Uchaguzi 2020 Rais Magufuli kama Mbeya na Kanda ya Nyasa na Arusha mjini wanamshabikia Tundu Lissu na CHADEMA kiasi hiki, wapi utakuwa umefanya makosa?

Awali ya yote ningependa kwa unyenyekevu mkubwa kumshukuru mwenyezi Mungu wa mbinguni na mwingi wa rehema kwa kutuwezesha sisi watanzania kuwa na kiongozi wa aina yake katika nchi yetu.

Rais Magufuli nina appreciate kazi zako kubwa ulizo zifanya so far katika jitihada zako za kuwaletea watanzania maendeleo ya kweli. Ama hakika wewe jamaa unastahili pia kupewa pongezi kubwa sana kwa kuiwezesha nchi yetu kuwa nchi ya uchumi wa kati miaka mitano kabla ya wakati uliotegemewa na kuipeleka Tanzania kwenye Level ya nchi ambazo ziko kwenye harakati za kutokuwa nchi tegemezi.

Ama kweli wewe ni jemedari jasiri, kwani katika kipindi kifupi cha muhula wako wa kwanza umeweza tenda mambo makubwa mengi sana nchini, kiasi kwamba hata baadhi ya ndugu zetu wa ndani na nje ya nchi wameanza kukuonea wivu na kuamua kutafuta njia za kushirikiana na mabeberu za kukufanyia hila wewe ili ushindwe kwenye juhudi zako hizo za kuwaletea watanzania maendeleo tunayo yahitaji.

Kwa mapenzi ya mungu wetu wa mbinguni naomba awafanye hao wabaya wetu washindwe kwenye matendo yao maovu waliyo kusudia kukutendea wewe na hatimaye sisi.

List ya mambo ambayo umetufanyia sisi watanzania mpaka hapa ni kubwa sana na haitakuwa busara niirudie, kwani kila mmoja wetu mwenye upendo na hii nchi mambo uliyo yafanya ameyaona na kuyashuhudia mwenyewe. Asiye taka kuyona, huyo haitakuwa vyema kumlazimisha ayaone, kwani ni imani yangu kuwa atakuwa na sababu zake binafsi kichwani zenye mlengo wa kishetani wa kutopenda fanya hivyo.

Baada ya kutoa pongezi zangu hizo kwako kwa hayo yote uliyoyafanya, ningependa kukuomba rai kuwa kwenye muhula wako wa pili, punde utakapo pata ridhaa ya watanzania kuunda serikali tena, kuongeza nguvu na uthubutu mkubwa zaidi wa kujenga miundo mbinu mingi zaidi ili kuyakimbiza maendeleo ya watanzania kwa speed kubwa.

Mimi binafsi nahofia utakapomaliza mda wako hatuta mpata mtu mwingine haraka mwenye ujasiri kama wako.

Kufuatia ombi langu hilo napenda uzingatie kuwa watanzania wengi, pamoja na kuwa na imani kubwa na wewe, kusema ule ukweli, maisha yao hata hivyo bado ni ya chini sana, kwani kipato chao bado ni kidogo na kisicho cha uhakika. Maisha ya watanzania ni duni sana na wana njaa!

Ukimwambia Mtanzania leo kuwa nchi yetu imeingia kwenye uchumi wa kati na kwamba uchumi wetu unakua kwa wastani wa 5% mpaka 7% kila mwaka, nadhani atakuangalia tu na kukushangaa, kwani habari kama hizi hazibadilishi chochote katika kipato chake cha kila siku. Kwake yeye anaona ni namba na porojo za kisiasa tu.

Vijana wetu wengi wana dhiki kubwa Rais Magufuli. Ajira kwao ni shida na mlo kwao ni shida. Na ndiyo maana kwa siku kama ya tarehe 27. 07.2020 usione ajabu jinsi vijana wengi walivyo miminika Airport kwenda kumpokea mtu anaye aminika kama mkombozi wao. Mapokezi yale na haya ya wananchi wa Mbeya na kanda ya Nyasa, Tunduma na uzindizi wa Mh. Lema Arusha mjini yanaonyesha kuwa vijana wa kitanzania na hasa wale wanao ishi kwenye miji mikubwa wako desperate sana na maisha yao.

Swali hapa linakuja, pamoja na mambo yote uliyoyafanya kwenye muhula wako huu wa kwanza wa kuwajengea watanzania miundo mbinu thabiti katika sekta karibu zote, lakini hata hivyo wengi wao bado hawajarizika navyo, wewe unafikiri tatizo liko wapi?

Jibu la swali hili, kwa mtazamo wangu, mimi ninaliona liko kwako. Wewe kwenye awamu hii ya kwanza, kama wapinzani wanavyo jinadi kwenye kampeni zao, umejikita sana kwenye maendeleo ya vitu kuliko njaa ya watanzania. Natambua utasema kuwa nchi yetu imepata neema ya chakula kingi mwaka huu, sawa, lakini je, watanzania wangapi wanauwezo wa kunuua hicho chakula kuondoa njaa zao?

Umejenga barabara nzuri na madaraja mazuri ikiwemo Flyovers za kisasa, majengo mazuri na ya kisasa ya ofisi, mahakama, shule, hospitali na viwanja vya ndege na mengineyo mengi ikiwemo kununua ndege mpya cash na kukarabati meli zetu na kutengeneza meli mpya kwenye maziwa yetu, lakini pamoja na haya yote uliyo yafanya, utadiriki kusema kuwa njaa na wasiwasi wa maisha ya vijana wengi nchini imeondolewa? Hili nafikiri umeli-ignore kabisa.

Sikatai kuwa uko mstari wa mbele katika kumwenzi Baba wa Taifa, Mwalim Nyerere, kwa vitendo, lakini mimi sioni kama ni busara kurudia makosa yale yale ambayo yeye aliyafanya kama;

1. Kuhamisha kwa mabavu wizara za serikali kutoka Dar kwenda Dodoma na kulijenga jiji la Dodoma badala ya ku concentrate na jiji la Dar es salaam kwanza ambalo mafanikio yake yangeweza sambaa kwenye miji yote mingine ya nchi baadaye,

2. Kutilia mkazo elimu bure na kujenga shule nyingi, bila kuweka mipango thabiti ya kimkakati inayo wawezesha vijana wanao maliza masomo kupata nafasi za kuajiliwa au kujitegemea wenyewe kwa kuanzisha miradi itakayo wasaidia wao na wengine kujipazia riziki punde wamalizapo masomo yao.

3. Kupoteza hela nyingi kujenga mahospitali mengi ambayo ufanisi wake bado sio wa kuridhisha na vile vile,

4. mwisho kudhani kuwa wamachinga watakuwa mabilionea wa Tanzania na hivyo kukuza uchumi wetu, hilo lilikuwa kosa kubwa sana.

Sikatai dhamira yako nzuri, lakini utekelezaji wake, kwa mtazamo wangu, naona haukufuata natural logic ya mahitaji muhimu ya binadam. Natural logic ya mahitaji muhimu ya binadam; kwanza ni chakula na pili ni activities, yaani shughuli za kufanya ili kumwingizia kipato cha kuishi, tatu uhakika wa maisha ya kuweza ku reproduce na kulea watoto wake na nne kuwa na perspective ya maisha ya vizazi vyake.

Kwa masikitiko makubwa katika kutekeleza mambo yote haya, wewe hukufuata logic hii. Uli mind sana kuifanya nchi ipendeze kwa vitu rahisi rahisi kama nilivyovitaja hapo juu badala ya kujikunja kwenye mambo magumu kidogo kama ya manufacturing industries na skilled manpower na scientific research.

Great Thinker, Dr Mollel alisha wahi sema bungeni kuwa moja ya eneo muhimu ambalo serikali linatakiwa kuwekeza ni katika Innovation and Technology (Ugunduzi pamoja na teknolojia), hapa alimaanisha kuwa serikali inatakiwa iwekeze kwenye rasilimali watu ambao wanauwezo wa kukaa chini kufkiri na kugundua vitu kiasi kwamba nchi kama Tanzania ambayo ina rasilimali nyingi ambazo sio endelevu, inakuwa na watu ambao watalifanya Taifa hili liendelee kuwa na kipato, hata kama rasilimali zetu zisizo kuwa endelevu zinakwisha.



Kwa hili siwezi jua kama ulimwelewa au hukumwelewa.
Unafikiri kwa nini nchi nyingi za Ulaya zinatoa hela kwa wananchi wake wasio na kazi?

Hapa sioni haja ya kukueleza wewe PHD holder, nadhani utakuwa umesoma kuhusu French Revolution na mambo yaliyo mtokea King Ludwig XVI na mke wake Queen Marie Antoinette huko Paris karne ya18.

Sasa ili serikali yako iweze fanikiwa kuondoa wasiwasi huu wa maisha ambao vijana wengi wanao "hang aronund" mijini bila kuwa na uhakika wa maisha ya kutokuwa na kipato, wanao upitia kila siku, nakuomba upatapo tena ridhaa ya kuunda serikali, unahitaji kufanya mabadiliko makubwa sana sana ya kimkakati kama unavyo ahidi kwenye kampeni zako za kuomba kura kwa wananchi leo.

Nimeisikiliza hotuba yako ya uzinduzi wa kampeni Dodoma na nyinginezo zinazo fuata, kusema kweli, naona bado hujaelewa watanzania wanataka nini kusikia kutoka kwako. Kitu ambacho naweza kukuambia kwa uhakika ni kwamba hawapendi kusikia kuongezwa kwa madege mengine matano wala mabarabara wanayo yaona kama ni upotezaji tu wa hela zao wakati matumbo yao yakiwa meupe.
Wanacho taka kusikia ni jinsi gani utawawezesha wao na vifaranga vyao kuwa na ajira, iwe kwenye sekta ya kilimo, viwanda, uvuvi, utalii na kadhalika. Wanataka kusikia njia thabiti itakayo waridhisha kuwa ajira kwao is inevitable.

Mimi binafsi ningekuomba sana tena sana kutokuwa na uoga au ukakasi wowote ule wa kuwahakikishia watanzania kuwa wewe katika muhula wako huu wa pili, kama watanzania watakupa ridhaa ya kuunda serikali tena, utatumia nguvu zako zote, maarifa yako yote na rasilimali zetu zote tulizo nazo nchini kuwekeza kwenye miradi mikubwa ya kimkakati ambayo itawawezesha wananchi kwanza kuondokana na tatizo la kuwa na njaa na pili kwa kuweka juhudi kubwa kwenye kuweka mazingira mazuri ya kuzalisha ajira nyingi kwa wananchi kwa kufanya yafuatayo;

1. construction and manufacturing
industries,
2. Aggricaltural revolution,
3. Energy source,
4. Forth Industrial Revolution
Kuongeza juhudi kubwa kwenye IT
(Information Technology),
5. Miundo mbinu zaidi ya puplic transort
kama; High Speed Trains
na Commuter trains au Trams mijini.
6. Tourismus and intertainmemt (Sport na
sanaa)
7. Kuweka mifumo thabiti ya usafishaji wa
maji taka (sewage systems and
wastewater treatment plants)
8. Scientific Research (Utafiti wa kisayansi)

Haya mambo nane ni job opportunities and jobs creating booster.

Katika construction na manufacturing industries mkazo mkubwa hapa naomba uwekwe kwenye ku install vinu (Furnace) vya kutengeneza chuma yetu wenyewe.

Kukua kwa uchumi na maendeleo ya maisha ya wachina kwa sasa na nchi nyingine zilizo dominate ulimwengu kiuchumi huko nyuma, chuma ndiyo imekuwa ufunguo wa maendeleo hayo na sio population kama unavyo fikiri. Ebu jaribu kuingalia population ya England wakati wa utawala wa Queen Victoria na nchi nyingine za Ulaya kama Germany na Ufaransa. England ilikuwa ni kitovu cha Industrial revoulution kwa sababu ya chuma na sio population.

Ili niweze eleweka vizuri nini namaanisha, ningekuomba Rais Magufuli kuchukua mda wako kuisikiliza kwa makini hiyo documentary film hapa chini;



Uzalishaji wa chuma, nikimaanisha steel, imewawezesha wachina kupiga hatua kubwa sana katika construction na manufacturing industries. Na hii ni booster kubwa ya kutengeneza ajira. Investors wengi kutoka nchi tajiri na zilizo endelea kiuchumi na kitekinolojia wamekimbilia ku-invest China kwa sababu ya chuma ambayo ilikuwa inahitajika kwa wingi nchini mwao na inazalishwa kwa bei ya kutupwa, yaani low production costs.

Bila strategy ya wachina kununua viwanda au vinu (Furnace) vya kuoka vyuma vya wajerumani kwenye late 80's , sidhani kama wangeweza piga hatua ya maendeleo ya haraka namna hiyo. Hivyo ndivyo ilivyo tokea kwenye lndustrial Revolution ya England ambayo ilisambaa Europe na baadae Amerika na Russia.

Chuma yetu ni mkombozi wa uchumi wetu. Vijana wetu watajifunza practically jinsi ya kutumia chuma yetu kuunda mashine na vitendea kazi mbalimbali ambavyo vitatumika katika uzalishaji wa bidha mbali mbali, ziwe za kilimo au za matumizi mbali mbali ya nyumbani (households), nyenzo za madini, michezo, usafiri na free style comodities. Na manufacturing industries zita ota kama uyoga kwa sababu ya chuma ya bei ya kutupwa. Chuma yetu inge compete na ya wachina na hivyo kuwavutia wawekezaji, wafanya biashara na watu wengi wenye maarifa duniani.

Kilimo peke yake bila ya watu kuwa na skil ya kuweza kutumia nyezo za chuma katika kuongeza thamani ya hayo mazao tutakayo yavuna haita saidia kitu. Tanzania tunahitaji kutumua chuma (iron ore) yetu kubadilisha mind set ya vijana wetu ili tuweze kuwa na vijana wenye mawazo mapana ya kuweza kutengeneza vitu ambavyo vitatuwezesha sisi kutatua matatizo tunayo kabiliana nayo kimaisha.

Kwa hali hii Rais Magufuli ulitakiwa kutumia your common sense na maarifa yako ya Chemistry na mamlaka ambayo watanzania walikupa kuifanya Tanzania kuwa kweli ni nchi ya viwanda badala ya kuzunguka majukwaani ukipiga kelele za kwamba nchi hii ni tajiri. Nafasi hiyo, kwa mtazamo wangu, naona kwenye awamu yako ya kwanza hukuitumua vizuri.

