Recent content by Tajiri wa Kwanza

  1. Tajiri wa Kwanza

    Msaada wa Kazi au Connection ya Kazi

    Natamani nifahamu hii ya kusoma maana nimekwama kusoma Masters asee
  2. Tajiri wa Kwanza

    Wasifu wa Samia Suluhu Hassan

    Sawa sawa
  3. Tajiri wa Kwanza

    Wasifu wa Samia Suluhu Hassan

    Katia mfano hapo mkuu
  4. Tajiri wa Kwanza

    Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

    Kwako wewe kaupiga mwingi na atapiga mpka achane net, Mimi nasubr nione huo mwingi unaishia wapi ,
  5. Tajiri wa Kwanza

    Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

    Kabisa walimuita dictator lakin aliitengeneza nchi tukaheshimiana Ila hapa tulipo na hii jinsi nyingne nkama tunarud kweny tulkokuwa huko miaka ya 2005 kurudi nyuma
  6. Tajiri wa Kwanza

    Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

    Sema wewe ndio umempokea ustuseme Bwana Mimi Ni mtanzania hata Kama Niko nje ya nchi ili usiniseme ,mm sjakubalian kbsa
  7. Tajiri wa Kwanza

    Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

    Anaifungua nchi kwa namna ipi na wakt anadororesha maswala ya maendeleo embu ustuchanganye nawe Kama huoni sisi tunaona Toka tulipokuwa mpka tulipo,katurudsha nyuma hatua nyingi,uchawa huo
  8. Tajiri wa Kwanza

    Makampuni binafsi na taasisi

    Kuna muda nimejaribu kufikiri kwa upana juu wahitimu wengi wa vyuo vikuu especially wale ambao wanatoka form six yani hawajawahi kuingia mtaani kujua changamoto ya utafutaji, Wanapomaliza chuo wanapata wakati mgumu kuiface Hali ya maisha mtaani na namna watakavyoanza kusurvive huku wakipambana...
  9. Tajiri wa Kwanza

    Urais wa Yanga twende na GSM

    Michongo mingi mwaisa Yan bongo huna sifa hata ya ubeba zege Ila utasikia fundi huyoo
  10. Tajiri wa Kwanza

    Kufuzu AFCON 2023 | Taifa Stars 0-2 Algeria | Uwanja wa Benjamin Mkapa

    Kwanza msisahau Kati ya timu za taifa Bora Africa Algeria wapo na ukichukulia moja ya timu zinazotola ukanda was kaskazini zenye kiwango Bora Cha soka Algeria Ni wazuri kucheza na Tanzania Ni Kama walikuwa wankuja kamilisha ratiba kwasbb wanjua kiwango Cha mataifa ya East Africa ukanda wa maziwa...
  11. Tajiri wa Kwanza

    Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

    Watu wasimba mmezoea Sana midomo Kam nyumba ndogo umbea mwingiii kuliko vitendo
Back
Top Bottom