Unafichaje kitu ambacho huna? Kuchanganyikiwa tu...mambo mujini ni mengi sana. Kuna harusi ya milioni 200 ya gari mbovu kuvuta gari mbovu nyingine 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
Sikutegemea kusikia haya kwa mtu kama Haika Lawere. Niliona smart na strong. Na vile ambavyo anapenda sisi walimwengu tujue mambo yake yamenyooka kupitia post zake za mitandaoni.
Ex Husband kuoa, tena mtoto wa mujini kama yeye, inaonekana imekuwa ngumi ya chembe kwake. anaanza kuwadanganya...
Mimi binafsi nimechagua upande ule ambao dhamira yangu inanionyesha, bila upendeleo wala dharau.
Haya maneno yako unaongea leo wakati tumeshatengeneza matatizo mengi ambayo yangeweza kuepukika. Ngoja tuendelee na safari ili hatimaye tufike kule ambako kwa ubabe tumeamua twende.
Kwenye hali...
Hata kama hatafanya siasa, bado ataendelea kuwa busy.Anafuga ndevu fulani amazing. Zile matunzo yake lazima kuanzia asubuhi mpaka jioni.
Kunyoa level, kukaa kwenye kioo, mpaka uje kufanya usafi tayari siku imeisha. Hapo hujapakaa ina, Sunna. 😂 😂 😂 😂 😂
Wanaouwa ni wale wenye msimamo mkali ambao wanafikiri kuua ndio wanaenda mbinguni wakati wanaenda kwenye shimo la moto.
Dini inayojipa madaraka ya kusambaza dini yao kwa kuua ni dini yake shetani. Hilo halina mjadala
Pamoja na changamoto kadhaa zenye kutia wasiwasi kuhusu sisi kama Taifa, amani na umoja wetu, mambo bado ni yale yale. Na yanatia ukakasi.
Mwenyezi Mungu tunaomba uendelee kulitunza Taifa letu...liendelee kustawi na kukaa kwa amani. Amen
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.