Mara nyingi nimekuona uki deal zaidi na maswala mengine ambayo hayakuwa na mlengo wa moja kwa moja wa kuibadilisha Tanzania kuwa nchi ya viwanda na ya watu wenye vision ya kuleta maendeleo yao kwa kukabiliana na matatizo yao wenyewe badala yake ume-create Taifa lenye vijana ambao ni walalamikaji na ambao hawana conscience ya kujituma wenyewe wala kujiamini.

Vijana wengi wamepoteza ile thamani ya maisha yao na hivyo kudhani ni mzungu peke yake ndiyo mkombozi wao. Na ndiyo maana unawaona wengi wao kwa kukosa maarifa na ulewa wakimshabikia pimbi wao, kwa kile kitu wanacho amini kuwa ametoka uzunguni basi ataleta mabadiliko wanayo yatamani bila kujua kuwa mzungu ni nyoka wa maisha yao.

Kiuhalisia bila chuma yetu sidhani kama Tanzania itakuwa nchi ya viwanda kama unavyo fikiria. Na mpaka tumetambua umuhinu wa kutumia chuma yetu ambayo tumejaliwa na mungu ndipo tutakuwa na uwezo wa kujiamini.

Mungu wetu atakuwa na sababu ya kuifanya Tanzania kuwa na chuma nyingi. Tusifanye makosa ya wenzetu ya kutumia chuma hiyo kwa lengo la kuuza na kupata pesa. Tutumie chuma yetu kupanua maarifa ya vijana wetu.

Ili kutekeleza haya serikali yako ilitakiwa kuchukua initiative ya nguvu kuwekeza kwenye viwanda au vinu vya kuoka chuma kama ulivyo fanya kwenye Nyerere Dam (Rufiji) na SGR.

Jana Rais Yoweri Museveni wa Uganda alinifurahisha sana alipotumia neno la "Kutembura" kwa lugha yao akimaanisha kulima shamba kwa mara ya kwanza, yaani kuanza kufanya kitu kipya, hata kama utapata hasara, lakini umesha anza. Baadae utapata maarifa zaidi na uzoefu ili kujirekebisha. Lakini bila kuanza kitu haisaidii na huwezi jua faida na hasara zake. Ni neno lenye mantiki nzuri sana!

Huu msemo Rais Magufuli ndiyo ulitakiwa kwenye awamu yako ya kwanza ujue kuutumia. Kuzunguka majukwaani kila mara na kupiga kelele za kuwa hii nchi ni tajiri wakati unashindwa kuutumia huo utajiri wa nchi yetu kuboresha maisha ya vijana wetu, sielewi huo utajiri una maana gani?

Kama unaona nchi yetu ina potential hiyo basi tuitumie kwenye kujenga hayo ma furnace ya kuoka chuma yetu na hata hizo smelters kwa ajili ya kuchakachua madini yetu ya dhahabu zijenge. Una msubiri nani?

Haya mambo yako ya kuwaomba wafanya biashara wasio jiamini wenyewe au institutions ambazo hazina imani na Afrika, wawekeze kwenye viwanda au vinu vya kuoka chuma Tanzania utakuwa unapoteza mda wako tu. Hawa watu kusema kweli hawana fikra hizo wala interest hiyo.

Wafanya biashara na matajiri wengi Tanzania na hata Afrika hawahangaiki kuumiza vichwa vyao kuwekeza kwenye teknolojia za kisasa. Wana mawazo ya kuongeza mapato kwa kuwekeza kwenye biashara rahisi rahisi ambazo haziumizi vichwa vyao kama; kununua finished comodities China au Asia na kuja kuuza Tanzania, kujenga majengo ya kibiashara kama mahoteli, nyumba za kupangisha na kadhalika na kuanzisha makampuni au viwanda vya kuprocess vyakula wakiagiza mashine zote kutoka aidha Ulaya au Asia na kufungua mabenki ya kuchezea kamari.

Ni mfanya biashara mmoja tu Afrika nzima ambaye namsikia akisambaza teknolojia Afrika na sasa ana invest kwenye Oil refinery plant huko Nigeria, Aliko Dangote. Hawa wengine wote ni profit seekers.

Nilitegemea matajiri wetu kama Bakhressa Group na Mohamed Dewj Enterprises kushirikiana na selikali kuwekeza kwenye miradi ambayo itapanua bongo za vijana wetu kama hayo niliyo sema hapo juu au kugharimia usafiri wa Trams mijini kwa mfano; kutoka Airport mpaka Railway station na hata Posta mpya mpaka Mbagala Kuu na kutengeneza karakana zake ili vijana wetu wapanue maarifa ya kiufundi practically na kujenga Taifa lenye vijana ambao ni competitive katika Afrika na duniani kama wajerumani walivyo.

Inasikitisha sana kuona haya ma giants yana interest ya kuongeza profit tu kwa ku-introduce high tech machines au Automation kwenye viwanda vyao vya uzalishaji wa vyakula (food industries) ili kuongeza production na kadhalika kwa capacity ndogo ya ajira. Hii haiwasidii wananchi walio wengi na haipanui wigo wao.

Matajiri gani hawa ambao wanashindwa hata kutengeneza barabara za mitaani kwao?

Hili la tatu sina shaka kuwa umeliona na utalitekeleza ipasavyo kwa kipindi kijacho. Panapo majaliwa tutafanikisha salama.
Tatizo kubwa liko kwenye ku facilitate matumizi ya gas yetu asilia kama energy source.

Natambua ugumu wa kusambaza mabomba ya gesi asilia nchi nzima kama ilivyo katika nyaya za umeme au mabomba ya maji safi nchini, lakini kwa njia ya LNG sioni kama ni tatizo kubwa ki hivyo. Kwangu mimi kama mtaalam naiona hii kama ni fursa kwa vijana wetu kutengeneza ajira.

Kinacho takiwa hapa ni kama serikali yako kwa kushirikiana na wadau wengine ilivyo kusudia kuwekeza kwenye mtambo wa kusindika LNG na kuwaelimisha watanzania manufaa ya kutumia LNG katika matumizi ya nyumbani na kuondokana na matumizi ya mkaa na kuni ambayo inatufanya tuyaharibu mazingira yetu vibaya sana. Kauli mbiu hapa ni; "SMART ENERGY"

Shirika la Reli Tanzania TRC, kupitia kijana wao machachari kwa jina la Ben Mwanantala, limefanya kazi nzuri sana so far ya kuwaelemisha watanzania katika maswala yanayo husu treni za umeme na SGR. Methodes kama hizi nazo zinatakiwa kwenye kuwaelimisha watanzania kuondokana na matumizi ya miti kama energy source.

Wengi tulio chukua masomo ya Science hasa Thermodyamics tunajua kuwa LNG inapatikana baada ya NG (Natural Gas) kuwa cooled down to -162°C at the atmospheric pressure by the LINDEN PROCESS through the principle of Joules Thomson Effect.



The liquefied natural gas (LNG) can then be transported easily via insulated storage tanks over a long distance by vehicles, the work which can be done by our own people, the same as it is happening now by using vehicles which are supplying fuel (diesel and petrol) to the Petrol Stations all over the country.

Once in the destination points (LNG terminals), the liquefied natural gas can be brought back to the gaseous state by heating it and then transported on to the natural gas pipelines in order to destribute it to the industries and households. In this case LNG is again used like the conventional natural gas.



Ili kufanikisha usambaji wa gesi asilia mikoani na hata vijijini, serikali yako haina budi kuwekeza kwenye LNG (Liquified Natural Gas) plant yetu wenyewe na kwenye miundo mbinu ya LNG Terminals au vituo vya ku-supply hiyo gesi asilia kwenye mabomba ya hiyo gesi asilia mikoani na vijijini.

Kwa njia hii serikali itabidi kuwawezesha baadhi ya watu kumiliki LNG Terminals na hivyo kufacilitate usambazaji wa LNG nchini kiasi kwamba watanzania watafanya biashara ya uuzaji na usafirishaji wa LNG kwenye magari yenye storage tanks na hivyo ku boost ongezeko la ajira na vile vile kupanua uelewa wa matumizi ya gesi yetu asilia.

Rais Magufuli na watanzania wenzangu mnataka Mungu atupe nini sisi? Kwanini hatuwi wabunifu na vitu vyetu wenyewe? Tunamngojea nani ndiye aje atufanyie haya?

Watu kutwa kuchwa tunajigamba na PHD, Masters na Engineering degrees Certificates wakati matumizi ya madude yote tuliyo yajaza vichwani na kwenye ma files, hayatusadii kitu chochote? Tumesoma madude haya kwa madhumuni gani sisi?

Ni aibu kubwa sana kumwona mtu ana mavyeti kibao lakini akili ya maarifa ni Zero. Tunasomea nini sisi!

Kipengele cha tano, kwa mtazamo wangu, utanisamehe Rais wangu kama nitakuwa wrong, naona impact yake ya kuwa na miradi mingi ya aina hii na speed ya kumaliza haraka bado hujaitambua. Najua unafahamu kuwa DRC ni nchi tajiri sana kuliko hata nchi yetu na wazo lako la kuwekeza kwenye miundo mbinu ya SGR na High Speed Trains kufika huko kwao ni wazo zuri sana na la kupongezwa. Wasiwasi wangu hapa ni kwamba nahofia kuwa huu mradi mmoja peke yake hauta tosha ku-boost uchumi wetu na kuondoa tatizo la ajira kwa vijana wetu. Tuna hitaji miradi ya aina hii zaidi na yenye strategy mahususi;

High speed Trains;
- Tunduma-Dar Line ili ku-feed Lubumbashi, Kasama, Mansa, Mufulila, Ndola, Kitwe na kwingine ni muhimu sana,

- Mtwara-Mbamba Bay Line ku-feed Mzuzu, Nkhata Bay, Nkhotakota na kadhalika si kitu cha ku-discuss. Wamalawi wakijua kuwa kuna urahisi na uharaka wa kusafirisha bidhaa zao kwa haraka na bei nafuu kuliko Beira, sioni sababu itakayo wazuia wao kuto tumia hiyo line. Nina uhakika wanaisubiri kwa shauku kubwa sana kwani ita boost maendeleo ya watu waishio maeneo ya kusini na Malawi.

- SGR ya kwenda Kigoma itakuwa na maana kubwa zaidi kama ulivyokwisha panga kuifikisha mpaka Karema na kuboresha bandari ya Lagosa kwa ajili ya kuwarahisishia wafanya biashara wa Kalemie na maeneo mengine. Hii ni strategy nzuri.

Naomba ieleweke kuwa, geographically, DRC sio Landlocked country 100%. It is a sleeping giant. Wakiamka wanaweza jenga High speed Train network yao na bandari yao haraka sana kuliko sisi. Kwa hali hiyo ingekuwa busara, hii miundombinu yetu ya high speed train network tukaimaliza kwa haraka. Tusingojee mpaka wao waamke. Tunatakiwa tujipange vizuri sana ili tuwe competitive.

Mimi nashangaa sana kwa nini mpaka sasa hatujatumia potential tuliyo nayo ya kuweka Network ya high speed Trains kwenda kwenye hizo landlocked countries siku nyingi zilizopita? Mzee Magufuli ukipata ridhaa tena nakuomba tilia mkazo mkubwa hili swala na lifanyie kazi haraka sana kulikamilisha.

Kama hela zipo, kama unavyodai, kwa nini sasa hizi 250 km mpaka Morogoro ichukue miaka mitatu na zaidi? Why? Wakati wachina within 6 years wameeneza High Speed Train Network karibu nchi nzima maelfu na maelelfu ya kilometa?

Zaidi ya hiyo wana Trans Rapid Train between Shangai city and Shangai Airport. Ni nchi pekee ulimwenguni kuwa na Commercial line ya Transrapid trains. Na hata kuanza kutengeneza magari, High speed trains na ndege zao wenyewe pia dhana za kivita na mengineyo. Wamezalisha ajira kem kem kwa watu wao wakati sisi tuna piga tu domo la kuwa sisi ni matajiri na hela zipo. Kama hela zipo tuzitumie basi hizo hela kwenye hiyo miradi yenye tija.

Kama kuna kitu ambacho umeki-neglect basi ujue ni hiki kitengo cha The forth Industrial Revolution cha Information and Technology (IT). Hapa nathubutu kusema, umeyumba kidogo mzee wangu. Lait ungejua, nadhani ingekuwa busara kutumia wataalam hata wa kigeni kuja kuwa elimisha vijana wetu, kwenye vyuo vyetu hata shule zote za msingi ili tukawa na Taifa ambalo lina vijana wenye maarifa mapana ya kuweza kutatua matatizo yetu ya ki-digitali. Katika East African Community sisi watanzania na burundi tuko nyuma sana kwenye IT.

Rais Magufuli, pamoja na utajiri wote huo unao upigia kelele majukwaani, tumeshindwa kuutumia kwenye vitu vidogo hivi kama vya usambazaji wa hata Wi-Fi technology kwenye puplic institutions kama; posta, Airports, vituo vya mabasi, shuleni na vyuoni, wananchi wakawa na access ya Internet popote pale walipo free of charge, kweli? Hata kwenye vituo na kwenye mabasi ya mwendo kasi umeshindwa?

Tuna Airport mpya na yakisasa, lakini tumeshidwa kuwa na free Wi-Fi kwenye hiyo Airport na hata sockets za kucharge Electronic Devices za wasafiri kwenye Seats wakati wana subiri Boarding Time hatuna,
sasa naomba niambie elimu gani ya vitendo serikali yako imewasilisha kwa wananchi so far?

Mimi sijaelewa unavyo maanisha kuwa unataka Tanzania iwe nchi ya viwanda! Viwanda gani tena, wakati teknolojia ya kisasa itakayo wawezesha vijana kuwa creative umeshindwa kuifikisha kwao?

Rais Magufuli usifikiri ukisambaza barabara za lami, umeme na mabomba ya maji kila sehemu ndiyo watanzania watakuwa na uwezo wa kufungua viwanda na ku-create jobs, hilo wazo nakusihi ondokana nalo. Mambo sio rahisi namna hiyo. Watanzania sio creative ki hivyo, kama unavyofikiri.

Kuna mijitu ipo ipo tu hata ile chembe ya kujiongeza wenyewe haina. Na ndiyo maana una watu, wanajiita wapanga miji, lakini wanashindwa hata kujenga vyoo masokoni. Inau miza sana!

