Barua ya wazi kwa Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe: CHADEMA Isikubali kuonewa

Vijijini watu wana maisha yao mengine kabisa.

Ni ngumu kwa mtu kuacha shughuli zake za kuchunga mifugo, kulima au palizi akaandamane kudai katiba mpya.

Unless kama utamwambia hiyo katiba itamsaidiaje kulinda mifugo yake na ardhi.

Ishtoshe vijijini kuna tawala tofauti na za kimila au Yowe zinazoheshimika sana, ambazo sidhani kama Chadema wana ushawishi huko.
Experience yangu siku hizi ni kuwa vijijini kuna watu wako serious mno na siasa kuliko mjini!
Tena Mjini watu na mishemishe zao zaidi
Vijijini watu wanavunja hata ujirani mwema sababu ya siasa
 
Experience yangu siku hizi ni kuwa vijijini kuna watu wako serious mno na siasa kuliko mjini!
Tena Mjini watu na mishemishe zao zaidi
Vijijini watu wanavunja hata ujirani mwema sababu ya siasa
Labda Unguja na Pemba.

Huku bara mabonanza ya kitamaduni yana nguvu kuliko siasa.
 
Hakuna kitu ambachoMbowe na CHADEMA hawajafanya.

Wameshajaribu zaidi ya mara 4 kuingiza watu barabarani kwaajili ya maandamano bila mafanikio.

Watu hawako tayari.

Na Mbowe hana ushawishi huo mkubwa mnaodhani anao.

Mara ya mwisho walitangaza maandamano baada ya uchaguzi mkuubwa 2020 na hakuna aliyejitokeza, kila mtu anaandamana ONLINE 🤣

CHADEMA waache ubinafsi, washawishi makundi mengi ya kijamii yawaunge mkono. Hivyo ndivyo hata UHURU ukivyopatikana.

Hii mentality ya CHADEMA kujiona wao ndio wao, wao ndio wapigania HAKI, wengine wasaliti Yaani kama una shida wewe ndio unapaswa kuwaunga mkono ni ya kipumbavu na itaishia kumtajirisha Mbowe tu kwa kuvuna ruzuku tu basi.
Nakumbuka walivomshambulia kwA kumpa majina "Dr Mihogo na Padri Mzinifu" Slaa,,tena wakatengeneza press conference watoto wake waje kumnanga😀😀 ,mzee wa watu na yy mwishoni akajifanyia wepesi wa teuzi
 
Nakumbuka walivomshambulia kwA kumpa majina "Dr Mihogo na Padri Mzinifu" Slaa,,tena wakatengeneza press conference watoto wake waje kumnanga😀😀 ,mzee wa watu na yy mwishoni akajifanyia wepesi wa teuzi
Halafu yule mama wakamzawadia VITI MAALUM.
 
Sikia nikwambie hutobaki mzima ,Kama sio kesho ila bado utakufa , Sasa nikwambie sio mda nitaandamana mwenyewe mpaka chamwino ikulu , liwalo na liwe why kuogopa kivuli mlicho kutengeneza wenyewe

Uoga wako peleka KWA mkeo , usituletee sie, au mimi
Walishindwa vijana wa Jkt huweze wewe ukiwa kwenye keyboard
 
Mimi naamini ishu ya maandamano, kama yakiandaliwa vizuri yanaweza kufanyika lakini in phases

1. Lazima yawe incremental, spontaneous, yanayoongezeka kila day after day

2. Initially yawe decentralized, yaani kila kundi la watu let say kumikumi kila moja kuandamana kivyake katika mahali wanapoona wanaweza kufikisha ujumbe wao mpaka hapo baadae itakapoamuliwa

3.Ukisharegister mafanikio ya awali, inajengwa momentum kwa ajili ya maandamano mengine ambayo nayo ni ya watu makundinakundi kila moja ikitarget eneo lake na intensity inaongezeka

4. Ngoma ikishaitika yanaitishwa maandamano makubwa makubwa

Lazima tuelewe falsafa ya jeshi la polisi nchini ktk kuzuia maandamano

1. Nguvu nyingi huwa ni kuzuia yasianze kuliko kuthibiti yakishaanza, njia wanayofanya ni kukamata influencers, organisers, viongozi wakubwa, etc
Waulize wamakonde na maandamano yao ya gesi yalifikia wap?
 
mimi ni muumini wa siasa za kistaarabu zenye kuzingatia maslahi ya nchi yangu kwanza.
Tanzania ni Muhimu zaidi kuliko chama chochote kile.
siko tayari kunyamaza ninapoona chokochoko za kuhatarisha amani yetu maana likiharibika hakuna atakaye salimika.
Choko choko wanaanzisha polisi kwa kuzuia watu kufanya mikutano ambayo ni halali kisheria
 
weka ushabiki pembeni, waulize kina Lwaitama, kina msigwa na viongozi wengine walio kuwa wanahamasisha wananchi wahudhurie kikao cha ndani, hivi kweli kilikiwa kikao cha ndani au mkutano wa hadhara?!
unajua chadema mara nyingi wanawachukulia Askari wetu kama watu fulani hivi wasio jielewa! yaani huwa wanawadharau sana askari na kujiona wao wana akili zaidi.
sasa ngoja wakabiliane na mkono wa sheria. maaana nchi hii inafuata utawala wa sheria, ukivunja sheria lazima ushughulikiwe.
We nae hta hujielewi! Kwa hyo chadema kufanya mkutano wanevunja sheria gani?
 
