Mwenyezi Mungu atusamehe na kutuhurumia. Taifa linajengwa kwa misingi ya haki, sheria na taratibu. Vinginevyo ni kujitafutia majanga. Dunia nzima inatucheka sababu ya ujinga wetu. Lakini bado tunakomaza shingo tu.
Kama njia zinazotumika sasa za kuendesha mambo ndio njia sahihi, basi...
Siwajui maana mimi sio mtu wa usalama. Nilisikia Lisu ana kesi ya uhaini ambayo hata sijui inaendeleaje? Kina nani hao waliopanga kupindua nchi? Na kwanini hawashughulikiwi?
Ni kweli nchi inaongozwa. Tunapenda kujua pia inaongozwaje kwa kusikia maoni tofauti tofauti. Na katiba inaruhusu by the way.
Halafu, kuna short and long term goals. Haya nayo yatapita kwa haraka kama upepo. Ila historia kama kawaida yake inayaandika na kuhakikisha vizazi hata vizazi wanaelewa...
Kwani kwa sasa hatuko kwenye experiment hizo hizo za kugeuza maji kuwa mvuke? Tusijaribu kufanya makosa mengine tena.
Tumejifunza kuwa uongozi unataka watu imara wenye maono
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.