Sasa mijitu kama hii ambayo tuna amini imeenda shule inashindwa kufikiria vitu vidogo tu kama hivi, ndiyo unategemea watanzania kufungua viwanda? Endelea tu kuota njozi za mchana Rais wangu.

Sitaki kukukatisha tamaa, lakini ninayo vivid example. Wajerumani Mashariki wamejengewa kila kitu na hata hela wamepewa, lakini hata hivyo mpaka leo wameshindwa kuwa creative na kujitegemea wenyewe, vijana wao wengi wanakimbilia west Germany kwa ajira. Sasa kama hawa, tunaweza sema, watu walio pata exposure wanashindwa kufungua viwanda kwao, je, unataka kuniambia watanzania na ukilitimba wote huo wa kukosa maarifa ndiyo tutaweza kweli?

Kama, kwa mfano, wakazi wa Wilaya ya Mbamba Bay, ziwa Nyasa, wanashindwa kuwa na matrekta ambayo wanaweza kuyatumia kwa kilimo, unafikiri ukiwanjengea barabara ya lami ndiyo watafungua makampuni? Kama umeme wanao na maji ya bomba wanayo, ziwa kubwa wanalo mbona wameshindwa hata kuwa na viwanda au hata mabwawa ya kuzalisha samaki?

Nakuomba sana katika kampeni zako za uchaguzi nchini, kutilia mkazo kuwaeleza wananchi jinsi gani wataweza kuwa na access kwenye Internet bure na kuiwezesha hii sekta ku-boost ajira kwa vijana wetu. Achana na kauli za kurudiarudia kuhusu kujenga mabarabara na kununua madege zaidi. Narudia tena kusema, kauli hizi sidhani kama wanapenda kuzisikia.

Katika aggricaltural revolution naona nia thabiti na mwelekeo wa uhakika wa kufanikisha hayo bado unakosekana. Sijaelewa katika hili wapi kunatatizo. Aidha tatizo liko kwako Rais katika kutilia mkazo au liko kwa watendaji wako ulio waamini akina Hasunga na Bashe kuto jua nini lengo la kilimo?

Ningekuomba Rais Magufuli kutumia wataalam wako kikamilifu kwenye kubaini wapi tatizo lina lala, maana nikiangalia sekta hii ya kilimo naona ni moja ya sekta ambayo serikali za nyuma, toka enzi za Mwalim Nyerere, zimejitahidi sana kuigharamia kwa nguvu zote, kama kuwapeleka vijana wetu wengi kwenda kusoma kwenye nchi zilizopiga hatua kubwa kwenya sekta hii ya kilimo, ili maarifa yao waweze kuyatumia nchini, lakini mpaka sasa tunaona impact yake kwa maendeleo ya nchi yetu bado ni kidogo sana. Ni kwa nini hasa inakuwa hivi?

Kifikra nadhani kuna matatizo ya matumizi ya dhana za kilimo na ukosefu wa maarifa kwenye uzalishaji wa mazao yetu. Familia zinazo tegemea kilimo katika kipato chao, nafikiri aidha hazina uwezo wa kutumia dhana za kilimo au kukosa maarifa ya utumiaji wa dhana za kisasa za kilimo.

Mimi nashangaa, familia moja ya wakulima nchini Ujerumani kwa mfano, ina weza kuwa na vifaa vingi vya kutendea kazi za kilimo ambavyo hapa kwetu vingeweza milikiwa na makampuni makubwa ya mashamba ya ushirika kwa mfano.

The missing link hapa ni skil ya matumizi ya nyenzo au tools ambazo zingeweza kuwa zimetengenezwa na makampuni yetu (Manufacturing industries) na kwa chuma yetu.

Mambo ya Tuarism, Sewage system na Scientific Research nimesha yaeleza kwenye mada zangu za nyuma. Sioni busara nikiyrudia tena hapa.

Ila zaidi ya hayo yote Rais Magufuli ningependa utambue kuwa, watanzania wengi ni watu ambao mda wao mwingi wanawaza siasa tu.
Watu wengi walio soma na hata wale wasio soma mda wao mwingi ni kukaa vijiweni na kupiga porojo za kisiasa na kuwa na tamaa nyingi za kutaka kuwa na pesa nyingi za kufanya hanatha na ambazo hawajui watazipata wapi na vipi na hapo hapo kutoa lawama nyingi kwa serikali inayo tawala. Serikali haifanyi hiki au kile, lakini wenyewe hata kutoa mchango wa kimawazo ambo serikali inaweza kuufikiria kutekeleza, hawana.

Watanzania wa kuleta revolution ya viwanda nchini kusema ule ukweli siwaoni. Labda wale ambao ungewazalisha wewe mwenyewe kwa kushirikiana na wana diaspora walio pata exposure kwenye nchi za wenzetu na sio sisi tulio zalishwa na hao Marais wengine waliopita.

Sisi wengi wetu huwezi kutubadilisha tena, kwani bado tuna fikra ya kutaka kufanyiwa kila kitu na serikali. Hatuna ile spirit ya kujituma wenyewe wala spirit ya ku-reason. Wengi wetu tupo tupo tu. Tumejawa na tamaa tele na tunapenda sana kushabikia mambo mazuri ya wenzetu badala ya kwetu wenyewe.

Sisi bado tuna fikra za waisraeil walio okolewa na Nabii Mussa kutoka kwenye mikono ya wamisri na baadae kumlalamikia Mussa kutaka kurudi tena Misri walipopata misukosuko ya kukosa chakula kwenye milima ya Sinai.

Mawazo ya watanzania wengi hivi sasa sio mengine zaidi ya yale ya Wajerumani Mashariki. Hawa watu wanasaidiwa kila kitu kutoka kwa jamaa zao wa West, lakini bado hawataki kutambua kuwa weakness yao ya kuto zalisha ajira kwa vijana wao kama za wa West, zinatokana na uzembe wao wenyewe.

Mara nyingi utawaona wazee walio kata tamaa ya maisha wanawajaza vijana wao mambo mabaya ya chuki zidi ya wageni kiasi ambacho vijana hao wanaamini kweli kuwa wageni na hasa watu weusi ndiyo wanao leta ukosefu wa ajira kwao. Badala ya ku-concetrate kwenye mambo ya kitaalam ambayo yatawaletea maendeleo kama ndugu zao wa West, wao wanatumia nguvu nyingi kulinda territories zao ili wageni wasiingie. Kwa hili naweza sema tu, "Es ist dumm gelaufen!"

Ni suala la muda tu, huko ulikotaja Magufuli atafunika mbaya kabisa. Mpaka uje ufute bandiko lako na ufanye utafiti upya.
 
Pamoja na limakala lako kuwa reefu! Lakini Lisu havuki 20% ya kura
Sidhani kama umesoma mpaka mwisho, ila kwa nilivyomuelewa mwandishi hana tatizo kabisa na JPM kushinda uchaguzi huu na ndivyo anavyowish ashinde.

Lakini amejaribu kutoa mapendekezo katika dira na mustakabali wa maisha ya watu kutoka 2020-2025,kwangu mimi nampongeza kwa kutumia muda wake kuandika uzi huu na hii inaonesha anaupendo kwa nchi na wananchi wake lakini pia anajali na kuheshimu viongozi wake.

Rai yangu kwake nafikiria Mheshimiwa huwa anapitia hapa ama wasaidizi wake huwa wanasoma, hivyo kwa yale mazuri watayachukua na kwa yale ambayo hayapo sawa ila yenye nia nzuri wanaweza kuyaboresha kwasababu lengo la serikali ni kuhakikisha nchi inasonga mbele.

Mwisho ila kwa umuhimu nawaomba tujitokeze kupiga kura na ikipendezea tumpatie JPM kura za kutosha ili aweze kumalizia kazi yake.

JPM 2020-2025
 
Bandiko refu kumtaja taja Mungu, then unatukana mtu mwingine pimbi, wewe mwenyewe mnafiki na unajipendekeza jifunze ku hit point na kuandika hoja yako fupi inayobeba content na kueleweka kiurahisi. Nimesoma Uzi wako nilipofika kwa pimbi nikajua wewe Ni mtu wa aina gani?
Hili ndilo tatizop la vijana wa Kiafrika, siri ya Maendeleo utayapata kutokana Maandishi hicho ndio chanzo sahihi ya kupanua uelewa wako.Usipende sana vitu vya kusimuliwa tafata maarifa katika vitabu na machapisho ya kitalaamu.Huyu ndugu Mier ameamua kuchukua mda wake kushare nasi kile anachokifahamu.
 
Hili ndilo tatizop la vijana wa Kiafrika, siri ya Maendeleo utayapata kutokana Maandishi hicho ndio chanzo sahihi ya kupanua uelewa wako.Usipende sana vitu vya kusimuliwa tafata maarifa katika vitabu na machapisho ya kitalaamu.Huyu ndugu Mier ameamua kuchukua mda wake kushare nasi kile anachokifahamu.
Aliyekwambia huwa sisomi vitabu nini maana nimeanza kusoma maandishi marefu robo tatu nikusifia tu mwanaume mwenzake, sasa hapo aeleweke vipi kutwa kusifia mwanaume mwenzako ni udhaifu, then nikaendelea kusoma nafika mahali anatukana wengine halafu kwenye bandiko lake ana mtaja mtaja Mungu nikaona mnafiki tu na yeye na bandiko lake kwangu likakosa maana
 
Aliyekwambia huwa sisomi vitabu nini maana nimeanza kusoma maandishi marefu robo tatu nikusifia tu mwanaume mwenzake, sasa hapo aeleweke vipi kutwa kusifia mwanaume mwenzako ni udhaifu, then nikaendelea kusoma nafika mahali anatukana wengine halafu kwenye bandiko lake ana mtaja mtaja Mungu nikaona mnafiki tu na yeye na bandiko lake kwangu likakosa maana
Wewe ni mwongo na unatoa uzushi ambao hauna kichwa wala miguu.

Kwenye mada yangu kuna paragraphs kama 94 hivi na kati ya hizo ni pargagraphs 4 tu za mwanzo nimemsifu Rais Magufuli kwa kazi zake na ujasiri alio uonyesha kwetu zidi ya wanyonyaji.

Sasa ungizingatia idadi hiyo ya paragraphs ambazo nimemsifia kwa kazi zake na jumla ya idadi ya paragraphs kwenye mada yangu utaona ni kama 3.8% tu nimezitumia kumsifu yeye. Hizo nyingine zote nimezitumia kama mtazamo wangu juu ya maisha yetu na nini kifanyike ili tuweze songa mbele kimaendeleo kiasi kwamba vijana kama nyie msiwe na frustrations za maisha.

Ninacho kusihii ukitambue ni kwamba kule kuishi kwa janja janja kwa kupiga madeal na kuwa Millionen, Tundu Lissu akiruhusu hii nchi iwe tegemezi kwa wazungu hutaipata tena. Na swala la mzungu kukujali wewe sokwe kama binadam mwenzake hiyo sahau.

Mzungu tajiri anashindwa wasaidia wazungu wenzake kwao na kuhamisha mtaji wake China eti ndiyo aje akusidie wewe sokwe? Endelea tu na chozi zako za mchana.

Nikupe mfano tu ambao labda utauelewa kwa ufasaha jinsi matajiri walivyo. Matajiri wakubwa dunuani kama Warren Buffett, Bill and Melinda Gate, Bezos wa Amazo, Mark Zuckerberg, na wengine kadha wa kadha umeshawasikia kwenye kipindi hiki cha Lockdown kwa ajili ya Covid 19 wakitoa mabilioni yao kuzisaidia serikali zao ili ziwasaidie hata kwa chakula tu wananchi wao? Je umejiuliza hizo hela zote walizo nazo wanazifanyia nini kwa manufaa ya umma?

Ukipata majibu ya maswali yangu haya nafikiri ndiyo utatambua jinsi gani nchi yetu itakuwa pindi Lissu atakaponshika madaraka, kwani inabidi uelewe kuwa Lissu hatakuwa na say kama hivi sasa Magufuli.

Lissu atakuwa amebanwa na hao matajiri na yeye na wenzake wataamua kuchukua chao na kuondoka. Nyie mtajua mtakacho fanya.

Asikudanganye mtu ndugu yangu kwenye Ulimwengu huu wa leo ukimwona mwafrika mwenzako ana anza kupata umaarufu kwa mzungu basi naomba ujiulize mara sita sita kwa nini? Usiwe na mawazo ya kuwa na ulafi wa utajiri wa bila kufanya kazi. Hutaupata kirahisi hivyo kama unavyofikiria.

Magufuli katupa sisi fursa nyingi sana za maisha ambazo sizani kama fursa hizi tutakuwa nazo endapo Lissu atakuwa Rais.

Kwaza naomba ujiulize hivi sasa Lissu hana hela, akiwa madarakani atafanya nini kwanza? Off course atajitajirisha mwenyewe kwanza na pili wasaidizi wake, lakini kwa hela zipi? Hela zetu za kodi na baada ya hapo unafikiri atakuwa tena na mawazo ya kutengenzeza barabara ambazo anazikandia? Off course not. Hii miradi yote wazungu watamqambua asiitekeleze, kwani hawana mpango wa kutuona sisi tunajikwamua wenyewe kimaisha.

Hawapendi kwa sababu wanajua fika kuwa tukiwa na nguvu na uwezo, hawataweza kuto cotral sisi na na uwezo wa kuchota rasilimali zetu kwa jinsi wanavyo taka hawatweza.

Ulimwengu unatawaliwa na watu wachache wenye pesa. Wao ndiyo wana amua nini kifanyike. Angalia hii clip kuhusu Melina Gate mke wa Bill Gate:
 
Wewe ni mwongo na unatoa uzushi ambao hauna kichwa wala miguu.

Kwenye mada yangu kuna paragraphs kama 94 hivi na kati ya hizo ni pargagraphs 4 tu za mwanzo nimemsifu Rais Magufuli kwa kazi zake na ujasiri alio uonyesha kwetu zidi ya wanyonyaji.

Sasa ungizingatia idadi hiyo ya paragraphs ambazo nimemsifia kwa kazi zake na jumla ya idadi ya paragraphs kwenye mada yangu utaona ni kama 3.8% tu nimezitumia kumsifu yeye. Hizo nyingine zote nimezitumia kama mtazamo wangu juu ya maisha yetu na nini kifanyike ili tuweze songa mbele kimaendeleo kiasi kwamba vijana kama nyie msiwe na frustrations za maisha.

