Recent content by Tango one

  1. T

    JamiiForums Tanzania Kila la Kheri DARASA la SABA...

    sikuizi ni ruksa kuchunguliana tena usipo mwonyesha mwenzako unakung'utwa kisawasawa kama si ivo wasiojua kusoma wasingepita ila mwaka huu walimu watakua makini na wasiojua kusoma wasije aribu issue all the best wadogo zangu mungu awatangulie
  2. T

    JamiiForums Tanzania Njia sahihi ya kupata pesa zenu kutoka helsb ni.......click here

    si wengine wa sauti tupo tayar vyuoni yana tumelipa ada nusu tumeshachoka tunashindia chai tu tupo tabora nasisi tunataka kushiriki heri kufa kishujaa kuliko kuishi kwa aibu nashindia chai kweli wakati mzaz mtaji wa elfu kumi anabanwa kodi tunakufa huku njaabado ukichelewa kuripoti huku faini...
  3. T

    JamiiForums Tanzania Bodi ya mikopo yafanya kweli.

    msameheni tu jamani yanamtosha hayo msimwongezee atalemewa
  4. T

    JamiiForums Tanzania News alert:another updates from heslb.

    wakisema second round hatupewi mkopo wakati wengine tupo chuoni toka jana sikutupa pressure jaman maana tumelipa robo but ada nyingine zitatoka wapi au ndo kuacha chuo
  5. T

    JamiiForums Tanzania deadline kwa wale wa second round imeongezwa

    jaman mbona tcu wanatoa second selection kwaupendeleo arch bishop mihayo tayar angalieni web yao
  6. T

    JamiiForums Tanzania Kukosekana kwa taarifa juu ya kinachojiri HESLB

    achen tu wapendwa maana tanzania walikua wanaiongoza kama watu vipofu lakini si watanzania wa sasa tuna macho nauelewa wakutambua haki zetu na sio wakupelekwa tu walipaswa kutoa taarifa walipo fikia sio kukaa kimya nakuacha watu bila kuelewa wamesimama wp haya ni madhaaarau
  7. T

    JamiiForums Tanzania Tcu wameniacha hoi

    Archbishop Mihayo Tabora
  8. T

    JamiiForums Tanzania Tcu wameniacha hoi

    Jina halipo ndio kitu kinachonishangaza .
  9. T

    JamiiForums Tanzania Tcu wameniacha hoi

    First selection nilikosa nikajaribu secound round nikawa admitted,nimeangalia kwenye website ya chuo nilichoomba nimekuta tayari majina ya secound round selection yapo,nikachukua jukumu la kupiga tcu jibu walilonipa ni kwamba majina ya secound round hatujawatumia bado.NDUGU ZANGU HAPA IMEKAAJE.
  10. T

    JamiiForums Tanzania sina hamu na tcu

    mh bora yako best mi first round walisema wameruka jina langu so nifanye second round nimefanya nikawa addmitted arch bishop mihayo tabora majina ya second yametoka eti sipo kweli hi ni haki bora yake hata yeye amepata mi ndo sielewi hiz sound mh
  11. T

    JamiiForums Tanzania Ivi kuna mtu amewahi kuangukiwa na zali kama hili la heslb?

    labda baba yake yupo huko huwez jua mwenye nguvu ndo anakula bana nchi hii mwige huone
  12. T

    JamiiForums Tanzania Utata Mpya TCU,

    sawa naona mmemjibu ipasavyo mi nimeomba second round tarehe 28 baada ya fist round kua nautata japo nilienda tcu wakakiri kunamakosa nakusema watashughulikia ikabid niombe tu mara nyingine lakini nasikia kukonfirm imeandika admitted sawa nakonfirm vp
  13. T

    JamiiForums Tanzania Nashukuru Mungu sijapangiwa IFM !!!!

    kila nikimsoma huyo jamaa nasikia kichefuchefu ungekua hujachaguliwa popote ungerembulia wapi wacha kejeli mi mwenzako nina two lakini mpaka sasa tcu wananizingua nabado wanasema wanashughulikia ningepata IFM ningehic nipo haera so we baada yakupata ndo unajifanya sizitaki mbichi hizi unabweka...
  14. T

    JamiiForums Tanzania ELEWA kuhusu HESLB.

    ebu nami niulize kama mkopo utachelewa chuo watataka tulipe ada then mkopo ukitoka wanaturudishia tulicholipa au watasubiri mgodi uteme think big
  15. T

    JamiiForums Tanzania Je, ni kweli wasichana waathirika wa vvu wamesambazwa vyuo vikuu vyote nchini?

    yakubidi ufwate kilicho kupeleka kama kilicho kupeleka ni mangudee basi you will graduate with aids and not A
Back
Top Bottom