Waulize wamakonde na maandamano yao ya gesi yalifikia wap?
Hizo ni changamoto tu za kudai haki
Hata huko ambapo leo wana haki ya kuandamana wana majeshi tena yenye nguvu sana lakini persistence inapelekea hata majeshi yaone ni ujinga kupiga watu wa nchi yao wenyewe
 
Ni nani anaeweza kumchallenge Mbowe leo akabaki salama.

Ni kwanini vifungu vya kikatiba vyote vilivyoonekana kumsumbua Mbowe alivibadili ?

Ni kwanini linapotokea jambo ambalo Mbowe huwa anaona lina maslahi kisiasa katiba huwa anaweka pembeni. Mfano halisi ni Lowassa kupewa fomu ya kugombea yeye peke yake.
Aaah, kumbe upo hivi, ni heri umejitambulisha kuliko ambavyo siku zote unajificha karibu na ukuta ili usijulikane unasimamia wapi hasa.

Mbowe hana jeshi la kumbakisha madarakani kwa nguvu. Wanachama wa chama kile wakitaka aondoke hana uwezo wa kuwaweka mahabusu, na tumeona wengi wakiamua kwenda kujaza matumbo yao yenye njaa huko huko CCM.

Kwa hiyo wewe kumlaumu Mbowe kuendelea kuilinda CHADEMA ambayo ilitakiwa iwe mmeiua siku nyingi, inaeleweka sana. Nilikuwa sijui kwamba upo huko hata kidogo.

Sasa nikuombe jambo.

Kwa nini usianzishe kampeni ya kumwondoa Mbowe kwenye uenyekiti wa chama kwa vile amekuwa king'ang'anizi? Sisi tutaendelea huku kuishikilia CCM iache tabia ya kuharibu chaguzi, na kukiuka katiba ya nchi katika mambo mengi.

Unamwogopa Mbowe atatumia mabunduki na mabomu ya machozi kwako?
 
Ndugu Freeman!
Mara nyingi umesikika ukitaka sana siasa za uungwana, siasa za akupigaye shavu la kushoto basi mgeuzie la kulia. Hilo ni jambo zuri lakini hiyo falsafa yako inafanya kazi katika nchi za watawala ambao ni sober minded, siyo katika nchi ambayo watawala wameamua liwalo na liwe kwenye kusimika mifumo ya dhulma, uonevu ukandamizaji na kufanya lolote ilimradi waendelee kubaki madarakani hata kama si kwa ridhaa za wananchi.

Ndugu Mbowe
Tone yako ya kupenda maridhiano watawala wanaitafsiri kama uoga.

Huu uonevu mnaofanyiwa na watawala wa kunyimwa haki zenu za kufanya siasa kinyume cha katiba mtaendelea kufanyiwa mpaka siku mtakapoamua kusema sasa inatosha!

Ndugu Mbowe, Huu ni muda sasa wa kuvunja confidence hii ya watawala ambayo kimsingi wameshajiaminisha kuwa hamna uwezo, wala guts za kufanya chochote. Hii chain mkiifanikiwa kuivunja mtakuwa katika position nzuri za kuadvance haki zenu za kisiasa nchini.

Huu ni muda muafaka wa kuraise stake katika utawala wa nchi hii ili waone kuwa kutawala kinyume cha sheria na katiba ni kitu chenye gharama, kwa hiyo lazima ufanye yafuatayo:

1. Ni muda muafaka sasa wewe kuhimiza Wafuasi wako wasitii maagizo batili
Toa maagizo yako kwenye machinery nzima ya chama chako, Viongozi na wanachama wa chama chako wasitii maagizo haramu ya watawala katika maeneo yao. Kwa mfano kama Wamezuia mikutano, wewe waagize wafanye mikutano. Wewe usijali wala kuhofu maagizo yako yatafanyiwa kazi kwa kiwango gani, lakini wewe toa agizo la kichama, vikao na mikutano ifanyike. Katika hili kuna watakaofanikiwa kufanya hiyo mikutano kuna watakaoshindwa kwa sababu mbalimbali, lakini ni lazima tuvunje hii chain ya utii haramu wa maagizo haramu yaliyo kinyume cha sheria