Ninacho kusihii ukitambue ni kwamba kule kuishi kwa janja janja kwa kupiga madeal na kuwa Millionen, Tundu Lissu akiruhusu hii nchi iwe tegemezi kwa wazungu hutaipata tena. Na swala la mzungu kukujali wewe sokwe kama binadam mwenzake hiyo sahau.

Mzungu tajiri anashindwa wasaidia wazungu wenzake kwao na kuhamisha mtaji wake China eti ndiyo aje akusidie wewe sokwe? Endelea tu na chozi zako za mchana.

Nikupe mfano tu ambao labda utauelewa kwa ufasaha jinsi matajiri walivyo. Matajiri wakubwa dunuani kama Warren Buffett, Bill and Melinda Gate, Bezos wa Amazo, Mark Zuckerberg, na wengine kadha wa kadha umeshawasikia kwenye kipindi hiki cha Lockdown kwa ajili ya Covid 19 wakitoa mabilioni yao kuzisaidia serikali zao ili ziwasaidie hata kwa chakula tu wananchi wao? Je umejiuliza hizo hela zote walizo nazo wanazifanyia nini kwa manufaa ya umma?

Ukipata majibu ya maswali yangu haya nafikiri ndiyo utatambua jinsi gani nchi yetu itakuwa pindi Lissu atakaponshika madaraka, kwani inabidi uelewe kuwa Lissu hatakuwa na say kama hivi sasa Magufuli.

Lissu atakuwa amebanwa na hao matajiri na yeye na wenzake wataamua kuchukua chao na kuondoka. Nyie mtajua mtakacho fanya.

Asikudanganye mtu ndugu yangu kwenye Ulimwengu huu wa leo ukimwona mwafrika mwenzako ana anza kupata umaarufu kwa mzungu basi naomba ujiulize mara sita sita kwa nini? Usiwe na mawazo ya kuwa na ulafi wa utajiri wa bila kufanya kazi. Hutaupata kirahisi hivyo kama unavyofikiria.

Magufuli katupa sisi fursa nyingi sana za maisha ambazo sizani kama fursa hizi tutakuwa nazo endapo Lissu atakuwa Rais.

Kwaza naomba ujiulize hivi sasa Lissu hana hela, akiwa madarakani atafanya nini kwanza? Off course atajitajirisha mwenyewe kwanza na pili wasaidizi wake, lakini kwa hela zipi? Hela zetu za kodi na baada ya hapo unafikiri atakuwa tena na mawazo ya kutengenzeza barabara ambazo anazikandia? Off course not. Hii miradi yote wazungu watamqambua asiitekeleze, kwani hawana mpango wa kutuona sisi tunajikwamua wenyewe kimaisha.

Hawapendi kwa sababu wanajua fika kuwa tukiwa na nguvu na uwezo, hawataweza kuto cotral sisi na na uwezo wa kuchota rasilimali zetu kwa jinsi wanavyo taka hawatweza.

Ulimwengu unatawaliwa na watu wachache wenye pesa. Wao ndiyo wana amua nini kifanyike. Angalia hii clip kuhusu Melina Gate mke wa Bill Gate:
Uko so biased mno kwa kweli kwanini umsifie hivo mwanaume mwenzako? Yani unamsifu kuliko muumba wako jamani loh.
Halafu kwanini ujiite sokwe Yani unaji undermine kuwa wewe sio chochote Wala huna nafasi yoyote?
Pia most of the time blaming mabeberu tu hata kwa uzembe wetu wenyewe huko ka si kukwepa responsibilities nini, maana mabeberu imekuwa chaka la watawala kuficha udhaifu wao kwa kuchota akili watu wenye uelewa mdogo wa Mambo, hao hao mabeberu mnaowatukana bila wao hamuwezi ishi mnategemea kununua ndege kutoa kwako, madawa mbalimbali ka ARV then mkiwa kwenye siasa mnaongea utopian thought ili iweje? Na huyo lissu Mimi sio shabiki wake napenda kitu kilicho halisi maana wanasiasa wote wanafiki tu ni ndumilakuwili wataka madaraka na wabinafsi so yoyote atakayepata nafasi atatelekeza sera, so kusema lissu Hana hela kwani magufuli anatoa hela yake mfukoni kufanya maendeleo? Maana Mimi ka raia nakatwa Kodi na TRA iweje uje useme flani anatuletea maendeleo as if anatoa mfukoni kwako na hisani kumbe tunakatwa Kodi kubwa bila huruma na return yake kwa raia bado sio kubwa, so kwangu mimi yoyote atakayetelekeza National interest apewe kiupaumbele na sio kusingizia mabeberu kwa udhaifu wetu wenyewe.
 
Muhimu ya yote kwanza ni wewe mwenyewe kutambua ili uwe na heavy industries unahitaji umeme wa uhakika, kitu ambacho Magufuli anakifanyia Tanzania kwa sasa. Kwa ivyo kitendo cha kulaumu hakuna kiwanda cha chuma kikubwa wakati umeme wenyewe tia maji maji ni kumuonea Magufuli.

Pili unaweza kuwa umesomea mambo ya electrical engineer (just giving you the benefit of the doubt) lakini inaonekana unapwaya kwenye strategic planning za energy security hasa kwa zama hizi za environmental concerns.

Duniani leo kuna umuhimu wa ku-balance kati ya reliable sources and looking after the environment using renewable sources. The goal is to reduce the Earth temperature, anyway kama ulivyogusia this was not the focus of your thread. However not sure if your familiar with international energy sufficient strategies as to what the world is doing (by that I mean developed nations own policies on that front) I got from reading from your post.

Now turudi kwenye icho kiwanda chako cha chuma kabla ya watu kukurupuka na kuamua kufanya investment kuna maswali ya kuulizana na kuyapatia majibu either wanafanya shughuli au wana outsource (logic map) kutokana na mazingira ya soko lao.

Moja ya swali ni strategic importance ya kufanya hiyo shughuli; jibu la haraka yes kiwanda cha chuma Tanzania kinahitajika in the long term and anyone can justify that. Tatizo wengi wenu mnaishia hapo kwenye decision za kutaka kuona serikali inafanya ivyo.

But that is just one question bado kuna maswali mengine luluki yanayo hitaji majibu na yenyewe to justify investment.

Je, tuna watu wenye ‘special knowledge’ ya kuendesha such an industry; ukiangalia kwenye ujenzi wa SGR kuna assembly plant imejengwa kati ya Dodoma na Morogoro inayosimamiwa na wageni. Ukisikiliza engineers wakitanzania walioajiriwa kama supervisors watakwambia hiyo ajira imewapa perspective na knowledge kubwa itakayo wasaidia baadae.

Haya unataka kiwanda cha heavy iron industry ushawahi liona lile li beseni linalopokea chuma na process yote ya iron casting hadi kupata kitu kama reli, unao hao wataalamu? If no inabidi ujibu utawatoa wapi, the answer is simple usomeshe au uajiri wageni? Kama kusomesha this takes time to educate and giving them experience huko nje ya nchi at least six years. Kwa ivyo busara ni kuajiri wageni kwanza walau usomeshe kwa miaka mitatu experience wapewe na wageni.

On the political side kiwanda icho icho kikianza na wageni mtapiga kelele mnawasomi sijui wamesoma ulaya hila serikali imeajiri wageni.

Kuna swala la cost kama ulivyoona Dangote ajajenga sehemu yake ya kuzalishia umeme kwa bahati mbaya it was part of his plan given our electricity capabilities. Kiwanda kikubwa cha saruji kama chake kinahitaji umeme mkubwa. Kwa ivyo kupata umeme wa uhakika ndio imebidi achukue hiyo option ili afikie production target zake za mwaka na arudishe hela yake kwa muda aliojipangia.

Ina maana kiwanda chako cha chuma na chenyewe itabidi ukijengee umeme wake, bado cost za kujenga kiwanda si ajabu ukijikuta gharama zake ni nusu ya bwawa la Nyerere? Is this opportunity cost worth it? Would such an industry enhance the economy given the pace of infrastructure industry, can we compete in cost compared to China in the end (who receive government subsidies to make their products comptitive), in terms of fighting for the market would a Kenyan builder opt to Tanzania Iron product over China because of price, do we have the infrastructure to ship to our neighbours in large volumes, how many tones would we have to produce just to break even?

Maswali mengine kama ya; dependability, speed to reach other market, flexibility, quality etc. Haya kuyaongelea shida maana yanataka supporting infrustructure kama tunaongelea heavy iron industry.

Ni hivi mnatabia ya kuongelea vitu juu juu tu lakini amuwelewi what it takes for those things to be successful. Hapo ata sijagusia strategic planning ya short term, mid term na wala long term ya kuhakikisha kiwanda kinabaki productive for years. Kitu ambacho ata wewe ujagusia kabisa.

Listen mwacheni Magufuli awaandalie mazingira ambayo watoto wenu watakuja faidika nayo kwa kuwatengenezea miundombinu itakayo kuja kuchochea uchumi muda wao sio kuandika mambo mnayoyajua kwa juu juu tu na kudhani ni mepesi kuyatekeleza.
Mkuu Kilatha nakushukuru kwa mchango wa hoja yako, lakini kulingana na uhalisia wa mada yangu utagundua kuwa haukuwa kutoa lawama bali ni kutoa mapendekezo ya cha nini kifanyike ili tatizo la ajira na pia uenezi wa maarifa kwa vijana wetu uweze kufanyika au kutamalaki.

Kama kwako imeonekana kuwa ni lawama basi ningekuomba kusoma tena kipegele kinacho husu mambo ambayo Rais Magufu angeweza kuyafanya ili kuondoa tatizo hilo ambalo linatukabili.

Kwenye kipengele hiki ninacho kinukuu nimelezea yafuatayo;

"Mimi binafsi ningekuomba sana tena sana kutokuwa na uoga au ukakasi wowote ule wa kuwahakikishia watanzania kuwa wewe katika muhula wako huu wa pili, kama watanzania watakupa ridhaa ya kuunda serikali tena, utatumia nguvu zako zote, maarifa yako yote na rasilimali zetu zote tulizo nazo nchini kuwekeza kwenye miradi mikubwa ya kimkakati ambayo itawawezesha wananchi kwanza kuondokana na tatizo la kuwa na njaa na pili kwa kuweka juhudi kubwa kwenye kuweka mazingira mazuri ya kuzalisha ajira nyingi kwa wananchi kwa kufanya yafuatayo;

1. construction and manufacturing
industries,
2. Aggricaltural revolution,
3. Energy source,
4. Forth Industrial Revolution
Kuongeza juhudi kubwa kwenye IT
(Information Technology),
5. Miundo mbinu zaidi ya puplic transort
kama; High Speed Trains
na Commuter trains au Trams mijini.
6. Tourismus and intertainmemt (Sport na
sanaa)
7. Kuweka mifumo thabiti ya usafishaji wa
maji taka (sewage systems and
wastewater treatment plants)
8. Scientific Research (Utafiti wa kisayansi)"

Kinaonyesha dhahiri mawazo yangu juu ya mada nzima niliyo i-discuss.

Kama kuna kitu ambacho wewe unaweza ukakiona kama ni lawama ni pale nilipo sema kuwa yeye (Rais Magufuli) anazunguka majukwaani nchi nzima akipiga kelele za kwamba nchi hii ni tajiri, kama hii nchi ni tajiri basi autumie huo utajiri tulio nao ambao yeye anauona ili kuleta mandeleo ya nchi yetu na kuondoa tatizo kubwa linalo wakabili vijana la njaa na ajira.

Nakushuru kwa complement yako ya kunikebei kuhusiana na profession yangu, lakini hata hivyo ningependa kukuambia kitu kimoja "be carefull na propaganda za wazungu kuhusiana na maswala mazima yanayo husu energy.

Wachina kwa mfano wamejenga mzinga wa Dam kwa ajili ya kuzalisha umeme wa karibu Terawatt moja huko kwao kwenye mto Jangtsekiang na Wajerumani bado wanatumia mitambo yao mipya inayofua umeme kwa kutumia coal, njia ambazo zina pollute environment. Sisi huku wanatuzuia kutumia mito yetu na makaa yetu ya mawe ili kuzalisha umeme wa kutosha.

Hivyo wewe ulie karirishwa na kuaminishwa chochote wanachofanya wao ni sawa, huoni kama hiyo ni double standard? Au wewe unaonaje?

Kitu kingine ambacho pia unapaswa kukijua ni kuacha kuimba nyimbo za ngonjera kuhusu Reduction of the Earth temperature through renewable Energy sources kama wazungu wanavyo wakaririsha nyie. Wewe unazungumzia chanzo cha renewable energy kama solar, lakini unasahahu kuwa ili kuweza ku tap hiyo energy kuna vitu vinahitajika vitengenezwe ndiyo tuweze ku tap hiyo energy. Usiangalie aspect moja katika chain nzima ya Energy Generation.

Katika Energy Generation kwa njia ya solar kuna baadhi ya vitu vinahitajika kama facilities mojawapo muhimu sana. Solar Modules ambazo process zake katika manufacturing ni very energy intensive na zenyewe upatikaji wake zinahitaji kuwa analysed.

Kama ambavyo umeshawahi sikia kuwa solar cells zinatokana na SiO2 (sand), kwa hiyo process ya upatikanaji wake unahitaji joto la hali ya juu zaidi kuliko hata joto la ipatikanaji wa chuma. SiO2 inayeyuka kwenye 1710 °C, wakati chuma kwenye 1538 °C.

Kwa hali hii peke yake inatuonyesha kuwa ni uongo wa hali ya juu unatumika ili kutuhadaa sisi kuhusiana na hiyo process ya generation of the renewable energy. Hapa namaanisha kuwa factors zote zinazohitajika ili kufanya mahesabu kamili ya kubalance energy haziwi icluded.

Kitu kingine ambacho hakizingatiwi kwenye Energy Equetion ni efficience ya Solar cell moja ya Silicon. Efficience ya Solar cell moja ni 17% ambayo ukiilinganishwa na production costs utaona kwamba faida ya energy ya Solar cell moja ni ndogo sana.

Tatizo hapa liko kwa watu kama nyie. Afrika tuna wasomi kibao ambao wamesoma madudu ambayo hawayaelewi na hawajui kuyatumia. Ni sawa na wewe unaimba tu Renewable Energy Source lakini hujui jinsi gani solar cell moja inavyopatikana.

