Huu utamaduni wa CCM kuwalinda wakwepa kodi eti kwa kuwa wamechangia ushindi wa chama ni utamaduni wa wa ki zuzu.
Hao wafanyabiashara wanawatapeli ccm na serikali kwa ujumla, kwa kuwa mtu anakuibia 1000 halafu anakupa 100 kutoka kwenye hiyo aliyokuibia.
Magufuli usikubaliane na uzuzu huu...
Nimemfahamu Paulo Makonda vyema baada ya kuteuliwa kwake kuwa DC wa Kinondoni.
Niseme wazi kuwa tabia yake inadhihirisha utovu wa nidhamu, kujipendekeza kuliko pitiliza kunakopelekea kuwavunjia heshima wakubwa wake wa kazi ambao kimsingi ndio waajiri wake.
Kuna ambao amewavunjia heshima kwa...
Suala la undugu wa Membe na JK lipo wazi sana.
Familia zao zote zinajua hilo.
Ridhiwani na familia ya JK wanamuita Membe Baba mdogo.
Sidhani kama wana ccm wataukubali huu usultani unaotaka kujengwa na familia ya JK
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.