Kabisa walimuita dictator lakin aliitengeneza nchi tukaheshimiana Ila hapa tulipo na hii jinsi nyingne nkama tunarud kweny tulkokuwa huko miaka ya 2005 kurudi nyuma
Anaifungua nchi kwa namna ipi na wakt anadororesha maswala ya maendeleo embu ustuchanganye nawe Kama huoni sisi tunaona Toka tulipokuwa mpka tulipo,katurudsha nyuma hatua nyingi,uchawa huo
Kuna muda nimejaribu kufikiri kwa upana juu wahitimu wengi wa vyuo vikuu especially wale ambao wanatoka form six yani hawajawahi kuingia mtaani kujua changamoto ya utafutaji, Wanapomaliza chuo wanapata wakati mgumu kuiface Hali ya maisha mtaani na namna watakavyoanza kusurvive huku wakipambana...
Kwanza msisahau Kati ya timu za taifa Bora Africa Algeria wapo na ukichukulia moja ya timu zinazotola ukanda was kaskazini zenye kiwango Bora Cha soka Algeria Ni wazuri kucheza na Tanzania Ni Kama walikuwa wankuja kamilisha ratiba kwasbb wanjua kiwango Cha mataifa ya East Africa ukanda wa maziwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.