Recent content by Tangawizi

  1. Tangawizi

    JamiiForums Tanzania Kuna upepo wa prominent Protestant converting to Catholicism! Nini kinatokea?

    Kwa mfano, kanisa la Mama Rwakatare, pamoja na kudai walikuwa wanafufua misukule, sasa hivi watoto wanagombania fito. Owner kafa..kumbe ilikuwa biashara kama biashara nyingine.......na mazingaombwe juu
  2. Tangawizi

    JamiiForums Tanzania Kwa Nini Ukristo Hauna Mfumo wa Social Guidance Kama Uislamu na Uyahudi?”

    Uislamu gani unaouongelea wewe? Kuna watu wanaouana wenyewe kwa wenyewe kama maislamu? Na digotal world makes it easier to learn. expect more challenges way forward....
  3. Tangawizi

    JamiiForums Tanzania Hongereni MAT kwa kusimama na Mwanataaluma Mwenzetu; Afande Muliro ameudanganya Umma

    i.... Asiende kutibiwa ten au inakuwaje? Huyu jamaa salimika yake ni daktari,....sioni namna nyingine
  4. Tangawizi

    JamiiForums Tanzania Je yawezekana siku Moja akatokea Rais akaomba kukaa pembeni kisa suala la Afya?

    Malindi, Mwanakwereke, Paje au Tunguu?Sioni namna
  5. Tangawizi

    JamiiForums Tanzania Davido aangua kilio wakati wa kumzika rafiki yake aliefariki kwa kuongeza uume

    Dhahabu anawapelekea kina nani?😀😀😀😀 Kwenye kifo, Mwenyezi Mungu ametuweka wote sawa. Tunakwenda kama tulivyokuja. Hata kama tuna mali kiasi gani. Hazina maana wala msaada wowote
  6. Tangawizi

    JamiiForums Tanzania Msumari wa moto: Mabinti wengi hamjitambui na vazi la u great thinker haliwatoshi au haliwafai

    Na ngoma zake za Tokomile....eti ngoma za wachawi😂😂😂 Sijui Kisebengo naye na mizimu yake ya Mlima Kolelo
  7. Tangawizi

    JamiiForums Tanzania Sheikh Abubakary Zubeir; Fungeni siku tatu kuombea taifa

    Kuna nini shekhe wangu? Maana daaah
  8. Tangawizi

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Daktari aliyempiga Polisi usalama barabarani hajulikani alipo

    Unaweza kuja kumkuta mtaroni....aiseee
  9. Tangawizi

    JamiiForums Tanzania Kwamba umepiga PCB , cbg hasa kwa nyie madaktari wamifugo , kwamba mnakosa pesa ?

    Kusomea kutibu wanyama ilitakiwa uwe na moyo wa chuma aisee....lakini enzi zile guidance haikuwepo. Watu waliingia chaka
  10. Tangawizi

    JamiiForums Tanzania Dereva wa lori auwawa na mlinzi wa puma petrol station Morogoro

    Mlinzi amekosa Ilmu...hasira hasara
  11. Tangawizi

    JamiiForums Tanzania Msumari wa moto: Mabinti wengi hamjitambui na vazi la u great thinker haliwatoshi au haliwafai

    Nimegundua hayo mavitu yako hayafanyi kazi. Kama mpaka leo hujaangusha kitu fasta 😂 😂 😂 😂 Uganga muachie Tekelo aliyekuwa anawarubuni watu miaka ile ya 80. Eti anatoa wachawi...eto mwanadamu kageuka chatu Buguruni. Ujinga kitu kibaya sana. Imagine mpaka leo watu wanaogea maji hata ya watu...
  12. Tangawizi

    JamiiForums Tanzania Msumari wa moto: Mabinti wengi hamjitambui na vazi la u great thinker haliwatoshi au haliwafai

    Ushaanza kukaanga mambo kwenye matunguli yako....
  13. Tangawizi

    JamiiForums Tanzania Chanzo cha Ugomvi wa jana kati ya Trafiki na Daktari ni rushwa. Rushwa imekuwa haki ya askari wa usalama barabarani.

    Ni wasamalia wema...watu wema hao sijui wanapatikana kituo gani 😂 😂 😂 😂
  14. Tangawizi

    JamiiForums Tanzania Mbona Paul Makonda hayuko frontline kwenye camera kama zamani

    kuimba kwa kupokezana....halafu wanafiki huwa hawaaminiani
  15. Tangawizi

    JamiiForums Tanzania Lulu Diva: Sivutiwi na wanaume walio zaidi ya miaka 27, msinishauri

    Unaweza kukukuta kujumlisha wote ni miaka 28
Back
Top Bottom