Recent content by Tangawizi

  1. Tangawizi

    Viongozi wa Bunge wanapaswa kuwa wenye afya njema, mkiweka vimeo mtalitia hasara Taifa

    Na mwenye Tanzania ndiye anawamiliki wananchi
  2. Tangawizi

    Viongozi wa Bunge wanapaswa kuwa wenye afya njema, mkiweka vimeo mtalitia hasara Taifa

    Mmiliki wa Tanzania hajawahi kulala wala kusinzia. Kila kitu kina muda wake. tusipige ramli chonganishi tu
  3. Tangawizi

    IRGC ilitangaza wimbi la 71 la "Operesheni Iliyoahidiwa Sadiq 4," ikitambulisha mbinu mpya na mifumo ya hali ya juu zaidi

    Wamatumbi mmepata pa kusemea sasa 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 siku zote kimyaaaaa
  4. Tangawizi

    Kafulila: Tumemkataa mbia barabara ya kulipia Kibaha -Chalinze kwa maslahi mapana ya nchi yetu

    Ukiona haya ujue wenye matakwa yao wamepigwa chini😂😂😂😂
  5. Tangawizi

    Kafulila: Tumemkataa mbia barabara ya kulipia Kibaha -Chalinze kwa maslahi mapana ya nchi yetu

    In a corrupt world, especially Africa, sisi tutakuwa watu wa kwanza wa aina yake baada ya Botswana....ingawa kuna kitu kinaniambia huyo mwekezaji amekataa pressure za watu kama mimi bwana 😂 😂 😂 😂 😂
  6. Tangawizi

    Miaka 5 ya Samia madarakani ametekeleza miradi mikubwa mingi kuliko Rais yeyote wa kabla yake

    kabisa...tena wasitupigie kelele. Maana chema chajiuza....kibaya chajitembeza
  7. Tangawizi

    Tujiandae na 'lock down' nyingine kubwa

    Sisi tutatuma makomandoo waikomboe ile sehemu...chap chap
  8. Tangawizi

    Tujiandae na 'lock down' nyingine kubwa

    Sasa hivi mkanda unaweza kukata kiuno. Umebana kuliko kawaida
  9. Tangawizi

    Kilio na sala ya Lissu toka Ukonga: Watanzania mmelala? Mimi sijalala

    Kwanini anajificha? Anayelala usimwamshe....
  10. Tangawizi

    Kilio na sala ya Lissu toka Ukonga: Watanzania mmelala? Mimi sijalala

    Kuna wakati binadamu tunajipa status ya Umungu Mtu, sababu ya madaraka au mali nakadhalika...lakini mambo yote yanapita, tena upesi sana.
  11. Tangawizi

    Rostam Aziz anunua kampuni ya Nation Media Group ya Kenya

    Mzee anajipanga upya kutuletea mambo mengine🤣🤣🤣🤣🥰
  12. Tangawizi

    Wakati tunapinga Mkataba wa DP World wafanyabiashara walikuwa kimya. Gharama za bandari zimeongezeka kwa 500% hadi 700%

    Haya nayo yana mwisho. Uongozi tusigawane sababu ya kupeana na kujuana. Uongozi lazima mtu awe na uwezo, hasa wa kiakili. Ukiona mtu anaongoza kwa udini, Ukabila na haya mambo ya ametoka wapi, hamna kitu hapo
  13. Tangawizi

    Tanker KC-135 Yaanguka huko Iraq-CENTCOM yatangaza!!

    Hii vita ikiendelea hivi, sisi wenye dini huku Chalambe, tutasumbua sana wanakijiji wenzetu.
  14. Tangawizi

    Dereva Wa Marehemu Ssebo: Boss alikuwa katika hali mbaya, nilichokifanya nilimfanyia maombi

    Tanzania, kila mtu amekuwa mganga wa kienyeji? Hii inachekesha sana. Badala ya kutoa msaada, analeta mazingaombwe. Kwani knowledge ya hospitali ametuletea nani? Mwenyezi Mungu ana namna anafanya kazi yake....haya mambo ya kupiga kelele na kumlazimisha atende maajabu ni uongo mtupu
Back
Top Bottom