Ni mkakati wa kuongeza umasikini, rushwa, aibu, biashara haramu tanzania...huo ndio mkurabita na yes wamepewa tunzo ya ufanisi bora wa ufilisi tanzania
Inakuaje m'bunge atolewe njee ya ukumbi wa bunge pale anapotetea maslahi ya taifa,? Kweli ina maana gani ya kuwepo wabunge wa upinzani bungeni? Ni aibu tupu.
Mh. Lema, lisu na mchungaji wametolewa njee ya bunge kwa kusema tanzania haina amani bali ni nidhamu ya uoga? Nini kazi ya wabunge wa...
Hahahaha kumbe watu WA ban tuko wengi.....mood bora hata usimpige mtu ban maana haisaidii kitu...angalia malaria sugu anA id 63 mimi nimefikisha 4 na wengine ndio usiseme hahaha hii imekaa vizuri kweli
Juzi nigeria spika wa bunge aliingia chini ya meza uku akifunika macho yake yasitobolewe wakati wabunge wengine wakitwangana makonde kila mtu na wake hakukuwa na mtu wa kumuamulia mwenzake natamani yatokee dom sijui ilopicha litakuwaje
Je yeye ndio ungekuwa wewe unadhani ungeweza kumiliki 1.5 hct na saloon...? Kama hana hela account zote hizo za nini sasa? Iyo ni vunga mwanangu maana hata mimi ningekuwa japo mtoto wa magufuli nisingeweza miliki viuchafu kama ivo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.