Bunge la JMT linavikumbuka baadhi ya vifungu na impact zake mbeleni

    Je bunge linavikumbuka baadhi ya vifungu na impact zake mbeleni?
  8. T

    JamiiForums Tanzania Ni neno gani baba yako alitamka ambalo unaliishi mpaka Leo!

    """Find your another father,not me""""".
  9. T

    JamiiForums Tanzania GE2025 Intelligence Insider Africa Yathibitisha Uwepo wa Vikosi Maalum vya Uchaguzi (Red Army) nchini Tanzania

    At the Kila kitu kitakuwa wazi kabisa,ni jambo la kungoja tu
  10. T

    JamiiForums Tanzania Je, inawezekana kuhama diploma under NACTVET kwenda TCU?

    We umenielewa vizuri,kwa Tanzania diploma ya radiology ilikuwa inatolewa muhimbili na Bugando ambavyo vipo chini ya TCU,lakini mwaka huu Yan 2024/2025 ndo kwa mara ya kwanza NACTVET wame offer radiology kwenye colleges zake,na ukiachana na Benjamin hakuna chuo Chochote Cha serikali...
  11. T

    JamiiForums Tanzania Je, inawezekana kuhama diploma under NACTVET kwenda TCU?

    Habari Wana JamiiForums, The home of great thinkers. Moja kwa moja niende kwenye mada. Kuna dogo yeye anasoma chuo fulani Cha diploma kozi ya diagnostic radiography cha private. Sasa kutokana na kile chuo kutokuwa na facilities za kutosha anahitaji kuhama kwenda vyuo vingine vya serikali maana...
  12. T

    JamiiForums Tanzania Jamii inahitaji kiongozi wa aina gani kwa sasa?

    Uongozi ni sanaa ya kuwaongoza watu au kundi fulani kuelekea mafanikio ya pamoja. Kiongozi ni mtu mwenye dhamana ya kuongoza wengine kwa hekima, maarifa, na busara. Uadilifu kwa upande mwingine ni tabia ya kuwa mkweli, mwaminifu, na kutenda haki katika kila hali. Katika jamii yoyote ile, uongozi...
Back
Top Bottom