Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 13,498
- 51,090
- Thread starter
- #81
Experience yangu siku hizi ni kuwa vijijini kuna watu wako serious mno na siasa kuliko mjini!Vijijini watu wana maisha yao mengine kabisa.
Ni ngumu kwa mtu kuacha shughuli zake za kuchunga mifugo, kulima au palizi akaandamane kudai katiba mpya.
Unless kama utamwambia hiyo katiba itamsaidiaje kulinda mifugo yake na ardhi.
Ishtoshe vijijini kuna tawala tofauti na za kimila au Yowe zinazoheshimika sana, ambazo sidhani kama Chadema wana ushawishi huko.
Tena Mjini watu na mishemishe zao zaidi
Vijijini watu wanavunja hata ujirani mwema sababu ya siasa