2. Ni lazima CHADEMA iendelee kuwin huruma ya wananchi
Haya matendo mnayofanyiwa ya uonevu na ukandamizaji, wananchi wanayaona. Sasa ni muda muafaka wa kuyadocument vizuri, kuyaamplify ili wananchi wengi wayaone. Uonevu ambao watawala wanawafanyia kama mtaweza kuwashitakia, uungwaji mkono utakuwa ni mkubwa, na utaendekea kukua siku baada ya siku

3. Ndugu Mbowe ni muda wa Uongozi wa CHADEMA kusacrifice zaidi
Ndugu Mbowe, kama nilivyokueleza huko juu, kuna ulazima wa kuvunja chain hii ya uonevu, hili halitifanyika bila uongozi wa CHADEMA kujitoa mhanga(kusacrifice), Ni lazima uongozi wa CHADEMA uitishe mikutano ya wazi ambayo ni ya haki kisheria, ikizuiwa kinyume cha sheria Viongozi wa CHADEMA wasitii, Kubalini kusacrifice hata Jela lakini haki yenu kama Chama muipate. Na hii mikutano isiwe one day event, itisheni hii mikutano mara kwa mara mpaka watawala waone kuwa gharama za kupambana na CHADEMA ni kubwa kuliko kutenda haki.

Ndugu Mbowe, Hii chain ya nyie kuonewa hamtaivunja mpaka msacrifice, muwe tayari kwenda jela kwa ajili ya course hiyo

4. Ni lazima CHADEMA itumie fursa za serikali ya CCM kuboronga kwenye uchumi ili kuvuna sapoti ya wananchi
Ndugu Mbowe, Kimsingi, CCM wanajua measures zao za kiuchumi ni unpopular kwa wananchi, pia wanajua legitimacy yao ya kisiasa kwa wananchi ni ndogo sana, kwa hiyo wanachokifanya ni kujaribu kwa nguvu zote kuweka ukuta baina yenu na wananchi ili msiwape hao watawala kibano cha kisiasa. Ni lazima message yenu sasa muiegemeze katika ugumu wa maisha ambayo wananchi wanapitia na kwenye fact kuwa tumefika hapa kwa sababu ya utawaka mbovu wa CCM na wananchi hawana wawakilishi waliotokana na ridhaa zao. Tumieni kila opportunity, tengenezeni talking points za matatizo ya kiuchumi muzisambaze hadi huko chini kwa viongozi wenu wa ngazi za chini ili waweze kuwaeleza wananchi kwa ufasaha kabisa madhila ya utawala wa CCM kwenye maisha yao, na namna CCM inavyopekekea wao kuwa na maisha Magumu

5. Ni muda muafaka wa kumuomba kila mwanachadema afanye kazi ya kusambaza ujumbe wa Chama
Ndugu Mbowe, CCM wanadhani wanaweza kudhibiti moto wa CHADEMA kwa kuthibiti uongozi ambao uko structured, kwamba wakidhibiti let say viongozi wa matawi, mashina, kanda na viongozi Taifa basi wataweza kukithibiti Chama. Sasa ni muda muafaka wa Chadema kutoa muongozo kwa kila mwanachama na shabiki na Chadema kufanya kazi za chama za kusambaza jumbe na sera za chama. Agiza kila mtu, afikishe ujumbe na sera za chama kwa marafiki, kwa majirani n. k. Yaani kwenye suala la kusambaza jumbe za CHAMA isiwe muda wote centralized bali nyakati kama hizi ngumu mnazozuiwa kuorganise iwe ni decentralized. Hii itawezesha ujumbe kufika pale ambapo watawala hawataki mfike!

6. Ni lazima kuionyesha sura halisu ya Rais Samia, ajulikane kabisa kuwa naye anaenjoy "urahisi wa Udikteta" na anachukia "ugumu wa demokrasia"
Demokrasia siyo kazi nyepesi, inahitaji kutumia akili zaidi, kujizuia zaidi, kuwa na subira zaidi, maridhiano zaidi. Sasa hayo ni mambo magumu kuliko udikteta ambao madikteta hawataki kuumiza kichwa sana kwenye utawala, wao wanataka kutumia miguvuguvu tu
Sasa Samia inaonekana kabisa anataka kufuata njia za Mtangulizi wake, hataki tabu, anataka kutawala kwa mteremko. Lakini wakati huohuo anataka kuudanganya ulimwengu kuwa yeye ni mwanademokrasia, Hataki kuitwa "DICTATOR". Sasa CHADEMA isikubali kumpa hii blank cheque, kama anafanya Udikteta aitwe dikteta, asakamwe kwa udikteta wake.
Na hapa naungana na John Heche, Acheni kumuita Samia MAMA. hii inampa soft power, na moral authority ambayo connotation ya mama inabeba. Kiufupi kama anavunja katiba ya nchi basi haistahili kuendelea kutumia hilo jina mama, muiteni kwa jina lake halisi, kama ni dikteta basi aitwe Dikteta.

