Habari wakuu kwa wale majobless kama mimi nawapa ujanja baada ya kupata uzoefu kidogo wa miezi kama mitatu hivi, kwa dar es salaam kuna masoko kama manne hivi ninayoyafahamu vizuri..yaani soko la ilala, temeke steriol, buguruni, mabibo na tandale..nimekaa kwenye haya masoko kwa muda huo wa miezi...
Mimi ni graduate wa chuo, nimesomea masuala ya biashara katika Uhasibu, pia nnauzoefu wa kuendesha pikipiki na leseni pia nnayo, nmesha fanya kazi ya usambazaji wa magazeti kipindi cha nyuma kwa kutumia pikipiki....
Ombi kwako mdau,ndugu, jamaa na marafiki kama una connection au unaweza...
Habari wakuu
Mimi ni graduate wa chuo kikuu nimesomea masuala ya biashara katika uhasibu,pia ni dereva wa pikipiki mzuri na nnaleseni ..Naombea wadau,ndugu,jamaa na marafiki ambao mnaweza kuwa na connections za kazi, hata isiyo husiana na maswala niliyosomea ...ilimradi iwe kazi halali...
Habari wakuu .. hii sio thread ya kuchekesha Ila nimeona ni vizuri nikiwashirikisha.. kwa muda mrefu sana niliamua kutulia nitafute pesa za kupambana na Hali ya sasa ya uchumi..sikutaka kujihusisha na mahusiano yapita kama mwaka na miezi sita, mnaweza niuliza ni vipi nilifanikiwa kukidhi haja...
Guys msimuhukumu mtu kwa kuangalia malalamiko ya mtu mmoja fanyeni utafiti...anyway Kama ni tapeli aache Mara moja ataishia kufa maskini hela za utapeli hazina Baraka hata kidogo
Sent from my iPhone using JamiiForums
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.