Kwa wanaofikiri vizuri,wanajua mbunge wajibu wake ni kufikisha matatizo na vipaumbele vya maendeleo ya eneo lake kwa mamlaka husika (serikali kuu na manispaa yake)hakusanyi kodi za wananchi,ada za leseni,kodi za majengo,kodi za mapato,vat na nyinginezo,kwa hiyo ukiona sehemu yoyote haijaendelea...
Ulimwengu ni wakili tangu 1980's labda kama kuna utaratibu usipo practice kwa muda unafutwa na kutakiwa kuomba upya,na kama kumbukumbu zangu hazija potea aliwahi kuwa Rais wa TLS
Katika clip alizo sikika Jana Wema alisema walienda kusachi wakakuta hakuna kitu,kama kuna ukweli je walikwenda tena ndiyo wakakuta huo msokoto? Na kama ni hivyo unafikiri watanzania walio wengi wataamini kweli msokoto huo haukuwa wa kubambikiwa baada ya kumsikia akilalamika kupitia mtandao?ili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.