7. Madai ya Katiba mpya ni turufu inayopaswa kutumika kwa nguvu zote
Ndugu Freeman, katika vitu ambavyo wananchi wengi wanakubali, bila kujali mirengo yao ya kisiasa ni katiba mpya. Hii ni turufu kubwa ambayo hata CCM wanashindwa waihandle vipi. Sasa ni muhimu sana nyie kuiframe agenda hii kuwa ni kwa ajili ya masilahi ya wananchi zaidi, katika kufanya hivyo nashauri nyie kama chama mkae muandae points za namna gani Katiba mpya inagusa maisha ya watu moja kwa moja. Hizi talk points zisambazwe kwa makada wenu wote nchi nzima. Lengo hapa ni kuondoa ile spin kuwa nyie mnapigania katiba mpya kwa ajili ya madaraka tu.

Elezeni faida za bunge na mahakama huru, elezeni katiba mpya inapambanaje na ufisadi, elezeni katiba mpya ina uhusiano gani na maji yao, elimu ya, afya yao. Namna hii mtaweza kuwashawishi wananchi wawe active zaidi na zaidi katika kuidai na kuilszimisha serikali ya CCM ilete hiyo katiba mpya. Msiishie tu kuzungumzia ishu ya tume huru ya uchaguzi na madaraka ya rais jinsi yasivyo fair bali onyesheni jinsi vitu hivyo vinavyopelekea maisha ya watu kuwa magumu zaidi.

Mwisho kabisa ndugu Mbowe napenda kukwambia kuwa sasa ni muda muafaka wa kuraise joto la kisiasa nchini, lipandisheni kwa kugomea amri haramu. Fanyeni mikutano hata kama imezuiwa kinyume cha sheria. Hawa hawana mabomu, wala askari wa kutosha wa kuweza kupambana na HAKI

Chairman, mmeonewa kiasi cha kutosha, mmenyanyaswa kiasi cha kutoshao sasa fanya jambo, tumechoka!

Ndugu Freeman!
Mara nyingi umesikika ukitaka sana siasa za uungwana, siasa za akupigaye shavu la kushoto basi mgeuzie la kulia. Hilo ni jambo zuri lakini hiyo falsafa yako inafanya kazi katika nchi za watawala ambao ni sober minded, siyo katika nchi ambayo watawala wameamua liwalo na liwe kwenye kusimika mifumo ya dhulma, uonevu ukandamizaji na kufanya lolote ilimradi waendelee kubaki madarakani hata kama si kwa ridhaa za wananchi.

Ndugu Mbowe
Tone yako ya kupenda maridhiano watawala wanaitafsiri kama uoga.

Huu uonevu mnaofanyiwa na watawala wa kunyimwa haki zenu za kufanya siasa kinyume cha katiba mtaendelea kufanyiwa mpaka siku mtakapoamua kusema sasa inatosha!

Ndugu Mbowe, Huu ni muda sasa wa kuvunja confidence hii ya watawala ambayo kimsingi wameshajiaminisha kuwa hamna uwezo, wala guts za kufanya chochote. Hii chain mkiifanikiwa kuivunja mtakuwa katika position nzuri za kuadvance haki zenu za kisiasa nchini.

Huu ni muda muafaka wa kuraise stake katika utawala wa nchi hii ili waone kuwa kutawala kinyume cha sheria na katiba ni kitu chenye gharama, kwa hiyo lazima ufanye yafuatayo:

1. Ni muda muafaka sasa wewe kuhimiza Wafuasi wako wasitii maagizo batili
Toa maagizo yako kwenye machinery nzima ya chama chako, Viongozi na wanachama wa chama chako wasitii maagizo haramu ya watawala katika maeneo yao. Kwa mfano kama Wamezuia mikutano, wewe waagize wafanye mikutano. Wewe usijali wala kuhofu maagizo yako yatafanyiwa kazi kwa kiwango gani, lakini wewe toa agizo la kichama, vikao na mikutano ifanyike. Katika hili kuna watakaofanikiwa kufanya hiyo mikutano kuna watakaoshindwa kwa sababu mbalimbali, lakini ni lazima tuvunje hii chain ya utii haramu wa maagizo haramu yaliyo kinyume cha sheria

2. Ni lazima CHADEMA iendelee kuwin huruma ya wananchi
Haya matendo mnayofanyiwa ya uonevu na ukandamizaji, wananchi wanayaona. Sasa ni muda muafaka wa kuyadocument vizuri, kuyaamplify ili wananchi wengi wayaone. Uonevu ambao watawala wanawafanyia kama mtaweza kuwashitakia, uungwaji mkono utakuwa ni mkubwa, na utaendekea kukua siku baada ya siku

3. Ndugu Mbowe ni muda wa Uongozi wa CHADEMA kusacrifice zaidi
Ndugu Mbowe, kama nilivyokueleza huko juu, kuna ulazima wa kuvunja chain hii ya uonevu, hili halitifanyika bila uongozi wa CHADEMA kujitoa mhanga(kusacrifice), Ni lazima uongozi wa CHADEMA uitishe mikutano ya wazi ambayo ni ya haki kisheria, ikizuiwa kinyume cha sheria Viongozi wa CHADEMA wasitii, Kubalini kusacrifice hata Jela lakini haki yenu kama Chama muipate. Na hii mikutano isiwe one day event, itisheni hii mikutano mara kwa mara mpaka watawala waone kuwa gharama za kupambana na CHADEMA ni kubwa kuliko kutenda haki.

