VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,135
- 17,800
Watoto wangu na wadogo zangu wa darasa la saba,kesho wanaiingia kwenye mitihani ya Tafa ya kumaliza shule ya Msingi. Watafanya mitihani hiyo kesho na keshokutwa yaani tarehe 19/9/2012 na 20/9/2012. Kila la kheri darasa la saba.Nawapenda sana wanangu na wadogo zangu...