Kaka ulishaanza biashara bila kujua kwamba umeanza biashara.Hiyo nyumba ndio mtaji wako. usingejenga bro ukaingia kwenye business wakati ukiwa kazini ungepoteza sana hasa kwenye nchi ambayo waaminifu wanahesabika? lakini iliweka store fedha yako kwa thamani ya nyumba. you can do it again and you...
Jaman investment ni perception on how will you generate income. Nyumba sio lazima uijenge kisha ukakuishi .Inaweza kupangishwa kwa waindi kama wanavyofanya Arusha, then na ww umepanga uswahilini real estate business guys msichanganyikiwe just think every thing can be invested.good night
chadema ya mbowe(chaga/kaskazini clan) vs chadema yetu kazi kwenu(nzito)
chadema mali ya nnchi nzima sio makabira ya kasikazini tu!
mkitaka tifikie huku ilimturuhusu kugombea kiti ,haya tutafika ila kama nini kukiondoa chama hawala basi tuwewamoja na wanademokrasia ambayo imebalance mikoa yote...
Nchii hii raia wanalinda malizao wenyewe police sio wakutegemea maana wao huchukua chao mapema! napenda kuwambia hata ukiishi na watu vizuri huwezi kukosa maadui coz its nature
Ninakaribisha maoni yenu hasa nyie mlio nje na mnaishi katika miji iliyopangwa? Je uholela unavumiliwa au kuendekezwa? Tupe habari.
Mama Tibaijuka
Pole Mama Tibaijuka kwakuona waliopo nnje ndio wanaexposure yakutosha kukupa mchango juu ya mji wako mpya!sikushangai nikawaida yenu...
:nono::nono::nono::nono::nono::nono: HATUWACHUKII WANACHUKIZA ,utajiri wa manji NA WAINDI WENGINE WENGI TANZANIA ni wa manipulations na ndio maana watu hawampendi na wanamchukia: kuna watu kama said ni matajiri tz nzima lakini huwezi sikia sifa chafu, kama unazo sifa chafu yeyote ya said...
Kumbe ni dr masoud! Aka mr misifa!, kawaida yake hiyo! Hawamjui ndio maana wanamponda kijana wa watu.
Ajapata cpa huyo, kiwango hana, na hilo desa lake nani editor ili lipate idhini yakutumika kama reference material? Poleni jamani
kila aliye chngia hapa sijaona uchambuzi yakinifu zaidi ya kumzonga kwa maneno makali kijana wa watu. ukweri nikwamba bumu wanapata kwa asilimia wengine mpaka daraja c na wengine f kabisa sasa kama wange pata kwa asilimia yakutosheleza unafikili wange lalama?
wengine ndio hivyo hali niduni na...
Ndugu zangu wana jamii mi nawashangaa sana, nimeleta taalifa baadhi yetu wanataka kuzodoana kuhusu vyama sasa yanaowakuta huku kigaboni, sio wa chama furani tu bali wote walasi mafungu ya watu, ni kutoka vyama vyote kwani tuna jua wazi fery ni sehemu iliyo changanya watu tofauti tofauti! jambo...
tetesi machafuko/vurugu kubwa kutokea‘'mjimpyamtarajiwa'' ferry kigamboni ni baada ya kuwepo kwa taarifa zisizo rasimi toka kwa mh diwani doto msawa, na nakuwapandisha jaziba na hasira wananchi zikiwataka wananchi kuvunja, bila yeye kufata utaratibu za kuvunja majengo au mabanda ndani ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.