Ndugu Mbowe, Hii chain ya nyie kuonewa hamtaivunja mpaka msacrifice, muwe tayari kwenda jela kwa ajili ya course hiyo

4. Ni lazima CHADEMA itumie fursa za serikali ya CCM kuboronga kwenye uchumi ili kuvuna sapoti ya wananchi
Ndugu Mbowe, Kimsingi, CCM wanajua measures zao za kiuchumi ni unpopular kwa wananchi, pia wanajua legitimacy yao ya kisiasa kwa wananchi ni ndogo sana, kwa hiyo wanachokifanya ni kujaribu kwa nguvu zote kuweka ukuta baina yenu na wananchi ili msiwape hao watawala kibano cha kisiasa. Ni lazima message yenu sasa muiegemeze katika ugumu wa maisha ambayo wananchi wanapitia na kwenye fact kuwa tumefika hapa kwa sababu ya utawaka mbovu wa CCM na wananchi hawana wawakilishi waliotokana na ridhaa zao. Tumieni kila opportunity, tengenezeni talking points za matatizo ya kiuchumi muzisambaze hadi huko chini kwa viongozi wenu wa ngazi za chini ili waweze kuwaeleza wananchi kwa ufasaha kabisa madhila ya utawala wa CCM kwenye maisha yao, na namna CCM inavyopekekea wao kuwa na maisha Magumu

5. Ni muda muafaka wa kumuomba kila mwanachadema afanye kazi ya kusambaza ujumbe wa Chama
Ndugu Mbowe, CCM wanadhani wanaweza kudhibiti moto wa CHADEMA kwa kuthibiti uongozi ambao uko structured, kwamba wakidhibiti let say viongozi wa matawi, mashina, kanda na viongozi Taifa basi wataweza kukithibiti Chama. Sasa ni muda muafaka wa Chadema kutoa muongozo kwa kila mwanachama na shabiki na Chadema kufanya kazi za chama za kusambaza jumbe na sera za chama. Agiza kila mtu, afikishe ujumbe na sera za chama kwa marafiki, kwa majirani n. k. Yaani kwenye suala la kusambaza jumbe za CHAMA isiwe muda wote centralized bali nyakati kama hizi ngumu mnazozuiwa kuorganise iwe ni decentralized. Hii itawezesha ujumbe kufika pale ambapo watawala hawataki mfike!

6. Ni lazima kuionyesha sura halisu ya Rais Samia, ajulikane kabisa kuwa naye anaenjoy "urahisi wa Udikteta" na anachukia "ugumu wa demokrasia"
Demokrasia siyo kazi nyepesi, inahitaji kutumia akili zaidi, kujizuia zaidi, kuwa na subira zaidi, maridhiano zaidi. Sasa hayo ni mambo magumu kuliko udikteta ambao madikteta hawataki kuumiza kichwa sana kwenye utawala, wao wanataka kutumia miguvuguvu tu
Sasa Samia inaonekana kabisa anataka kufuata njia za Mtangulizi wake, hataki tabu, anataka kutawala kwa mteremko. Lakini wakati huohuo anataka kuudanganya ulimwengu kuwa yeye ni mwanademokrasia, Hataki kuitwa "DICTATOR". Sasa CHADEMA isikubali kumpa hii blank cheque, kama anafanya Udikteta aitwe dikteta, asakamwe kwa udikteta wake.
Na hapa naungana na John Heche, Acheni kumuita Samia MAMA. hii inampa soft power, na moral authority ambayo connotation ya mama inabeba. Kiufupi kama anavunja katiba ya nchi basi haistahili kuendelea kutumia hilo jina mama, muiteni kwa jina lake halisi, kama ni dikteta basi aitwe Dikteta.

7. Madai ya Katiba mpya ni turufu inayopaswa kutumika kwa nguvu zote
Ndugu Freeman, katika vitu ambavyo wananchi wengi wanakubali, bila kujali mirengo yao ya kisiasa ni katiba mpya. Hii ni turufu kubwa ambayo hata CCM wanashindwa waihandle vipi. Sasa ni muhimu sana nyie kuiframe agenda hii kuwa ni kwa ajili ya masilahi ya wananchi zaidi, katika kufanya hivyo nashauri nyie kama chama mkae muandae points za namna gani Katiba mpya inagusa maisha ya watu moja kwa moja. Hizi talk points zisambazwe kwa makada wenu wote nchi nzima. Lengo hapa ni kuondoa ile spin kuwa nyie mnapigania katiba mpya kwa ajili ya madaraka tu.

