Recent content by Tall person

  1. Tall person

    Tamaa ni mbaya. Angalia kilichomkuta huyu

    kama ulizaliwa na mwanamke na kama ulisema hapa ni ni sahihi huyo mwanamke sio mtu piga chini mazima na akiendelea kukupigia simu mripoti polisi faster.
  2. Tall person

    Nimejipanga vizuri, sasa natafuta mke tufunge ndoa sitaki tena useja

    WanaJF poleni na COVID-19. tuendelee kuchukua taadhari , wafanyakazi nawatakieni may mosi njema, wasio na kazi muendelee kutafuta kazi wala msikate tamaa mungu atajibu maombi yenu.back to the point. Ni miaka 36 tangu nimezailwa kwa sasa nahitaji kuwa na mke so as to form a family. Nina uwezo...
  3. Tall person

    Hataki kuzaa kabla ya ndoa

    Acha maneno mengi wewe oa!
  4. Tall person

    Hili limekaaje wadau, Hebu nipeni ushauri kuhusu hili jambo la ndoa

    Wafu hawana uwezo wa kuona wala kutenda mtu akifa ndo kaenda mazima mpaka kristo atakaporudi ndipo parapanda italia na makaburi ya walio mema yatafunguliwa. Pili kuhusu kuoa: suala hili lilikuwa na umuhimu zamani kwa sasa ni kupoteza muda na rasilimali madada wanaingia kwenye ndoa kama kitega...
  5. Tall person

    COVID 19 in Tanzania analysis and next steps

    Tuendelee kuomba na kufuata maelekezo ya serikali
Back
Top Bottom