Nianze tu kwa kusema suala la afya katika taifa lolote ni suala la usalama wa kitaifa kwa kua pamoja na mambo mengine nchi hutegemea ustawi wa wa watu wake ili kujipatia maendeleo yake
Wananchi katika nchi ni sawa na ng'ombe na mmiliki wa ng'ombe hao bilashaka ni serikali na ng'ombe ambao...
Umeandika kwa uchungu sana mimi nimekuelewa hasa hili la vivuko na soko la kariakoo?????
Kuna wakati Nyerere alifoka kwa uchungu akimlenga Ben ya kwamba " mnabinafsisha mpaka benki ya taifa??" Benki ambayo mtaji wake wawezakua hata wafanyakazi wa serikali ambao mishahara yao hupitia humo...
Kocha mwenyewe ni wa mmchongoma sijawahiona kutoka kuifundisha Chelsea hadi kua kocha mkuu huku kusini mwa jangwa la Sahara ni kufeli kulikotukuka mbwa wewe!
Wwewe kazi yako ni kumchagua tu baada ya hapo wewe na yeye ni mbingu na ardhi mambo ya kuonana kamtafute balozi wako wa nyumba kumi au mngoje 2025 viwanja vita kampeni
Hiyo kwa wenzetu ni channel ya vichekesho...tuna uhaba wa chakula tunaagiza Mchele nje kisha tunawahamasisha watu wa nje Walete Malori kuja kusomba chakula kwetu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.