Ndiyo maana watu kama nyie mzungu akija kuwaambia kitu basi mnakubali mara moja kuwa ndiyo hivyo. Hamkai mkatumia nafasi zenu na maarifa mliyo yatapata kwenye fani zenu, kujiuliza inakuwaje? Hivi haya mambo ambayo hawa Caucasians wanawaeleza ni kweli au si kweli?

Misomi uchwara ya nadharia kama nyinyi mnatuangusha sana Afrika. Mnajazwa uongo na wazungu na wapiga mahesbu yenu fake ya kibiashara, mnakubali na kuja kwetu sisi kutuambia ni kweli kutengeneza chuma yetu it is not viable. Who says that?

Sikiliza mkuu wewe hujachukua Material science na wala hujui mahesabu ya material science kwa hiyo sio sawa unakuja na aspect moja tu ya kiuchumi ku overrule kila kitu. Hayo ndiyo makosa mbayo mnayafanya.

Kama nyie hamjui properties za material tofauti, wachukueni basi wataalam wa vitu hivyo kwenye makadirio ya miradi ya maendeleo yenu badala ya kuwakatisha tamaa watu wanaotaka kuleta maendeleo ya nchi kwa kutumia rasilimali zetu.

Tanzania tukiamua kuanzisha mtambo wetu wenyewe wa kutengeneza chuma tutafaidika maradufu sio tu kwa faida itakayo patikana na mauzo ya hiyo product, bali pia itakuwa chachu ya kuwa na wataalam na wajasiliamali wengi na hivyo kusababisha kukua kwa uchumi wetu na vilevile maendeleo ya nchi. Hii ndiyo njia mojawapo kubwa ya kupunguza idadi ya watu wasio na ajira.

Tuna advantage moja kubwa ya kubreak even kwa haraka nayo ni kwamba mali zetu ghafi zote ziko nchini. Hatuna haja ya kuagiza Iron ore wala makaa ya mawe wala gesi asilia kutoka nje.

Katika kuzalisha/extract Iron kama raw material kwa ajili ya kutengeneza chuma steel na cast iron hewa (O2), coal kama fuel au gesi asilia inahitajika na sio umeme.
Umeme unahitajika kwenye kutengeneza chuma (steel).

Hakuna nchi wala kampini ambayo inaanza kufanya kitu kwa mara ya kwanza ikawa na maexperts wake yenyewe bali inaanza na baadhi ya maexperts walio watoa sehemu tofauti ikiwemo nje, baadae ndiyo watu wa nyumbani wanafundishwa taratibu.

Mjerumani alipo wekeza kwenye locomotive yake ya kwanza kutoka Nuernmberg kwenda Furth mpaka dreva wa hiyo locomotive alikuwa mwingereza, lakini baada ya miaka 10 ijayo Dailmler akagundua gari lake la kwanza.

Hapa nataka nikuambie kuwa bila technology Transfer hakuna technology Transformation. Wajerumani kwenye hicho kipindi cha miaka kumi waliendelea kueneza njia nyingine za reli na kuongeza treni nyingine. Kwa hiyo wajerumani walipanua professions na hivyo kuajiri watu wengi. Badae wakaanza kutengeza treni zao wenyewe na kuzifanyia Experiments tofaut mpaka wakaja kugundua treni za umeme na ndiyo maana mpaka sasa wajerumani ni namba one katika kutengeza trains. Na panapo majariwa na sisi mwakani tutakuwa na high speed trains zetu za kwanza ambazo imetokana na jasho letu.

Hivi ndivyo maenseleo na ustaarabu unavyo anza. Afrika tunahitaji watu jasiri, wenye kuthubutu na wenye maono kama Rais Magufuli, kwani watu kama hawa ndiyo wanao leta maendeleo ya watu.

Rais Magufuli ana maono kwa sababu ameielewa science na ndiyo maana hababaiki. Anajiamini kwa kile anachokifanya sababu science inampa yeye kujiamini.

Nyie watu msiojua au kuielewa science mnamatatizo makubwa sana kwasabu masomo yenu hayawapi nguvu ya kujiamini kwa kile mnacho kifanya na ndiyo maana mmekuwa mzigo kwa waafrika. Kwa kutokujiamini kwenu mna wa Induce mpaka wananchi wa society yenu. Wanakuwa waoga kwa kila jambo.

Sio kila bishara lazim ianze na faida, kuna biashara nyingine ili uzielewe vizuri lazima uanze na hasara badaadae ukisha ielewa ndiyo utapata maarifa ambayo yatakusaidia kupata faida.

Kama mambo mengine huyajui afadhali ukae kimya kuliko unajifanya unajua kumbe hujui kitu. Naomba nikuulize kitu. Waigereza walianza kutengeza chuma kwanza au loconotives?

Waingereza walisha anza tengeneza meli za chuma kabla hata George na Robert Stephensons kutengeneza locomotive yao ya kwanza.
 
Kitambulisho vyake vya ujasiliamali, kuzuia mikutano ya siasa, ajira hamna, wakati watu wengi wamestaafu ,wengine vifo ndani ya miaka 5 ,lakini huyu baba kaajiri walimu wa sayansi tu na wstumishi wa afya. Kada nyingine zote hazijaguswa kabisa,
 
Kitambulisho vyake vya ujasiliamali, kuzuia mikutano ya siasa, ajira hamna, wakati watu wengi wamestaafu ,wengine vifo ndani ya miaka 5 ,lakini huyu baba kaajiri walimu wa sayansi tu na wstumishi wa afya. Kada nyingine zote hazijaguswa kabisa,
Ni vizuri kama ameajiri walim wengi wa sayansi. Atakuwa yuko right kwa sababu sayansi ni kitu muhimu sana kwenye maisha ya binadam kuliko hata dini au kuabudu mungu wa wazungu alio letwa kwa meli na wakoloni.

Hao wasomi wa mambo mengine kama wasomi wa uchumi, utawala, Theology na mengineyo kwenye kipindi cha miaka karibu 60 toka tupate uhuru wamefanya nini katika kulijenga taifa hili kimaendeleo? Nothing! Absolutelly nothing!

Wame create watu waoga na wasio jiamini, Watu wasiojua maisha ni nini, Watu ambao wanamsujudu mzungu na kumwona yeye ni kama mungu, Ndiyo maana mnawaona watu kama akina Lissu, Zitto Kabwe na Membe ambao hawajiamini wako tayari kutaka sisi tutawaliwe na mkoloni mambo leo eti kwa sababu tu wao wanataka wawe viongozi wa nchi. Thubutuuu!

Japo kuwa naweza sema mawazo ya Lissu ya kutaka kubadili mfumo wa kiutawala, hasa wa kuwataka marais wetu nao wawajibishwe pindi inapo bainika kuwa kuna makosa wame yatenda, sio mbaya passee na mimi kuunga mkono azimio hilo, lakini approach yake ya kufikia lengo hilo kwa kushirikiana na mabeberu na hasa Robert Amsterdam ambaye ni mleta Chaos kwenye nchi masikini na kukandia kila kitu ambacho Rais wetu amejitahidi so far kukifanya kwa maendeleo yetu, hicho kitendo kidogo kinanipa utata.

Wasomi wa masomo ya sayansi duniani kwote ni watu ambao wako very very constructive na contributive kwenye maisha ya binadam, lakiki wengine wote ni destruktive na hasa wasomi wa Theology. Si mnamwona kwa mfano Mbunge AD wa Iringa mjini, Peter Msigwa jinsi alivyo?

Hivyo ndivyo jinsi ya namna ya watu wenye kusoma sana theology walivyo. Wanataka kwenye kila kitu, hata kile wasichokiweza, wawe mstari wa mbele. Wasipofanikiwa kwenye mipango hiyo wanapata frustrations na kuanza kuwa wendawazimu.

Kwa hiyo sioni sababu ya wewe kumlaumu Rais Magufuli kwa vifo vya watu ambao wanaamua kuondoa maisha yao. Katika mabadiliko ya yoyote yale ya kimfumo lazima kuna baadhi ya member wa system, au tuseme society, lazima wawe loser.
Na hiyo sio principle ya Rais Magufuli bali ni principle ya nature.

Hata kama Lissu atashinda uchaguzi na kuwa Rais wetu, kama ata impliment agenda yake ya kurekebisha katiba na mfumo wa kiutawala, kutakuwa na mabadiliko tu ambayo yatasababisha baadhi ya watu kupoteza vitu vyao ambavyo wamekuwa wanavitegemea kimaisha. Ndiyo nature ya maisha ilivyo. Hakuna mtu anaweza akafanya chochote kuzuia, zaidi ya kutoa pole kwao.
 
Mkuu Kilatha nakushukuru kwa mchango wa hoja yako, lakini kulingana na uhalisia wa mada yangu utagundua kuwa haukuwa kutoa lawama bali ni kutoa mapendekezo ya cha nini kifanyike ili tatizo la ajira na pia uenezi wa maarifa kwa vijana wetu uweze kufanyika au kutamalaki.

Kama kwako imeonekana kuwa ni lawama basi ningekuomba kusoma tena kipegele kinacho husu mambo ambayo Rais Magufu angeweza kuyafanya ili kuondoa tatizo hilo ambalo linatukabili.

Kwenye kipengele hiki ninacho kinukuu nimelezea yafuatayo;

"Mimi binafsi ningekuomba sana tena sana kutokuwa na uoga au ukakasi wowote ule wa kuwahakikishia watanzania kuwa wewe katika muhula wako huu wa pili, kama watanzania watakupa ridhaa ya kuunda serikali tena, utatumia nguvu zako zote, maarifa yako yote na rasilimali zetu zote tulizo nazo nchini kuwekeza kwenye miradi mikubwa ya kimkakati ambayo itawawezesha wananchi kwanza kuondokana na tatizo la kuwa na njaa na pili kwa kuweka juhudi kubwa kwenye kuweka mazingira mazuri ya kuzalisha ajira nyingi kwa wananchi kwa kufanya yafuatayo;

1. construction and manufacturing
industries,
2. Aggricaltural revolution,
3. Energy source,
4. Forth Industrial Revolution
Kuongeza juhudi kubwa kwenye IT
(Information Technology),
5. Miundo mbinu zaidi ya puplic transort
kama; High Speed Trains
na Commuter trains au Trams mijini.
6. Tourismus and intertainmemt (Sport na
sanaa)
7. Kuweka mifumo thabiti ya usafishaji wa
maji taka (sewage systems and
wastewater treatment plants)
8. Scientific Research (Utafiti wa kisayansi)"

Kinaonyesha dhahiri mawazo yangu juu ya mada nzima niliyo i-discuss.

Kama kuna kitu ambacho wewe unaweza ukakiona kama ni lawama ni pale nilipo sema kuwa yeye (Rais Magufuli) anazunguka majukwaani nchi nzima akipiga kelele za kwamba nchi hii ni tajiri, kama hii nchi ni tajiri basi autumie huo utajiri tulio nao ambao yeye anauona ili kuleta mandeleo ya nchi yetu na kuondoa tatizo kubwa linalo wakabili vijana la njaa na ajira.

Nakushuru kwa complement yako ya kunikebei kuhusiana na profession yangu, lakini hata hivyo ningependa kukuambia kitu kimoja "be carefull na propaganda za wazungu kuhusiana na maswala mazima yanayo husu energy.

Wachina kwa mfano wamejenga mzinga wa Dam kwa ajili ya kuzalisha umeme wa karibu Terawatt moja huko kwao kwenye mto Jangtsekiang na Wajerumani bado wanatumia mitambo yao mipya inayofua umeme kwa kutumia coal, njia ambazo zina pollute environment. Sisi huku wanatuzuia kutumia mito yetu na makaa yetu ya mawe ili kuzalisha umeme wa kutosha.

Hivyo wewe ulie karirishwa na kuaminishwa chochote wanachofanya wao ni sawa, huoni kama hiyo ni double standard? Au wewe unaonaje?

Kitu kingine ambacho pia unapaswa kukijua ni kuacha kuimba nyimbo za ngonjera kuhusu Reduction of the Earth temperature through renewable Energy sources kama wazungu wanavyo wakaririsha nyie. Wewe unazungumzia chanzo cha renewable energy kama solar, lakini unasahahu kuwa ili kuweza ku tap hiyo energy kuna vitu vinahitajika vitengenezwe ndiyo tuweze ku tap hiyo energy. Usiangalie aspect moja katika chain nzima ya Energy Generation.

Katika Energy Generation kwa njia ya solar kuna baadhi ya vitu vinahitajika kama facilities mojawapo muhimu sana. Solar Modules ambazo process zake katika manufacturing ni very energy intensive na zenyewe upatikaji wake zinahitaji kuwa analysed.

Kama ambavyo umeshawahi sikia kuwa solar cells zinatokana na SiO2 (sand), kwa hiyo process ya upatikanaji wake unahitaji joto la hali ya juu zaidi kuliko hata joto la ipatikanaji wa chuma. SiO2 inayeyuka kwenye 1710 °C, wakati chuma kwenye 1538 °C.

Kwa hali hii peke yake inatuonyesha kuwa ni uongo wa hali ya juu unatumika ili kutuhadaa sisi kuhusiana na hiyo process ya generation of the renewable energy. Hapa namaanisha kuwa factors zote zinazohitajika ili kufanya mahesabu kamili ya kubalance energy haziwi icluded.

Kitu kingine ambacho hakizingatiwi kwenye Energy Equetion ni efficience ya Solar cell moja ya Silicon. Efficience ya Solar cell moja ni 17% ambayo ukiilinganishwa na production costs utaona kwamba faida ya energy ya Solar cell moja ni ndogo sana.

Tatizo hapa liko kwa watu kama nyie. Afrika tuna wasomi kibao ambao wamesoma madudu ambayo hawayaelewi na hawajui kuyatumia. Ni sawa na wewe unaimba tu Renewable Energy Source lakini hujui jinsi gani solar cell moja inavyopatikana.

Ndiyo maana watu kama nyie mzungu akija kuwaambia kitu basi mnakubali mara moja kuwa ndiyo hivyo. Hamkai mkatumia nafasi zenu na maarifa mliyo yatapata kwenye fani zenu, kujiuliza inakuwaje? Hivi haya mambo ambayo hawa Caucasians wanawaeleza ni kweli au si kweli?

