Recent content by Tangawizi

  1. Tangawizi

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Haika Lawere: Wanawake ficheni Mali Zenu, Wanaume Ni Matapeli!

    Unafichaje kitu ambacho huna? Kuchanganyikiwa tu...mambo mujini ni mengi sana. Kuna harusi ya milioni 200 ya gari mbovu kuvuta gari mbovu nyingine 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
  2. Tangawizi

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Haika Lawere: Wanawake ficheni Mali Zenu, Wanaume Ni Matapeli!

    Mama moto...Baba moto...watoto moto🤣🤣🤣🤣🤣
  3. Tangawizi

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Haika Lawere: Wanawake ficheni Mali Zenu, Wanaume Ni Matapeli!

    Inamuhusu nani? yule aliyeleta ujumbe anajua vizuri alichosema...kwamba ukitaka kula lazima uliwe. 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
  4. Tangawizi

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Haika Lawere: Wanawake ficheni Mali Zenu, Wanaume Ni Matapeli!

    Sikutegemea kusikia haya kwa mtu kama Haika Lawere. Niliona smart na strong. Na vile ambavyo anapenda sisi walimwengu tujue mambo yake yamenyooka kupitia post zake za mitandaoni. Ex Husband kuoa, tena mtoto wa mujini kama yeye, inaonekana imekuwa ngumi ya chembe kwake. anaanza kuwadanganya...
  5. Tangawizi

    JamiiForums Tanzania TAKUKURU Kinondoni hivi mko seriazi? Mpaka Leo hamjamkata Alex Msama?

    Alikuwa mstari wa mbele na kampeni za kutiki...kumbe ana yake hatujui
  6. Tangawizi

    JamiiForums Tanzania Zanzibar: Naibu Waziri wa Vijana, Hassan Khamis: Wanaofanya kazi kwenye Mahotel Zanzibar siyo wazawa inabidi tufanye Mapinduzi

    Hapo wanataka kuwarudi watanganyika...halafu wakija Tanzania, wote tunakuwa watanzania. Hakuna kitu kibaya kama kujidanganya nafsi 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Kuna siku itaweza kuleta maswali yatakayotaka majibu...subira yavuta kheri
  7. Tangawizi

    JamiiForums Tanzania Ni muhimu taifa kuanzisha kampeni ya mapema ya kuwakataa vibaraka wa mabwenyenye ya magharibi kwenye sanduku la kura 2030

    Mimi binafsi nimechagua upande ule ambao dhamira yangu inanionyesha, bila upendeleo wala dharau. Haya maneno yako unaongea leo wakati tumeshatengeneza matatizo mengi ambayo yangeweza kuepukika. Ngoja tuendelee na safari ili hatimaye tufike kule ambako kwa ubabe tumeamua twende. Kwenye hali...
  8. Tangawizi

    JamiiForums Tanzania Said Issa Mohamed aliyeishtaki CHADEMA atimuliwa rasmi Uanachama kwenye chama hicho

    Hata kama hatafanya siasa, bado ataendelea kuwa busy.Anafuga ndevu fulani amazing. Zile matunzo yake lazima kuanzia asubuhi mpaka jioni. Kunyoa level, kukaa kwenye kioo, mpaka uje kufanya usafi tayari siku imeisha. Hapo hujapakaa ina, Sunna. 😂 😂 😂 😂 😂
  9. Tangawizi

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Serengeti Boys imevunja kambi yake leo Juni 5 lakini hawajapewa Tsh. Milioni 500 walizoahidiwa na Rais Samia

    Ina maana walikuwa wanajua ni serious?Madogo huwa hawataniwi?
  10. Tangawizi

    JamiiForums Tanzania Shahada za heshima alizotunukiwa Samia Suluhu Hassan tangu awe Rais

    Next ni kupewa uprofesa tu. Hakuna namna 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
  11. Tangawizi

    JamiiForums Tanzania Askofu Wa Kanisa La Katoliki Apigwa Risasi Na Kuuwawa Msumbiji. Ingekuwa Tanzania Wenye Chuki Binafsi Wangeanza Kumtukana Rais Wetu na kuzusha uongo

    Wanaouwa ni wale wenye msimamo mkali ambao wanafikiri kuua ndio wanaenda mbinguni wakati wanaenda kwenye shimo la moto. Dini inayojipa madaraka ya kusambaza dini yao kwa kuua ni dini yake shetani. Hilo halina mjadala
  12. Tangawizi

    JamiiForums Tanzania Picha: Mtoto wa Samia akiwa Russia

    Pamoja na changamoto kadhaa zenye kutia wasiwasi kuhusu sisi kama Taifa, amani na umoja wetu, mambo bado ni yale yale. Na yanatia ukakasi. Mwenyezi Mungu tunaomba uendelee kulitunza Taifa letu...liendelee kustawi na kukaa kwa amani. Amen
  13. Tangawizi

    JamiiForums Tanzania Iran wamebana kotekote. Mbinu za Marekani na Israel zimegonga mwamba

    Baada ya maayatollah karibu wote kwenda kupata pombe na wale mabikira wasio na idadi....US na Israel wamesalimu amri 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
  14. Tangawizi

    JamiiForums Tanzania Kete ya Dkt. Nchimbi itawateka wajinga

    Nimependa mawazo mbadala...ingawa ya mbeleni, ni siri yake maanani
  15. Tangawizi

    JamiiForums Tanzania Picha: Abdul (mtoto wa Samia) yupo Moscow. Kaenda kwa shughuli gani? Kama nani?

    Kuuuza...kuuza nini sijui?
Back
Top Bottom