Elezeni faida za bunge na mahakama huru, elezeni katiba mpya inapambanaje na ufisadi, elezeni katiba mpya ina uhusiano gani na maji yao, elimu ya, afya yao. Namna hii mtaweza kuwashawishi wananchi wawe active zaidi na zaidi katika kuidai na kuilszimisha serikali ya CCM ilete hiyo katiba mpya. Msiishie tu kuzungumzia ishu ya tume huru ya uchaguzi na madaraka ya rais jinsi yasivyo fair bali onyesheni jinsi vitu hivyo vinavyopelekea maisha ya watu kuwa magumu zaidi.

Mwisho kabisa ndugu Mbowe napenda kukwambia kuwa sasa ni muda muafaka wa kuraise joto la kisiasa nchini, lipandisheni kwa kugomea amri haramu. Fanyeni mikutano hata kama imezuiwa kinyume cha sheria. Hawa hawana mabomu, wala askari wa kutosha wa kuweza kupambana na HAKI

Chairman, mmeonewa kiasi cha kutosha, mmenyanyaswa kiasi cha kutoshao sasa fanya jambo, tumechoka!

We mpumbavu unaishi nchi gani. Tanzania na watanzania hatuli Siasa wala huyo MBOWE hawezi kuleta kula mezani. So Koma kabisa kujifanya boko haramu nchini mwetu.
 
We mpumbavu unaishi nchi gani. Tanzania na watanzania hatuli Siasa wala huyo MBOWE hawezi kuleta kula mezani. So Koma kabisa kujifanya boko haramu nchini mwetu.
Sasa ulidhani Mbowe angekuletea ugali?.

Au CCM inakupa ugali?

Kama hujui umuhimu wa HAKI katika nchi huwezi kuelewa mambo ya msingi ambayo watu wrnye hekima zao wanajadili humu
 
Aaah, kumbe upo hivi, ni heri umejitambulisha kuliko ambavyo siku zote unajificha karibu na ukuta ili usijulikane unasimamia wapi hasa.

Mbowe hana jeshi la kumbakisha madarakani kwa nguvu. Wanachama wa chama kile wakitaka aondoke hana uwezo wa kuwaweka mahabusu, na tumeona wengi wakiamua kwenda kujaza matumbo yao yenye njaa huko huko CCM.

Kwa hiyo wewe kumlaumu Mbowe kuendelea kuilinda CHADEMA ambayo ilitakiwa iwe mmeiua siku nyingi, inaeleweka sana. Nilikuwa sijui kwamba upo huko hata kidogo.

Sasa nikuombe jambo.

Kwa nini usianzishe kampeni ya kumwondoa Mbowe kwenye uenyekiti wa chama kwa vile amekuwa king'ang'anizi? Sisi tutaendelea huku kuishikilia CCM iache tabia ya kuharibu chaguzi, na kukiuka katiba ya nchi katika mambo mengi.

Unamwogopa Mbowe atatumia mabunduki na mabomu ya machozi kwako?
Sina muda huo wala sina sababu ya kufanya hivyo.

Kwanza sioni kama Mbowe anafanya tofauti na wenzake wa NLD, NCCR, CUF, TADEA, TLP.

Vyama vya siasa ni fursa na vimetajirisha wengi tu.
 
Matukio ya ukaidi na kuto kutii sheria na utaratibu kwa maksudi yanayo fanywa na Chadema ni jambo baya sana kwa mustakbali wa vyama vya upinzani vyote.

vyama vingine vya upinzani ni lazima vikemee vikali tabia za kihuni na zenye nia ya kuvuruga amani ya nchi yetu kwani tabia hiyo inayo fanywa na Chadema inachafua taswira ya vyama vingine vya upinzani ambavyo vinaendesha siasa zao kistaarabu.

Mbowe amesikika mara kadhaa akichochea maandamano yasiyo halali, n.k nadhani ni wakati sasa kwa Msajili wa vyama Kukifuta hiki chama cha Chadema kwa maslahi ya Amani ya nchi yetu.

Amani ya nchi yetu ni muhimu zaidi kuliko Chadema.
Akili yako mbovu au umetoka chato nini?
 
Ndugu Freeman!
Mara nyingi umesikika ukitaka sana siasa za uungwana, siasa za akupigaye shavu la kushoto basi mgeuzie la kulia. Hilo ni jambo zuri lakini hiyo falsafa yako inafanya kazi katika nchi za watawala ambao ni sober minded, siyo katika nchi ambayo watawala wameamua liwalo na liwe kwenye kusimika mifumo ya dhulma, uonevu ukandamizaji na kufanya lolote ilimradi waendelee kubaki madarakani hata kama si kwa ridhaa za wananchi.

