Recent content by TAmanyisye

  1. T

    Barua ya wazi kwa Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe: CHADEMA Isikubali kuonewa

    Mimi kwa jinsi ninavyoona hali ya mwenendo wa Kisiasa style ya kuongoza ya Rais Samia anatumia Uongozi shirikishi, CCM inashirikishwa. Nawashauri upinzani uanze majadiliano na uongozi wa CCM ndo baadaye waanze Mazungumzi na Serikali.
  2. T

    CHADEMA mnashindwa hadi na UVCCM Ruvuma? Hii ni aibu

    Ni vizuri ukauliza vyanzo vya Rasilimali fedha zimetoka wapi isije ikawa zinajengwa kwa makubaliano na wawekezaji kwa maharti ya umiliki wa miaka 50
  3. T

    Serikali igawane Mikoa ya Lindi, Morogoro, Ruvuma, Tabora, Mbeya na Rukwa bali sio Geita

    Hapana huo mradi wa kugawa maeneo ya Utawala usitishwe kwa sababu za kuongezeka Gharama za uendeshaji wa Serikali kama kuna ulazima sana Mikoa iliyogawanywa tuangalie tumeachieve nini. Hiyo inayoitwa Mikubwa ijengewe barabara za lami kuunganisha Wilaya na Makao Makuu ya Mikoa ufanisi...
  4. T

    Uchaguzi ungefanyika sasa, Samia Suluhu angepata 98% ya kura zote maana wapinzani wote wanamsifu

    Hiyo naipa tafsiri kuwa unamsifu in disguise ni Mbowe aliyedhihirika kuwa ni mpinzani imara kupata kutokea ndani ya Jumuia ya Afrika Mashariki ambako mfumo wa kimabavu umetamalaki. Pamoja na kuumizwa kimwili na kiuchumi lakini hajayumba sisi wengi tulinyamaza kimya wakati uonevu wa wazi...
  5. T

    GE2020 Rais Magufuli kama Mbeya na Kanda ya Nyasa na Arusha mjini wanamshabikia Tundu Lissu na CHADEMA kiasi hiki, wapi utakuwa umefanya makosa?

    Hili ndilo tatizop la vijana wa Kiafrika, siri ya Maendeleo utayapata kutokana Maandishi hicho ndio chanzo sahihi ya kupanua uelewa wako.Usipende sana vitu vya kusimuliwa tafata maarifa katika vitabu na machapisho ya kitalaamu.Huyu ndugu Mier ameamua kuchukua mda wake kushare nasi kile...
  6. T

    The federal Republic of East Africa

    This topic needs a holistic approach, before embarking in a full Political Integration. The whole structure of Resource Allocation on each Member State should be reviewed to encompass Social-economical set-up. It is imperative for each of us to discuss this issue on finding a best formula to get...
  7. T

    Tupia majina ya baa za kibongo

    Kula na wazee pub, mivinjeni kurasini dar
  8. T

    Ukawa kuweni makini, jimbo la mbarali lina uzwa na ndugu hawa

    Kilicho pangwa ni kuwa, baada ya Haroon kupita kura za maoni CCM na Gamdust kugombea kupitia CUF/UKAWA wakati kampeni zikiendelea Gamdust atajitoa au atafanya kampeni dhaifu ili kumpa binamu yake nafasi ya kushinda kirahisi kupitia CCM.
  9. T

    Ukawa kuweni makini, jimbo la mbarali lina uzwa na ndugu hawa

    Abunuas hujakiona hiki kipande? Kilicho pangwa ni kuwa, baada ya Haroon kupita kura za maoni CCM na Gamdust kugombea kupitia CUF/UKAWA wakati kampeni zikiendelea Gamdust atajitoa au atafanya kampeni dhaifu ili kumpa binamu yake nafasi ya kushinda kirahisi kupitia CCM.
  10. T

    ccm huu msindikizo wa Lowasa mmeandika lakini?

    Si unaona na orodhesha.
  11. T

    Aibu: CCM wawakataza watangaza nia kufanya midahalo popote pale nchini

    Huu utaratibu ni mzuri na ungeweza kusaidia vyombo vya maamuzi kufanya evaluation ya wagombea kuangalia ni namna gani imepokelewa na watazamaji/wasikilizaji.Nakumbuka wakati wa muhula wa pili wa Uraisi wa Obama, upande wa Republican walijitokeza wagombea wasio pungua nane(8) mmoja wa wagombea...
  12. T

    Kutoka ukumbi wa BoT Mwanza: Wassira atangaza nia kugombea Urais

    Tunaomba Mod mtuwekee Video clip za watia nia wote ili tupate urahisi wa kuwachambua.Tafadhari fanyeni kazi hiyo ya kitume na muanzishe thread maalum kwa ajili hiyo.asanteni sana.
  13. T

    Mwarobaini wa Kweli wa Mahakama ya Kadhi ni Huu, Wakristo, Waislamu, Kuukubali Bila Matatizo!.

    Pasco, Heshima yako Mkuu, ombi langu kwako uitume Essay hii kwenye magazeti yote ya kiswahili ili elimu uliyotoa leo iwafikie wengi.Hakika umeandika kitu cha msingi ambacho kinamaliza vianzo vya migogoro isiyokuwa ya lazima kwenye jamii yetu mchanganyiko.
Back
Top Bottom