Recent content by Tamapahi

  1. T

    JamiiForums Tanzania NONDO AMEHUMIWA?

    Wanajamvi mimi sio mjuzi wa sheria,naomba kujuzwa na wabobezi wa sheria juu ya haki anazopoteza mtuhumiwa aliyesomewa mashtaka ya jinai mahakami kabla ya mahakama kumtia hatiani,nauliza kutokana na memo inayooneka mitandaoni juu ya nondo kusimamishwa masomo kwa tuhuma zinazomkabili,na kama...
  2. T

    JamiiForums Tanzania Ushauri: Abdul Nondo tekeleza hili jambo haraka sana

    KIBST Unamaanisha aombe msamahaa ukimaanisha amekosa au akubali yaishe? Siamini juu ya kwenda ukimbizini nikiamini njia nzuri ya kutatua tatizo ni kulikabili na sio kulikimbia,lakini pia ushauri wa kuomba msamahaa kwa maelezo yanayo pingana ya wanaomtuhumu pia siungi mkono kwani hili linafanya...
  3. T

    JamiiForums Tanzania Tetemeko la ardhi lasikika maeneo ya Kanda ya Ziwa Victoria

    Majira ya saa 0.18 usiku huu tetemeko la ardhi lililodumu kwa wastani wa dakika 1 limetikisa geita.tusubiri vipimo vya wataamu tujue ukubwa wake na kama kuna madhara yametokea
  4. T

    JamiiForums Tanzania Je, kufuta fao la kujitoa ni kuwarudisha watu utumwani?

    Mara nyingi nimekuwa nikifuatilia kauli zako zenye kuondoa sintofahamu kwa makundi mbalimbali ya kijamii, hasa kwa mambo ambayo yamekosa utatuzi kwa muda mrefu, bila kujali mkwamo ulikuwa wa kisheria au ukiritimba wa kiutendaji.Kutokana na uwezo wako huo wa kutatua matatizo ya watu wako sina...
  5. T

    JamiiForums Tanzania Je, tunaamini chama kimoja ni suluhisho la uzalendo na uchumi?

    Kusajiri leo sio tatizo, tujadili bila mihemko lengo hapa ni kutafuta njia sahihi ambayo tunapaswa kupita ili Tz ibaki kuwa eneo salama kwa ustawi wa watu wake, hii ni kutokana na mabadiliki ya mfumo wa siasa Duniani. leo dunia inazungumzia siasa ya uchumi ndani yake kukiwa na fursa kwa watu...
  6. T

    JamiiForums Tanzania Je, tunaamini chama kimoja ni suluhisho la uzalendo na uchumi?

    Wanajamvi tumekuwa na wimbi la Viongozi wa kuchaguliwa wa vyama vya upinzani kujiunga na chama tawala, na hali isiyo ya usawa kwenye chaguzi za marudio, hali inayoonesha dalili za kufuta upinzani, kwani naamini kwa nguvu hizi na hurka yetu ya woga hakuna hata chama kimoja cha upinzani TZ bara...
Back
Top Bottom