Ndugu Mbowe
Tone yako ya kupenda maridhiano watawala wanaitafsiri kama uoga.

Huu uonevu mnaofanyiwa na watawala wa kunyimwa haki zenu za kufanya siasa kinyume cha katiba mtaendelea kufanyiwa mpaka siku mtakapoamua kusema sasa inatosha!

Ndugu Mbowe, Huu ni muda sasa wa kuvunja confidence hii ya watawala ambayo kimsingi wameshajiaminisha kuwa hamna uwezo, wala guts za kufanya chochote. Hii chain mkiifanikiwa kuivunja mtakuwa katika position nzuri za kuadvance haki zenu za kisiasa nchini.

Huu ni muda muafaka wa kuraise stake katika utawala wa nchi hii ili waone kuwa kutawala kinyume cha sheria na katiba ni kitu chenye gharama, kwa hiyo lazima ufanye yafuatayo:

1. Ni muda muafaka sasa wewe kuhimiza Wafuasi wako wasitii maagizo batili
Toa maagizo yako kwenye machinery nzima ya chama chako, Viongozi na wanachama wa chama chako wasitii maagizo haramu ya watawala katika maeneo yao. Kwa mfano kama Wamezuia mikutano, wewe waagize wafanye mikutano. Wewe usijali wala kuhofu maagizo yako yatafanyiwa kazi kwa kiwango gani, lakini wewe toa agizo la kichama, vikao na mikutano ifanyike. Katika hili kuna watakaofanikiwa kufanya hiyo mikutano kuna watakaoshindwa kwa sababu mbalimbali, lakini ni lazima tuvunje hii chain ya utii haramu wa maagizo haramu yaliyo kinyume cha sheria

2. Ni lazima CHADEMA iendelee kuwin huruma ya wananchi
Haya matendo mnayofanyiwa ya uonevu na ukandamizaji, wananchi wanayaona. Sasa ni muda muafaka wa kuyadocument vizuri, kuyaamplify ili wananchi wengi wayaone. Uonevu ambao watawala wanawafanyia kama mtaweza kuwashitakia, uungwaji mkono utakuwa ni mkubwa, na utaendekea kukua siku baada ya siku

3. Ndugu Mbowe ni muda wa Uongozi wa CHADEMA kusacrifice zaidi
Ndugu Mbowe, kama nilivyokueleza huko juu, kuna ulazima wa kuvunja chain hii ya uonevu, hili halitifanyika bila uongozi wa CHADEMA kujitoa mhanga(kusacrifice), Ni lazima uongozi wa CHADEMA uitishe mikutano ya wazi ambayo ni ya haki kisheria, ikizuiwa kinyume cha sheria Viongozi wa CHADEMA wasitii, Kubalini kusacrifice hata Jela lakini haki yenu kama Chama muipate. Na hii mikutano isiwe one day event, itisheni hii mikutano mara kwa mara mpaka watawala waone kuwa gharama za kupambana na CHADEMA ni kubwa kuliko kutenda haki.

Ndugu Mbowe, Hii chain ya nyie kuonewa hamtaivunja mpaka msacrifice, muwe tayari kwenda jela kwa ajili ya course hiyo

4. Ni lazima CHADEMA itumie fursa za serikali ya CCM kuboronga kwenye uchumi ili kuvuna sapoti ya wananchi
Ndugu Mbowe, Kimsingi, CCM wanajua measures zao za kiuchumi ni unpopular kwa wananchi, pia wanajua legitimacy yao ya kisiasa kwa wananchi ni ndogo sana, kwa hiyo wanachokifanya ni kujaribu kwa nguvu zote kuweka ukuta baina yenu na wananchi ili msiwape hao watawala kibano cha kisiasa. Ni lazima message yenu sasa muiegemeze katika ugumu wa maisha ambayo wananchi wanapitia na kwenye fact kuwa tumefika hapa kwa sababu ya utawaka mbovu wa CCM na wananchi hawana wawakilishi waliotokana na ridhaa zao. Tumieni kila opportunity, tengenezeni talking points za matatizo ya kiuchumi muzisambaze hadi huko chini kwa viongozi wenu wa ngazi za chini ili waweze kuwaeleza wananchi kwa ufasaha kabisa madhila ya utawala wa CCM kwenye maisha yao, na namna CCM inavyopekekea wao kuwa na maisha Magumu

5. Ni muda muafaka wa kumuomba kila mwanachadema afanye kazi ya kusambaza ujumbe wa Chama
Ndugu Mbowe, CCM wanadhani wanaweza kudhibiti moto wa CHADEMA kwa kuthibiti uongozi ambao uko structured, kwamba wakidhibiti let say viongozi wa matawi, mashina, kanda na viongozi Taifa basi wataweza kukithibiti Chama. Sasa ni muda muafaka wa Chadema kutoa muongozo kwa kila mwanachama na shabiki na Chadema kufanya kazi za chama za kusambaza jumbe na sera za chama. Agiza kila mtu, afikishe ujumbe na sera za chama kwa marafiki, kwa majirani n. k. Yaani kwenye suala la kusambaza jumbe za CHAMA isiwe muda wote centralized bali nyakati kama hizi ngumu mnazozuiwa kuorganise iwe ni decentralized. Hii itawezesha ujumbe kufika pale ambapo watawala hawataki mfike!

