Kwa kweli Chato wanahitaji hongera...wamepiga sana hatua kimaendeleo baada ya Uchaguzi Mkuu wa 2015, nashangaa Dodoma tangu mwaka 1977 pamoja na kuwa na CDA hawana Uwanja wa Ndege wa maana...
Chato Oyeee, Wahutu Oyeee!
Kilicho dhahiri ni kuwa...Magufuli atapingwa 2020, iwe Kalokola, iwe Membe, liwe Jiwe lenzake, iwe Kichaa mwingine ama hata wale wabangua korosho kwa meno kule Mtwara...THE WRITINGS ARE BRIGHTLY SCRIBLED ON THE WALL!
Sasa povu la nini kiongozi, imekuuma? Kwani mimi ndo Bunge la EU au Senate ya Marekani? That is a precise price of evil, u gotta face it and own it bloody fools!
BAN/KIFUNGO tu cha siku 1 hapa JF huwa kinauma kinyama...sasa fikiria kiongozi mpenda sifa na mbwembwe za madaraka kama Makonda apigwe hiyo ban ya kutokutakiwa nchi zote za EU na Marekani, na nchi Washirika kama Australia..
Nasema hivyo kwa sababu moja ya vipengele vya maagizo ya EU kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.