Recent content by Talapo

  1. Talapo

    Mkurugenzi Mtendaji wa JamiiForums, Maxence Melo anashikiliwa na Polisi, anyimwa dhamana

    Sina mpango tena wa kusoma phd, nimesema sitakiii
  2. Talapo

    INAUZWA Matairi Mapya Ya Bridgestone Yanauzwa

    Kumbe kuna watu karne hii tunatumia tu gari bila kujua size ya tyre?
  3. Talapo

    Dodoma yazingirwa, BAVICHA wawindwa

    Shikamoo BAVICHA nimewakubali nyie raia. Maagizo na amri zinatenguliwa kisa nyie.
  4. Talapo

    Mgeja: Rais mstaafu Mkapa ni jipu, afikishwe mahakamani

    Nyumba bado haijapatikana [emoji2][emoji2]
  5. Talapo

    Msaada jinsi ya kupakua video facebook

    Wadau nimekuwa nashindwa kila mara kudownload video toka facebook, msaada jamani mwenye kujua jinsi ya kufanya.
  6. Talapo

    Udhalilishaji wa RC wa Mwanza: Unapokea mshahara, unakula na mkeo halafu mimi nakufanyia kazi zako

    Hii ya leo ya mkuu wa mkoa mwanza kiboko. Unazurura tu na kisuti chako unajifanya ww boss kuliko mimi ntakung'oa'! Kama kuna kidume zaidi yangu hapa mwanza tutaona sasa.. duu nikabaki tu natoa macho kama nimefumaniwa vile.
  7. Talapo

    Line Tigopesa, M-Pesa for sale

    Ziko mkoa gani? Je nimpya au used?
  8. Talapo

    Madereva wa Subaru Mna Matatizo Gani?

    Bravo mkuu, confidence in motion.[emoji106]
  9. Talapo

    Madereva wa Subaru Mna Matatizo Gani?

    Cha ajabu wenye subaru hawapati ajali ukilinganisha na babywalker. Confidence in motion
  10. Talapo

    Madereva wa Subaru Mna Matatizo Gani?

    Kama huijui wala hujawahi endesha subaru tulia tu na make sure unapisha wanapokiwasha.
  11. Talapo

    Bilionea fisadi wa Tegeta Escrow, Rugemalila awa mfadhili mkuu wa CHADEMA

    Huo ni mkutano wa wanakagera kwa ajili ya maendeleo ya bukoba. Haubagui chama wala dini.. ukisema hivo unamaanisha hata malinzi na kusaga ni wafadhili wa chadema? Zinduka ww uko kwenye tope zito.
  12. Talapo

    Brand new land cruiser prado 2016 for sale

    Cost +tax 73,500USD ~161,700,000TSH, Cost excluding tax 55,500USD ~121,100,000TSH.
  13. Talapo

    Gazeti la Mawio huu ni udhalilishaji, Nape funga huo ujinga

    Kama ni photoshop utakuwa ni uchochezi lakin kama ni ukweli.then hakuna tatizo
  14. Talapo

    Nataka kuonana na Lowassa, nifanyeje?

    Mimi pia natamani sana kuonana na Lowassa. Niko dar
Back
Top Bottom