6. Ni lazima kuionyesha sura halisu ya Rais Samia, ajulikane kabisa kuwa naye anaenjoy "urahisi wa Udikteta" na anachukia "ugumu wa demokrasia"
Demokrasia siyo kazi nyepesi, inahitaji kutumia akili zaidi, kujizuia zaidi, kuwa na subira zaidi, maridhiano zaidi. Sasa hayo ni mambo magumu kuliko udikteta ambao madikteta hawataki kuumiza kichwa sana kwenye utawala, wao wanataka kutumia miguvuguvu tu
Sasa Samia inaonekana kabisa anataka kufuata njia za Mtangulizi wake, hataki tabu, anataka kutawala kwa mteremko. Lakini wakati huohuo anataka kuudanganya ulimwengu kuwa yeye ni mwanademokrasia, Hataki kuitwa "DICTATOR". Sasa CHADEMA isikubali kumpa hii blank cheque, kama anafanya Udikteta aitwe dikteta, asakamwe kwa udikteta wake.
Na hapa naungana na John Heche, Acheni kumuita Samia MAMA. hii inampa soft power, na moral authority ambayo connotation ya mama inabeba. Kiufupi kama anavunja katiba ya nchi basi haistahili kuendelea kutumia hilo jina mama, muiteni kwa jina lake halisi, kama ni dikteta basi aitwe Dikteta.

7. Madai ya Katiba mpya ni turufu inayopaswa kutumika kwa nguvu zote
Ndugu Freeman, katika vitu ambavyo wananchi wengi wanakubali, bila kujali mirengo yao ya kisiasa ni katiba mpya. Hii ni turufu kubwa ambayo hata CCM wanashindwa waihandle vipi. Sasa ni muhimu sana nyie kuiframe agenda hii kuwa ni kwa ajili ya masilahi ya wananchi zaidi, katika kufanya hivyo nashauri nyie kama chama mkae muandae points za namna gani Katiba mpya inagusa maisha ya watu moja kwa moja. Hizi talk points zisambazwe kwa makada wenu wote nchi nzima. Lengo hapa ni kuondoa ile spin kuwa nyie mnapigania katiba mpya kwa ajili ya madaraka tu.

Elezeni faida za bunge na mahakama huru, elezeni katiba mpya inapambanaje na ufisadi, elezeni katiba mpya ina uhusiano gani na maji yao, elimu ya, afya yao. Namna hii mtaweza kuwashawishi wananchi wawe active zaidi na zaidi katika kuidai na kuilszimisha serikali ya CCM ilete hiyo katiba mpya. Msiishie tu kuzungumzia ishu ya tume huru ya uchaguzi na madaraka ya rais jinsi yasivyo fair bali onyesheni jinsi vitu hivyo vinavyopelekea maisha ya watu kuwa magumu zaidi.

Mwisho kabisa ndugu Mbowe napenda kukwambia kuwa sasa ni muda muafaka wa kuraise joto la kisiasa nchini, lipandisheni kwa kugomea amri haramu. Fanyeni mikutano hata kama imezuiwa kinyume cha sheria. Hawa hawana mabomu, wala askari wa kutosha wa kuweza kupambana na HAKI

Chairman, mmeonewa kiasi cha kutosha, mmenyanyaswa kiasi cha kutoshao sasa fanya jambo, tumechoka!
Mimi kwa jinsi ninavyoona hali ya mwenendo wa Kisiasa style ya kuongoza ya Rais Samia anatumia Uongozi shirikishi, CCM inashirikishwa. Nawashauri upinzani uanze majadiliano na uongozi wa CCM ndo baadaye waanze Mazungumzi na Serikali.
 
Sina muda huo wala sina sababu ya kufanya hivyo.

Kwanza sioni kama Mbowe anafanya tofauti na wenzake wa NLD, NCCR, CUF, TADEA, TLP.

Vyama vya siasa ni fursa na vimetajirisha wengi tu.
Unaweza kuwa sahihi kuhusu Mbowe, lakini sijasikia hao wengine wa vyama ulivyotaja wakikoswakoswa na risasi za polisi wala kupelekwa Segerea.

Hii inaonyesha ufikri wako una kasoro, hata kama unajihisi uko huru kama ulivyoeleza mwanzo.

Naona huna tofauti na hawa wanasiasa unaowalalamikia, kwa sababu mambo yao ni sawa na haya yako, ya kukana kwamba hawapo kama unavyowaelezea wewe.
 
Back
Top Bottom