Wanajamvi tumekuwa na wimbi la Viongozi wa kuchaguliwa wa vyama vya upinzani kujiunga na chama tawala, na hali isiyo ya usawa kwenye chaguzi za marudio, hali inayoonesha dalili za kufuta upinzani, kwani naamini kwa nguvu hizi na hurka yetu ya woga hakuna hata chama kimoja cha upinzani TZ bara kitashinda chaguzi yeyote kuanzia za marudio zijazo na hata zile za serikali za mitaa 2019 na uchaguzi mkuu 2020.Tujadili