Wakuu hbr za Leo naombeni msaada mnielimishe kuhusu taasisi ya NIMR kuhusu ajira zake huwa zinatangazwa na kwa degree ya lab technician anaeanza mshahara wake ni kiasi gan
Hbr za Leo wakuu naombeni msaada mnielimishe kuhusu taasisi ya NIMR kuhusu ajira zake huwa zinatangazwa ? Na vip kuhusu mishahara kwa upande wa degree ya lab technician anaeanza?
Tatizo hapo ni vyombo vyetu vya usalama kujiona ni Miungu watu na wako juu ya Sheria na unyanyasaji kibao.. hii connection kuvuja ni kama vile tu bahati nzuri kutujuza jinsi mambo yanayoendelea yawezekana ndo mchezo wao na watendewa wanaofanyiwa ukatili Huwa wanatishia kukaa kimya hawashitaki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.