Recent content by Tangawizi

  1. Tangawizi

    JamiiForums Tanzania Kichomi cha Dr. Kitima Phd.. Bado yupo sana

    Mwenyezi Mungu atusamehe na kutuhurumia. Taifa linajengwa kwa misingi ya haki, sheria na taratibu. Vinginevyo ni kujitafutia majanga. Dunia nzima inatucheka sababu ya ujinga wetu. Lakini bado tunakomaza shingo tu. Kama njia zinazotumika sasa za kuendesha mambo ndio njia sahihi, basi...
  2. Tangawizi

    JamiiForums Tanzania SEKIONE KITOJO:- SAUTI ILIYOACHA ALAMA KATIKA HISTORIA YA UTANGAZAJI TANZANIA

    Very good memory...hawa wazee walikuwa sehemu ya maisha yetu sababu enzi hizo, bila RTD hakuna namna nyingine nyingi za kupata habari
  3. Tangawizi

    JamiiForums Tanzania Adai kupigwa na watu zaidi ya 30 na kuvunjwa mkono kisa Kuvaa T-Shirt yenye picha ya Rais Samia

    Panapofuka moshi......
  4. Tangawizi

    JamiiForums Tanzania This is Zambia not Tanzania. Walotumwa kuharibu Uchaguzi Wafukuzwa

    Hata visa ya China siku hizi inazingua😀😀😀😀. Tumekuwa watu wa mashaka
  5. Tangawizi

    JamiiForums Tanzania Kichomi cha Dr. Kitima Phd.. Bado yupo sana

    Kwanini inamuonea huruma? Kesi kama hizi za mpaka ugaidi ziko ngapi? Interesting.....😂😂😂😂
  6. Tangawizi

    JamiiForums Tanzania Kichomi cha Dr. Kitima Phd.. Bado yupo sana

    Siwajui maana mimi sio mtu wa usalama. Nilisikia Lisu ana kesi ya uhaini ambayo hata sijui inaendeleaje? Kina nani hao waliopanga kupindua nchi? Na kwanini hawashughulikiwi?
  7. Tangawizi

    JamiiForums Tanzania Nabii Tito akamatwa na Polisi Dar

    Yule jamaa mzima wa akili kweli? Interesting
  8. Tangawizi

    JamiiForums Tanzania This is Zambia not Tanzania. Walotumwa kuharibu Uchaguzi Wafukuzwa

    Tupo tupo tu...... 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
  9. Tangawizi

    JamiiForums Tanzania Nchemba ?

    wakati umechinja kuku wa zindiko..umeachaje 😂 😂 😂 😂 😂 Inaelekea kuna siku litampata....
  10. Tangawizi

    JamiiForums Tanzania {Inadaiwa ni mkewe}: Kwanini mtu amchape hivi Mke wake? Hi si sawa na haikubaliki

    Halafu ukute ni mama wa watoto wake...eishiiii
  11. Tangawizi

    JamiiForums Tanzania Kichomi cha Dr. Kitima Phd.. Bado yupo sana

    Ni kweli nchi inaongozwa. Tunapenda kujua pia inaongozwaje kwa kusikia maoni tofauti tofauti. Na katiba inaruhusu by the way. Halafu, kuna short and long term goals. Haya nayo yatapita kwa haraka kama upepo. Ila historia kama kawaida yake inayaandika na kuhakikisha vizazi hata vizazi wanaelewa...
  12. Tangawizi

    JamiiForums Tanzania Nchemba ?

    Ushaanza ulozi wako wetu mtu 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
  13. Tangawizi

    JamiiForums Tanzania Prof. Kitila: Amjibu Heche "Uongozi wa nchi sio uji kwamba kila mtu anataka apewa kuonja"

    Kwani kwa sasa hatuko kwenye experiment hizo hizo za kugeuza maji kuwa mvuke? Tusijaribu kufanya makosa mengine tena. Tumejifunza kuwa uongozi unataka watu imara wenye maono
  14. Tangawizi

    JamiiForums Tanzania This is Zambia not Tanzania. Walotumwa kuharibu Uchaguzi Wafukuzwa

    Uongozi ndio kila kitu. Zile sifa zote za Tanzania, zimeondoka ghafla
  15. Tangawizi

    JamiiForums Tanzania Mwenda Tezi na Omo marejeo Ngamani-TEC Wameelewa,Bado nani Hajaelewa?

    Ndio ukweli wenyewe. Kumkwepa ni kujidanganya nafsi
Back
Top Bottom