Misomi uchwara ya nadharia kama nyinyi mnatuangusha sana Afrika. Mnajazwa uongo na wazungu na wapiga mahesbu yenu fake ya kibiashara, mnakubali na kuja kwetu sisi kutuambia ni kweli kutengeneza chuma yetu it is not viable. Who says that?

Sikiliza mkuu wewe hujachukua Material science na wala hujui mahesabu ya material science kwa hiyo sio sawa unakuja na aspect moja tu ya kiuchumi ku overrule kila kitu. Hayo ndiyo makosa mbayo mnayafanya.

Kama nyie hamjui properties za material tofauti, wachukueni basi wataalam wa vitu hivyo kwenye makadirio ya miradi ya maendeleo yenu badala ya kuwakatisha tamaa watu wanaotaka kuleta maendeleo ya nchi kwa kutumia rasilimali zetu.

Tanzania tukiamua kuanzisha mtambo wetu wenyewe wa kutengeneza chuma tutafaidika maradufu sio tu kwa faida itakayo patikana na mauzo ya hiyo product, bali pia itakuwa chachu ya kuwa na wataalam na wajasiliamali wengi na hivyo kusababisha kukua kwa uchumi wetu na vilevile maendeleo ya nchi. Hii ndiyo njia mojawapo kubwa ya kupunguza idadi ya watu wasio na ajira.

Tuna advantage moja kubwa ya kubreak even kwa haraka nayo ni kwamba mali zetu ghafi zote ziko nchini. Hatuna haja ya kuagiza Iron ore wala makaa ya mawe wala gesi asilia kutoka nje.

Katika kuzalisha/extract Iron kama raw material kwa ajili ya kutengeneza chuma steel na cast iron hewa (O2), coal kama fuel au gesi asilia inahitajika na sio umeme.
Umeme unahitajika kwenye kutengeneza chuma (steel).

Hakuna nchi wala kampini ambayo inaanza kufanya kitu kwa mara ya kwanza ikawa na maexperts wake yenyewe bali inaanza na baadhi ya maexperts walio watoa sehemu tofauti ikiwemo nje, baadae ndiyo watu wa nyumbani wanafundishwa taratibu.

Mjerumani alipo wekeza kwenye locomotive yake ya kwanza kutoka Nuernmberg kwenda Furth mpaka dreva wa hiyo locomotive alikuwa mwingereza, lakini baada ya miaka 10 ijayo Dailmler akagundua gari lake la kwanza.

Hapa nataka nikuambie kuwa bila technology Transfer hakuna technology Transformation. Wajerumani kwenye hicho kipindi cha miaka kumi waliendelea kueneza njia nyingine za reli na kuongeza treni nyingine. Kwa hiyo wajerumani walipanua professions na hivyo kuajiri watu wengi. Badae wakaanza kutengeza treni zao wenyewe na kuzifanyia Experiments tofaut mpaka wakaja kugundua treni za umeme na ndiyo maana mpaka sasa wajerumani ni namba one katika kutengeza trains. Na panapo majariwa na sisi mwakani tutakuwa na high speed trains zetu za kwanza ambazo imetokana na jasho letu.

Hivi ndivyo maenseleo na ustaarabu unavyo anza. Afrika tunahitaji watu jasiri, wenye kuthubutu na wenye maono kama Rais Magufuli, kwani watu kama hawa ndiyo wanao leta maendeleo ya watu.

Rais Magufuli ana maono kwa sababu ameielewa science na ndiyo maana hababaiki. Anajiamini kwa kile anachokifanya sababu science inampa yeye kujiamini.

Nyie watu msiojua au kuielewa science mnamatatizo makubwa sana kwasabu masomo yenu hayawapi nguvu ya kujiamini kwa kile mnacho kifanya na ndiyo maana mmekuwa mzigo kwa waafrika. Kwa kutokujiamini kwenu mna wa Induce mpaka wananchi wa society yenu. Wanakuwa waoga kwa kila jambo.

Sio kila bishara lazim ianze na faida, kuna biashara nyingine ili uzielewe vizuri lazima uanze na hasara badaadae ukisha ielewa ndiyo utapata maarifa ambayo yatakusaidia kupata faida.

Kama mambo mengine huyajui afadhali ukae kimya kuliko unajifanya unajua kumbe hujui kitu. Naomba nikuulize kitu. Waigereza walianza kutengeza chuma kwanza au loconotives?

Waingereza walisha anza tengeneza meli za chuma kabla hata George na Robert Stephensons kutengeneza locomotive yao ya kwanza.
69644F47-B8BE-4DD6-9753-FA7044102CE8.jpeg


Mkuu nianze kwa kukuomba radhi saw your post but couldn’t respond to it, si unajua tena JF chini ya utawala wa ‘Napoleon’ kwenye animal farm “all animals are equal but some are more equal than others”. Ni sawa kwa wengine kumuita Magu kila jina ukifanya ivyo kwa Lissu unakula ban.

Kuhusu hoja zako rasmi will respond appropriately in due time.
 
View attachment 1579940

Mkuu nianze kwa kukuomba radhi saw your post but couldn’t respond to it, si unajua tena JF chini ya utawala wa ‘Napoleon’ kwenye animal farm “all animals are equal but some are more equal than others”. Ni sawa kwa wengine kumuita Magu kila jina ukifanya ivyo kwa Lissu unakula ban.

Kuhusu hoja zako rasmi will respond appropriately in due time.

..Mkuu uliwekwa "selo."?

..kama hilo lilikutokea pole sana.

..wenzako wa CDM kila kukicha wanachezea selo za Polisi au Tume.

..kuna wagombea wa CDM wamefungiwa kufanya kampeni mmoja siku 7, mwingine 14.

..wako wengine rufaa zao hazijaamuliwa mpaka leo hii.
 
..Mkuu uliwekwa "selo."?

..kama hilo lilikutokea pole sana.

..wenzako wa CDM kila kukicha wanachezea selo za Polisi au Tume.

..kuna wagombea wa CDM wamefungiwa kufanya kampeni mmoja siku 7, mwingine 14.

..wako wengine rufaa zao hazijaamuliwa mpaka leo hii.
Hila humu wamezidi hawana tu uwezo wa kutupeleka selo, vinginevyo ingekuwa uraiani adhabu za mods wa JF zingefanana na ‘draconian laws’, maana kosa dogo tu linaloamkera mod mmoja unakula ban.

Adhabu zao sio standardised kabisa majina anayoitwa Magufuli humu na kuwaachia wachangiaji, ukifanya ivyo kwa Lissu kosa.
 
Hila humu wamezidi hawana tu uwezo wa kutupeleka selo, vinginevyo ingekuwa uraiani adhabu za mods wa JF zingefanana na ‘draconian laws’, maana kosa dogo tu linaloamkera mod mmoja unakula ban.

Adhabu zao sio standardised kabisa majina anayoitwa Magufuli humu na kuwaachia wachangiaji, ukifanya ivyo kwa Lissu kosa.

..kaka unalalamika kuzidi hata waliopigwa risasi 16? 😂

..labda ulikutana na moderator aliyeamka vibaya.

..wakati mwingine wanafuta topic bila sababu za msingi.

..Tuwasamehe.
 
Mkuu Maneno Meier kwanza kabisa nikupongeze kwa bandiko lako hili lakini kuna mengi sana umepotosha au huyajui eidha umeyachukua sehemu bila kuyatafakari mfano swala la Gasi umezungumzia LNG ( Liquid Natural Gas) itumike majumbani.....!! Kupikia....!!!??? Ni Uongo uliopitiliza kivyovyote vile itakua eitha Nitrogen au Oxygen au Carbon dioxide...... sasa kwa hali ya Watanzania watafanyia nini majumbani? Usije kuchanganya na LPG ( Liquid Petroleum Gas).....
 
Awali ya yote ningependa kwa unyenyekevu mkubwa kumshukuru mwenyezi Mungu wa mbinguni na mwingi wa rehema kwa kutuwezesha sisi watanzania kuwa na kiongozi wa aina yake katika nchi yetu.

Rais Magufuli nina appreciate kazi zako kubwa ulizo zifanya so far katika jitihada zako za kuwaletea watanzania maendeleo ya kweli. Ama hakika wewe jamaa unastahili pia kupewa pongezi kubwa sana kwa kuiwezesha nchi yetu kuwa nchi ya uchumi wa kati miaka mitano kabla ya wakati uliotegemewa na kuipeleka Tanzania kwenye Level ya nchi ambazo ziko kwenye harakati za kutokuwa nchi tegemezi.

Ama kweli wewe ni jemedari jasiri, kwani katika kipindi kifupi cha muhula wako wa kwanza umeweza tenda mambo makubwa mengi sana nchini, kiasi kwamba hata baadhi ya ndugu zetu wa ndani na nje ya nchi wameanza kukuonea wivu na kuamua kutafuta njia za kushirikiana na mabeberu za kukufanyia hila wewe ili ushindwe kwenye juhudi zako hizo za kuwaletea watanzania maendeleo tunayo yahitaji.

Kwa mapenzi ya mungu wetu wa mbinguni naomba awafanye hao wabaya wetu washindwe kwenye matendo yao maovu waliyo kusudia kukutendea wewe na hatimaye sisi.

List ya mambo ambayo umetufanyia sisi watanzania mpaka hapa ni kubwa sana na haitakuwa busara niirudie, kwani kila mmoja wetu mwenye upendo na hii nchi mambo uliyo yafanya ameyaona na kuyashuhudia mwenyewe. Asiye taka kuyona, huyo haitakuwa vyema kumlazimisha ayaone, kwani ni imani yangu kuwa atakuwa na sababu zake binafsi kichwani zenye mlengo wa kishetani wa kutopenda fanya hivyo.

Baada ya kutoa pongezi zangu hizo kwako kwa hayo yote uliyoyafanya, ningependa kukuomba rai kuwa kwenye muhula wako wa pili, punde utakapo pata ridhaa ya watanzania kuunda serikali tena, kuongeza nguvu na uthubutu mkubwa zaidi wa kujenga miundo mbinu mingi zaidi ili kuyakimbiza maendeleo ya watanzania kwa speed kubwa.

Mimi binafsi nahofia utakapomaliza mda wako hatuta mpata mtu mwingine haraka mwenye ujasiri kama wako.

Kufuatia ombi langu hilo napenda uzingatie kuwa watanzania wengi, pamoja na kuwa na imani kubwa na wewe, kusema ule ukweli, maisha yao hata hivyo bado ni ya chini sana, kwani kipato chao bado ni kidogo na kisicho cha uhakika. Maisha ya watanzania ni duni sana na wana njaa!

Ukimwambia Mtanzania leo kuwa nchi yetu imeingia kwenye uchumi wa kati na kwamba uchumi wetu unakua kwa wastani wa 5% mpaka 7% kila mwaka, nadhani atakuangalia tu na kukushangaa, kwani habari kama hizi hazibadilishi chochote katika kipato chake cha kila siku. Kwake yeye anaona ni namba na porojo za kisiasa tu.

Vijana wetu wengi wana dhiki kubwa Rais Magufuli. Ajira kwao ni shida na mlo kwao ni shida. Na ndiyo maana kwa siku kama ya tarehe 27. 07.2020 usione ajabu jinsi vijana wengi walivyo miminika Airport kwenda kumpokea mtu anaye aminika kama mkombozi wao. Mapokezi yale na haya ya wananchi wa Mbeya na kanda ya Nyasa, Tunduma na uzindizi wa Mh. Lema Arusha mjini yanaonyesha kuwa vijana wa kitanzania na hasa wale wanao ishi kwenye miji mikubwa wako desperate sana na maisha yao.

Swali hapa linakuja, pamoja na mambo yote uliyoyafanya kwenye muhula wako huu wa kwanza wa kuwajengea watanzania miundo mbinu thabiti katika sekta karibu zote, lakini hata hivyo wengi wao bado hawajarizika navyo, wewe unafikiri tatizo liko wapi?

Jibu la swali hili, kwa mtazamo wangu, mimi ninaliona liko kwako. Wewe kwenye awamu hii ya kwanza, kama wapinzani wanavyo jinadi kwenye kampeni zao, umejikita sana kwenye maendeleo ya vitu kuliko njaa ya watanzania. Natambua utasema kuwa nchi yetu imepata neema ya chakula kingi mwaka huu, sawa, lakini je, watanzania wangapi wanauwezo wa kunuua hicho chakula kuondoa njaa zao?

Umejenga barabara nzuri na madaraja mazuri ikiwemo Flyovers za kisasa, majengo mazuri na ya kisasa ya ofisi, mahakama, shule, hospitali na viwanja vya ndege na mengineyo mengi ikiwemo kununua ndege mpya cash na kukarabati meli zetu na kutengeneza meli mpya kwenye maziwa yetu, lakini pamoja na haya yote uliyo yafanya, utadiriki kusema kuwa njaa na wasiwasi wa maisha ya vijana wengi nchini imeondolewa? Hili nafikiri umeli-ignore kabisa.

Sikatai kuwa uko mstari wa mbele katika kumwenzi Baba wa Taifa, Mwalim Nyerere, kwa vitendo, lakini mimi sioni kama ni busara kurudia makosa yale yale ambayo yeye aliyafanya kama;

1. Kuhamisha kwa mabavu wizara za serikali kutoka Dar kwenda Dodoma na kulijenga jiji la Dodoma badala ya ku concentrate na jiji la Dar es salaam kwanza ambalo mafanikio yake yangeweza sambaa kwenye miji yote mingine ya nchi baadaye,

2. Kutilia mkazo elimu bure na kujenga shule nyingi, bila kuweka mipango thabiti ya kimkakati inayo wawezesha vijana wanao maliza masomo kupata nafasi za kuajiliwa au kujitegemea wenyewe kwa kuanzisha miradi itakayo wasaidia wao na wengine kujipazia riziki punde wamalizapo masomo yao.

3. Kupoteza hela nyingi kujenga mahospitali mengi ambayo ufanisi wake bado sio wa kuridhisha na vile vile,

4. mwisho kudhani kuwa wamachinga watakuwa mabilionea wa Tanzania na hivyo kukuza uchumi wetu, hilo lilikuwa kosa kubwa sana.

