In a corrupt world, especially Africa, sisi tutakuwa watu wa kwanza wa aina yake baada ya Botswana....ingawa kuna kitu kinaniambia huyo mwekezaji amekataa pressure za watu kama mimi bwana 😂 😂 😂 😂 😂
Haya nayo yana mwisho. Uongozi tusigawane sababu ya kupeana na kujuana.
Uongozi lazima mtu awe na uwezo, hasa wa kiakili.
Ukiona mtu anaongoza kwa udini, Ukabila na haya mambo ya ametoka wapi, hamna kitu hapo
Tanzania, kila mtu amekuwa mganga wa kienyeji? Hii inachekesha sana. Badala ya kutoa msaada, analeta mazingaombwe.
Kwani knowledge ya hospitali ametuletea nani? Mwenyezi Mungu ana namna anafanya kazi yake....haya mambo ya kupiga kelele na kumlazimisha atende maajabu ni uongo mtupu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.