Hawajui haya mambo yalivyo mtu akikuta mtu kashika spana anarekebisha ac na kaajiriwa anamwita form four na wakati ana taaluma yake majeshi pekee ndo kuna form four ila kwingine lazima uwe na cheti cha taaluma
Japo nimeishi dar mda ila naina rafudhi ya pwani wanaongea sana watoto wa uswahilini na maskini huwezi kuta mtu kazaliwa osterbay,upanga ,mbezi ana rafudhi ya pwani
Truck driver form four haitoshi ana cheti cha udereva ambayo ni taaluma kama ni hivyo mbona kuna masecretary nao utawaita form four? Mafundi umeme,bomba,AC nao wameajiriwa TRA nao utawaita form four? Kiufupi tra haina ajira ya form four hata wapishi na wahudumu wana vyeti vya taaluma za fani...
japo sisupport iyo biashara kutokana na misingi yangu ya kiimani na kimaadili ila binafsi back in the days ni miongoni mwa watu walionufaika sana kutokana na ao watu asee.
uteja wangu ulianzia mwanza kirumba dadeki ndo nilipata experience ya kwanza mwendo ukawa huo huo dodoma pale keko na dmc...
Kinachonisikitisha watu wako busy kumsema magufuli hawajui nyani washavamia shamba tutavuna mabua,si mmeona leo budget ya wizara ya fella tirion 13 matumizi ya kawaida trillion moja ndo maendeleo
Asee sikuwahi kufahamu kama dstv ni tamu namna hii jana ndo nimejua dstv balaaa.
Mi ni mgeni kwenye dstv,nilivyonunua hili dish lilikuja na kifurush cha ofa package ya poa .
Kiukweli sikuona cha ajabu chochote hadi nikatamani kununua Azam hata channel nilizopewa hazina ubora hadi nikahisi au...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.