Sikatai dhamira yako nzuri, lakini utekelezaji wake, kwa mtazamo wangu, naona haukufuata natural logic ya mahitaji muhimu ya binadam. Natural logic ya mahitaji muhimu ya binadam; kwanza ni chakula na pili ni activities, yaani shughuli za kufanya ili kumwingizia kipato cha kuishi, tatu uhakika wa maisha ya kuweza ku reproduce na kulea watoto wake na nne kuwa na perspective ya maisha ya vizazi vyake.

Kwa masikitiko makubwa katika kutekeleza mambo yote haya, wewe hukufuata logic hii. Uli mind sana kuifanya nchi ipendeze kwa vitu rahisi rahisi kama nilivyovitaja hapo juu badala ya kujikunja kwenye mambo magumu kidogo kama ya manufacturing industries na skilled manpower na scientific research.

Great Thinker, Dr Mollel alisha wahi sema bungeni kuwa moja ya eneo muhimu ambalo serikali linatakiwa kuwekeza ni katika Innovation and Technology (Ugunduzi pamoja na teknolojia), hapa alimaanisha kuwa serikali inatakiwa iwekeze kwenye rasilimali watu ambao wanauwezo wa kukaa chini kufkiri na kugundua vitu kiasi kwamba nchi kama Tanzania ambayo ina rasilimali nyingi ambazo sio endelevu, inakuwa na watu ambao watalifanya Taifa hili liendelee kuwa na kipato, hata kama rasilimali zetu zisizo kuwa endelevu zinakwisha.



Kwa hili siwezi jua kama ulimwelewa au hukumwelewa.
Unafikiri kwa nini nchi nyingi za Ulaya zinatoa hela kwa wananchi wake wasio na kazi?

Hapa sioni haja ya kukueleza wewe PHD holder, nadhani utakuwa umesoma kuhusu French Revolution na mambo yaliyo mtokea King Ludwig XVI na mke wake Queen Marie Antoinette huko Paris karne ya18.

Sasa ili serikali yako iweze fanikiwa kuondoa wasiwasi huu wa maisha ambao vijana wengi wanao "hang aronund" mijini bila kuwa na uhakika wa maisha ya kutokuwa na kipato, wanao upitia kila siku, nakuomba upatapo tena ridhaa ya kuunda serikali, unahitaji kufanya mabadiliko makubwa sana sana ya kimkakati kama unavyo ahidi kwenye kampeni zako za kuomba kura kwa wananchi leo.

Nimeisikiliza hotuba yako ya uzinduzi wa kampeni Dodoma na nyinginezo zinazo fuata, kusema kweli, naona bado hujaelewa watanzania wanataka nini kusikia kutoka kwako. Kitu ambacho naweza kukuambia kwa uhakika ni kwamba hawapendi kusikia kuongezwa kwa madege mengine matano wala mabarabara wanayo yaona kama ni upotezaji tu wa hela zao wakati matumbo yao yakiwa meupe.
Wanacho taka kusikia ni jinsi gani utawawezesha wao na vifaranga vyao kuwa na ajira, iwe kwenye sekta ya kilimo, viwanda, uvuvi, utalii na kadhalika. Wanataka kusikia njia thabiti itakayo waridhisha kuwa ajira kwao is inevitable.

Mimi binafsi ningekuomba sana tena sana kutokuwa na uoga au ukakasi wowote ule wa kuwahakikishia watanzania kuwa wewe katika muhula wako huu wa pili, kama watanzania watakupa ridhaa ya kuunda serikali tena, utatumia nguvu zako zote, maarifa yako yote na rasilimali zetu zote tulizo nazo nchini kuwekeza kwenye miradi mikubwa ya kimkakati ambayo itawawezesha wananchi kwanza kuondokana na tatizo la kuwa na njaa na pili kwa kuweka juhudi kubwa kwenye kuweka mazingira mazuri ya kuzalisha ajira nyingi kwa wananchi kwa kufanya yafuatayo;

1. construction and manufacturing
industries,
2. Aggricaltural revolution,
3. Energy source,
4. Forth Industrial Revolution
Kuongeza juhudi kubwa kwenye IT
(Information Technology),
5. Miundo mbinu zaidi ya puplic transort
kama; High Speed Trains
na Commuter trains au Trams mijini.
6. Tourismus and intertainmemt (Sport na
sanaa)
7. Kuweka mifumo thabiti ya usafishaji wa
maji taka (sewage systems and
wastewater treatment plants)
8. Scientific Research (Utafiti wa kisayansi)

Haya mambo nane ni job opportunities and jobs creating booster.

Katika construction na manufacturing industries mkazo mkubwa hapa naomba uwekwe kwenye ku install vinu (Furnace) vya kutengeneza chuma yetu wenyewe.

Kukua kwa uchumi na maendeleo ya maisha ya wachina kwa sasa na nchi nyingine zilizo dominate ulimwengu kiuchumi huko nyuma, chuma ndiyo imekuwa ufunguo wa maendeleo hayo na sio population kama unavyo fikiri. Ebu jaribu kuingalia population ya England wakati wa utawala wa Queen Victoria na nchi nyingine za Ulaya kama Germany na Ufaransa. England ilikuwa ni kitovu cha Industrial revoulution kwa sababu ya chuma na sio population.

Ili niweze eleweka vizuri nini namaanisha, ningekuomba Rais Magufuli kuchukua mda wako kuisikiliza kwa makini hiyo documentary film hapa chini;



Uzalishaji wa chuma, nikimaanisha steel, imewawezesha wachina kupiga hatua kubwa sana katika construction na manufacturing industries. Na hii ni booster kubwa ya kutengeneza ajira. Investors wengi kutoka nchi tajiri na zilizo endelea kiuchumi na kitekinolojia wamekimbilia ku-invest China kwa sababu ya chuma ambayo ilikuwa inahitajika kwa wingi nchini mwao na inazalishwa kwa bei ya kutupwa, yaani low production costs.

Bila strategy ya wachina kununua viwanda au vinu (Furnace) vya kuoka vyuma vya wajerumani kwenye late 80's , sidhani kama wangeweza piga hatua ya maendeleo ya haraka namna hiyo. Hivyo ndivyo ilivyo tokea kwenye lndustrial Revolution ya England ambayo ilisambaa Europe na baadae Amerika na Russia.

Chuma yetu ni mkombozi wa uchumi wetu. Vijana wetu watajifunza practically jinsi ya kutumia chuma yetu kuunda mashine na vitendea kazi mbalimbali ambavyo vitatumika katika uzalishaji wa bidha mbali mbali, ziwe za kilimo au za matumizi mbali mbali ya nyumbani (households), nyenzo za madini, michezo, usafiri na free style comodities. Na manufacturing industries zita ota kama uyoga kwa sababu ya chuma ya bei ya kutupwa. Chuma yetu inge compete na ya wachina na hivyo kuwavutia wawekezaji, wafanya biashara na watu wengi wenye maarifa duniani.

Kilimo peke yake bila ya watu kuwa na skil ya kuweza kutumia nyezo za chuma katika kuongeza thamani ya hayo mazao tutakayo yavuna haita saidia kitu. Tanzania tunahitaji kutumua chuma (iron ore) yetu kubadilisha mind set ya vijana wetu ili tuweze kuwa na vijana wenye mawazo mapana ya kuweza kutengeneza vitu ambavyo vitatuwezesha sisi kutatua matatizo tunayo kabiliana nayo kimaisha.

Kwa hali hii Rais Magufuli ulitakiwa kutumia your common sense na maarifa yako ya Chemistry na mamlaka ambayo watanzania walikupa kuifanya Tanzania kuwa kweli ni nchi ya viwanda badala ya kuzunguka majukwaani ukipiga kelele za kwamba nchi hii ni tajiri. Nafasi hiyo, kwa mtazamo wangu, naona kwenye awamu yako ya kwanza hukuitumua vizuri.

Mara nyingi nimekuona uki deal zaidi na maswala mengine ambayo hayakuwa na mlengo wa moja kwa moja wa kuibadilisha Tanzania kuwa nchi ya viwanda na ya watu wenye vision ya kuleta maendeleo yao kwa kukabiliana na matatizo yao wenyewe badala yake ume-create Taifa lenye vijana ambao ni walalamikaji na ambao hawana conscience ya kujituma wenyewe wala kujiamini.

Vijana wengi wamepoteza ile thamani ya maisha yao na hivyo kudhani ni mzungu peke yake ndiyo mkombozi wao. Na ndiyo maana unawaona wengi wao kwa kukosa maarifa na ulewa wakimshabikia pimbi wao, kwa kile kitu wanacho amini kuwa ametoka uzunguni basi ataleta mabadiliko wanayo yatamani bila kujua kuwa mzungu ni nyoka wa maisha yao.

Kiuhalisia bila chuma yetu sidhani kama Tanzania itakuwa nchi ya viwanda kama unavyo fikiria. Na mpaka tumetambua umuhinu wa kutumia chuma yetu ambayo tumejaliwa na mungu ndipo tutakuwa na uwezo wa kujiamini.

Mungu wetu atakuwa na sababu ya kuifanya Tanzania kuwa na chuma nyingi. Tusifanye makosa ya wenzetu ya kutumia chuma hiyo kwa lengo la kuuza na kupata pesa. Tutumie chuma yetu kupanua maarifa ya vijana wetu.

Ili kutekeleza haya serikali yako ilitakiwa kuchukua initiative ya nguvu kuwekeza kwenye viwanda au vinu vya kuoka chuma kama ulivyo fanya kwenye Nyerere Dam (Rufiji) na SGR.

Jana Rais Yoweri Museveni wa Uganda alinifurahisha sana alipotumia neno la "Kutembura" kwa lugha yao akimaanisha kulima shamba kwa mara ya kwanza, yaani kuanza kufanya kitu kipya, hata kama utapata hasara, lakini umesha anza. Baadae utapata maarifa zaidi na uzoefu ili kujirekebisha. Lakini bila kuanza kitu haisaidii na huwezi jua faida na hasara zake. Ni neno lenye mantiki nzuri sana!

Huu msemo Rais Magufuli ndiyo ulitakiwa kwenye awamu yako ya kwanza ujue kuutumia. Kuzunguka majukwaani kila mara na kupiga kelele za kuwa hii nchi ni tajiri wakati unashindwa kuutumia huo utajiri wa nchi yetu kuboresha maisha ya vijana wetu, sielewi huo utajiri una maana gani?

Kama unaona nchi yetu ina potential hiyo basi tuitumie kwenye kujenga hayo ma furnace ya kuoka chuma yetu na hata hizo smelters kwa ajili ya kuchakachua madini yetu ya dhahabu zijenge. Una msubiri nani?

Haya mambo yako ya kuwaomba wafanya biashara wasio jiamini wenyewe au institutions ambazo hazina imani na Afrika, wawekeze kwenye viwanda au vinu vya kuoka chuma Tanzania utakuwa unapoteza mda wako tu. Hawa watu kusema kweli hawana fikra hizo wala interest hiyo.

Wafanya biashara na matajiri wengi Tanzania na hata Afrika hawahangaiki kuumiza vichwa vyao kuwekeza kwenye teknolojia za kisasa. Wana mawazo ya kuongeza mapato kwa kuwekeza kwenye biashara rahisi rahisi ambazo haziumizi vichwa vyao kama; kununua finished comodities China au Asia na kuja kuuza Tanzania, kujenga majengo ya kibiashara kama mahoteli, nyumba za kupangisha na kadhalika na kuanzisha makampuni au viwanda vya kuprocess vyakula wakiagiza mashine zote kutoka aidha Ulaya au Asia na kufungua mabenki ya kuchezea kamari.

Ni mfanya biashara mmoja tu Afrika nzima ambaye namsikia akisambaza teknolojia Afrika na sasa ana invest kwenye Oil refinery plant huko Nigeria, Aliko Dangote. Hawa wengine wote ni profit seekers.

Nilitegemea matajiri wetu kama Bakhressa Group na Mohamed Dewj Enterprises kushirikiana na selikali kuwekeza kwenye miradi ambayo itapanua bongo za vijana wetu kama hayo niliyo sema hapo juu au kugharimia usafiri wa Trams mijini kwa mfano; kutoka Airport mpaka Railway station na hata Posta mpya mpaka Mbagala Kuu na kutengeneza karakana zake ili vijana wetu wapanue maarifa ya kiufundi practically na kujenga Taifa lenye vijana ambao ni competitive katika Afrika na duniani kama wajerumani walivyo.

Inasikitisha sana kuona haya ma giants yana interest ya kuongeza profit tu kwa ku-introduce high tech machines au Automation kwenye viwanda vyao vya uzalishaji wa vyakula (food industries) ili kuongeza production na kadhalika kwa capacity ndogo ya ajira. Hii haiwasidii wananchi walio wengi na haipanui wigo wao.

Matajiri gani hawa ambao wanashindwa hata kutengeneza barabara za mitaani kwao?

Hili la tatu sina shaka kuwa umeliona na utalitekeleza ipasavyo kwa kipindi kijacho. Panapo majaliwa tutafanikisha salama.
Tatizo kubwa liko kwenye ku facilitate matumizi ya gas yetu asilia kama energy source.

Natambua ugumu wa kusambaza mabomba ya gesi asilia nchi nzima kama ilivyo katika nyaya za umeme au mabomba ya maji safi nchini, lakini kwa njia ya LNG sioni kama ni tatizo kubwa ki hivyo. Kwangu mimi kama mtaalam naiona hii kama ni fursa kwa vijana wetu kutengeneza ajira.

Kinacho takiwa hapa ni kama serikali yako kwa kushirikiana na wadau wengine ilivyo kusudia kuwekeza kwenye mtambo wa kusindika LNG na kuwaelimisha watanzania manufaa ya kutumia LNG katika matumizi ya nyumbani na kuondokana na matumizi ya mkaa na kuni ambayo inatufanya tuyaharibu mazingira yetu vibaya sana. Kauli mbiu hapa ni; "SMART ENERGY"

Shirika la Reli Tanzania TRC, kupitia kijana wao machachari kwa jina la Ben Mwanantala, limefanya kazi nzuri sana so far ya kuwaelemisha watanzania katika maswala yanayo husu treni za umeme na SGR. Methodes kama hizi nazo zinatakiwa kwenye kuwaelimisha watanzania kuondokana na matumizi ya miti kama energy source.

Wengi tulio chukua masomo ya Science hasa Thermodyamics tunajua kuwa LNG inapatikana baada ya NG (Natural Gas) kuwa cooled down to -162°C at the atmospheric pressure by the LINDEN PROCESS through the principle of Joules Thomson Effect.



The liquefied natural gas (LNG) can then be transported easily via insulated storage tanks over a long distance by vehicles, the work which can be done by our own people, the same as it is happening now by using vehicles which are supplying fuel (diesel and petrol) to the Petrol Stations all over the country.

Once in the destination points (LNG terminals), the liquefied natural gas can be brought back to the gaseous state by heating it and then transported on to the natural gas pipelines in order to destribute it to the industries and households. In this case LNG is again used like the conventional natural gas.



Ili kufanikisha usambaji wa gesi asilia mikoani na hata vijijini, serikali yako haina budi kuwekeza kwenye LNG (Liquified Natural Gas) plant yetu wenyewe na kwenye miundo mbinu ya LNG Terminals au vituo vya ku-supply hiyo gesi asilia kwenye mabomba ya hiyo gesi asilia mikoani na vijijini.

Kwa njia hii serikali itabidi kuwawezesha baadhi ya watu kumiliki LNG Terminals na hivyo kufacilitate usambazaji wa LNG nchini kiasi kwamba watanzania watafanya biashara ya uuzaji na usafirishaji wa LNG kwenye magari yenye storage tanks na hivyo ku boost ongezeko la ajira na vile vile kupanua uelewa wa matumizi ya gesi yetu asilia.

Rais Magufuli na watanzania wenzangu mnataka Mungu atupe nini sisi? Kwanini hatuwi wabunifu na vitu vyetu wenyewe? Tunamngojea nani ndiye aje atufanyie haya?

Watu kutwa kuchwa tunajigamba na PHD, Masters na Engineering degrees Certificates wakati matumizi ya madude yote tuliyo yajaza vichwani na kwenye ma files, hayatusadii kitu chochote? Tumesoma madude haya kwa madhumuni gani sisi?

Ni aibu kubwa sana kumwona mtu ana mavyeti kibao lakini akili ya maarifa ni Zero. Tunasomea nini sisi!

Kipengele cha tano, kwa mtazamo wangu, utanisamehe Rais wangu kama nitakuwa wrong, naona impact yake ya kuwa na miradi mingi ya aina hii na speed ya kumaliza haraka bado hujaitambua. Najua unafahamu kuwa DRC ni nchi tajiri sana kuliko hata nchi yetu na wazo lako la kuwekeza kwenye miundo mbinu ya SGR na High Speed Trains kufika huko kwao ni wazo zuri sana na la kupongezwa. Wasiwasi wangu hapa ni kwamba nahofia kuwa huu mradi mmoja peke yake hauta tosha ku-boost uchumi wetu na kuondoa tatizo la ajira kwa vijana wetu. Tuna hitaji miradi ya aina hii zaidi na yenye strategy mahususi;

High speed Trains;
- Tunduma-Dar Line ili ku-feed Lubumbashi, Kasama, Mansa, Mufulila, Ndola, Kitwe na kwingine ni muhimu sana,

- Mtwara-Mbamba Bay Line ku-feed Mzuzu, Nkhata Bay, Nkhotakota na kadhalika si kitu cha ku-discuss. Wamalawi wakijua kuwa kuna urahisi na uharaka wa kusafirisha bidhaa zao kwa haraka na bei nafuu kuliko Beira, sioni sababu itakayo wazuia wao kuto tumia hiyo line. Nina uhakika wanaisubiri kwa shauku kubwa sana kwani ita boost maendeleo ya watu waishio maeneo ya kusini na Malawi.

- SGR ya kwenda Kigoma itakuwa na maana kubwa zaidi kama ulivyokwisha panga kuifikisha mpaka Karema na kuboresha bandari ya Lagosa kwa ajili ya kuwarahisishia wafanya biashara wa Kalemie na maeneo mengine. Hii ni strategy nzuri.

Naomba ieleweke kuwa, geographically, DRC sio Landlocked country 100%. It is a sleeping giant. Wakiamka wanaweza jenga High speed Train network yao na bandari yao haraka sana kuliko sisi. Kwa hali hiyo ingekuwa busara, hii miundombinu yetu ya high speed train network tukaimaliza kwa haraka. Tusingojee mpaka wao waamke. Tunatakiwa tujipange vizuri sana ili tuwe competitive.

Mimi nashangaa sana kwa nini mpaka sasa hatujatumia potential tuliyo nayo ya kuweka Network ya high speed Trains kwenda kwenye hizo landlocked countries siku nyingi zilizopita? Mzee Magufuli ukipata ridhaa tena nakuomba tilia mkazo mkubwa hili swala na lifanyie kazi haraka sana kulikamilisha.

Kama hela zipo, kama unavyodai, kwa nini sasa hizi 250 km mpaka Morogoro ichukue miaka mitatu na zaidi? Why? Wakati wachina within 6 years wameeneza High Speed Train Network karibu nchi nzima maelfu na maelelfu ya kilometa?

Zaidi ya hiyo wana Trans Rapid Train between Shangai city and Shangai Airport. Ni nchi pekee ulimwenguni kuwa na Commercial line ya Transrapid trains. Na hata kuanza kutengeneza magari, High speed trains na ndege zao wenyewe pia dhana za kivita na mengineyo. Wamezalisha ajira kem kem kwa watu wao wakati sisi tuna piga tu domo la kuwa sisi ni matajiri na hela zipo. Kama hela zipo tuzitumie basi hizo hela kwenye hiyo miradi yenye tija.

Kama kuna kitu ambacho umeki-neglect basi ujue ni hiki kitengo cha The forth Industrial Revolution cha Information and Technology (IT). Hapa nathubutu kusema, umeyumba kidogo mzee wangu. Lait ungejua, nadhani ingekuwa busara kutumia wataalam hata wa kigeni kuja kuwa elimisha vijana wetu, kwenye vyuo vyetu hata shule zote za msingi ili tukawa na Taifa ambalo lina vijana wenye maarifa mapana ya kuweza kutatua matatizo yetu ya ki-digitali. Katika East African Community sisi watanzania na burundi tuko nyuma sana kwenye IT.

Rais Magufuli, pamoja na utajiri wote huo unao upigia kelele majukwaani, tumeshindwa kuutumia kwenye vitu vidogo hivi kama vya usambazaji wa hata Wi-Fi technology kwenye puplic institutions kama; posta, Airports, vituo vya mabasi, shuleni na vyuoni, wananchi wakawa na access ya Internet popote pale walipo free of charge, kweli? Hata kwenye vituo na kwenye mabasi ya mwendo kasi umeshindwa?

Tuna Airport mpya na yakisasa, lakini tumeshidwa kuwa na free Wi-Fi kwenye hiyo Airport na hata sockets za kucharge Electronic Devices za wasafiri kwenye Seats wakati wana subiri Boarding Time hatuna,
sasa naomba niambie elimu gani ya vitendo serikali yako imewasilisha kwa wananchi so far?

Mimi sijaelewa unavyo maanisha kuwa unataka Tanzania iwe nchi ya viwanda! Viwanda gani tena, wakati teknolojia ya kisasa itakayo wawezesha vijana kuwa creative umeshindwa kuifikisha kwao?

Rais Magufuli usifikiri ukisambaza barabara za lami, umeme na mabomba ya maji kila sehemu ndiyo watanzania watakuwa na uwezo wa kufungua viwanda na ku-create jobs, hilo wazo nakusihi ondokana nalo. Mambo sio rahisi namna hiyo. Watanzania sio creative ki hivyo, kama unavyofikiri.

Kuna mijitu ipo ipo tu hata ile chembe ya kujiongeza wenyewe haina. Na ndiyo maana una watu, wanajiita wapanga miji, lakini wanashindwa hata kujenga vyoo masokoni. Inau miza sana!

Sasa mijitu kama hii ambayo tuna amini imeenda shule inashindwa kufikiria vitu vidogo tu kama hivi, ndiyo unategemea watanzania kufungua viwanda? Endelea tu kuota njozi za mchana Rais wangu.

Sitaki kukukatisha tamaa, lakini ninayo vivid example. Wajerumani Mashariki wamejengewa kila kitu na hata hela wamepewa, lakini hata hivyo mpaka leo wameshindwa kuwa creative na kujitegemea wenyewe, vijana wao wengi wanakimbilia west Germany kwa ajira. Sasa kama hawa, tunaweza sema, watu walio pata exposure wanashindwa kufungua viwanda kwao, je, unataka kuniambia watanzania na ukilitimba wote huo wa kukosa maarifa ndiyo tutaweza kweli?

Kama, kwa mfano, wakazi wa Wilaya ya Mbamba Bay, ziwa Nyasa, wanashindwa kuwa na matrekta ambayo wanaweza kuyatumia kwa kilimo, unafikiri ukiwanjengea barabara ya lami ndiyo watafungua makampuni? Kama umeme wanao na maji ya bomba wanayo, ziwa kubwa wanalo mbona wameshindwa hata kuwa na viwanda au hata mabwawa ya kuzalisha samaki?

Nakuomba sana katika kampeni zako za uchaguzi nchini, kutilia mkazo kuwaeleza wananchi jinsi gani wataweza kuwa na access kwenye Internet bure na kuiwezesha hii sekta ku-boost ajira kwa vijana wetu. Achana na kauli za kurudiarudia kuhusu kujenga mabarabara na kununua madege zaidi. Narudia tena kusema, kauli hizi sidhani kama wanapenda kuzisikia.

Katika aggricaltural revolution naona nia thabiti na mwelekeo wa uhakika wa kufanikisha hayo bado unakosekana. Sijaelewa katika hili wapi kunatatizo. Aidha tatizo liko kwako Rais katika kutilia mkazo au liko kwa watendaji wako ulio waamini akina Hasunga na Bashe kuto jua nini lengo la kilimo?

Ningekuomba Rais Magufuli kutumia wataalam wako kikamilifu kwenye kubaini wapi tatizo lina lala, maana nikiangalia sekta hii ya kilimo naona ni moja ya sekta ambayo serikali za nyuma, toka enzi za Mwalim Nyerere, zimejitahidi sana kuigharamia kwa nguvu zote, kama kuwapeleka vijana wetu wengi kwenda kusoma kwenye nchi zilizopiga hatua kubwa kwenya sekta hii ya kilimo, ili maarifa yao waweze kuyatumia nchini, lakini mpaka sasa tunaona impact yake kwa maendeleo ya nchi yetu bado ni kidogo sana. Ni kwa nini hasa inakuwa hivi?

Kifikra nadhani kuna matatizo ya matumizi ya dhana za kilimo na ukosefu wa maarifa kwenye uzalishaji wa mazao yetu. Familia zinazo tegemea kilimo katika kipato chao, nafikiri aidha hazina uwezo wa kutumia dhana za kilimo au kukosa maarifa ya utumiaji wa dhana za kisasa za kilimo.

Mimi nashangaa, familia moja ya wakulima nchini Ujerumani kwa mfano, ina weza kuwa na vifaa vingi vya kutendea kazi za kilimo ambavyo hapa kwetu vingeweza milikiwa na makampuni makubwa ya mashamba ya ushirika kwa mfano.

The missing link hapa ni skil ya matumizi ya nyenzo au tools ambazo zingeweza kuwa zimetengenezwa na makampuni yetu (Manufacturing industries) na kwa chuma yetu.

Mambo ya Tuarism, Sewage system na Scientific Research nimesha yaeleza kwenye mada zangu za nyuma. Sioni busara nikiyrudia tena hapa.

Ila zaidi ya hayo yote Rais Magufuli ningependa utambue kuwa, watanzania wengi ni watu ambao mda wao mwingi wanawaza siasa tu.
Watu wengi walio soma na hata wale wasio soma mda wao mwingi ni kukaa vijiweni na kupiga porojo za kisiasa na kuwa na tamaa nyingi za kutaka kuwa na pesa nyingi za kufanya hanatha na ambazo hawajui watazipata wapi na vipi na hapo hapo kutoa lawama nyingi kwa serikali inayo tawala. Serikali haifanyi hiki au kile, lakini wenyewe hata kutoa mchango wa kimawazo ambo serikali inaweza kuufikiria kutekeleza, hawana.

Watanzania wa kuleta revolution ya viwanda nchini kusema ule ukweli siwaoni. Labda wale ambao ungewazalisha wewe mwenyewe kwa kushirikiana na wana diaspora walio pata exposure kwenye nchi za wenzetu na sio sisi tulio zalishwa na hao Marais wengine waliopita.

Sisi wengi wetu huwezi kutubadilisha tena, kwani bado tuna fikra ya kutaka kufanyiwa kila kitu na serikali. Hatuna ile spirit ya kujituma wenyewe wala spirit ya ku-reason. Wengi wetu tupo tupo tu. Tumejawa na tamaa tele na tunapenda sana kushabikia mambo mazuri ya wenzetu badala ya kwetu wenyewe.

Sisi bado tuna fikra za waisraeil walio okolewa na Nabii Mussa kutoka kwenye mikono ya wamisri na baadae kumlalamikia Mussa kutaka kurudi tena Misri walipopata misukosuko ya kukosa chakula kwenye milima ya Sinai.

Mawazo ya watanzania wengi hivi sasa sio mengine zaidi ya yale ya Wajerumani Mashariki. Hawa watu wanasaidiwa kila kitu kutoka kwa jamaa zao wa West, lakini bado hawataki kutambua kuwa weakness yao ya kuto zalisha ajira kwa vijana wao kama za wa West, zinatokana na uzembe wao wenyewe.

Mara nyingi utawaona wazee walio kata tamaa ya maisha wanawajaza vijana wao mambo mabaya ya chuki zidi ya wageni kiasi ambacho vijana hao wanaamini kweli kuwa wageni na hasa watu weusi ndiyo wanao leta ukosefu wa ajira kwao. Badala ya ku-concetrate kwenye mambo ya kitaalam ambayo yatawaletea maendeleo kama ndugu zao wa West, wao wanatumia nguvu nyingi kulinda territories zao ili wageni wasiingie. Kwa hili naweza sema tu, "Es ist dumm gelaufen!"
Umeajiriwa ninikwa kazi hii, maan waraka mrefuuuuu hata hivyo una moyo
 
Umeajiriwa ninikwa kazi hii, maan waraka mrefuuuuu hata hivyo una moyo
Huu sio waraka kwa watu walio ishia darasa la saba na kwenda kuchukua asta shahada za kuangalia kuta na paa za madarasa, bali ni waraka kwa watu walio yaona madarasa kwa ndani na nje na pia maono.
 
Back
Top Bottom