Ndugu wanajanvi wenzangu leo napenda kuleta uzi huu unaohusiana na vikwazo, hujuma na ukandamizaji unaotokana na mifumo ya kielectronic iliyoanzishwa na serikali kwa lengo la kupunguza gharama na kumtua mzigo mtumishi, lakini cha kushangaza mifumo hii imegeuka kuwa mwiba kwa baadhi ya...
Mwanzo nilifahamu jukwaa hili ni huru, lakini cha kushangaza uhuru haupo maana vitendo vya kufutiana maoni vimekithili sana. Hofu yangu ni kuwa wahusika wapo kimya anayefuta maoni ya watu kama sisi ni nani na anaajenda gani?
Narudia tena kwa mara nyingine swala la kufudisha nyakati za likizo...
Tatizo la kukiuka taratibu na miongozo ni kubwa sana nchini. Tatizo hili uchangiwa na viongozi ambao ni wapenda sifa na wasio waadilifu katika kusimamia elimu. Kiutaratibu mtoto anapaswa kusoma siku 194 kwa mwaka na siku zilizobaki ni za kupumzika.
Ushauri wangu ni kwamba, kama itapendeza...
Mwenyezi Mungu akulinde na akupe wepesi na umri mrefu ili uendelee kuwa mwakilishi wake duniani. Nami pia naungana na wewe kwa taarifa yako yenye kuakisi maovu mengi ya kweli ambayo walimu wanakutana nayo kazini na maovu hayo yote yapo na yanatendeka kimfumo katika ngazi mbalimbali za kiungozi...
Akili ni kitu cha muhimu katika maisha ya mwanadamu. Jamii yoyote iliyojikomboa zaidi katika kudhibiti wizi ni ile iliyowekeza mtaji katika kutokomeza wezi kwa kutumia mbinu mbalimbali. Nilitegemea kuona vijana wakitoa mbinu mbadara za kudhibiti wizi wa madini, lakini cha kushangaza hakuna hata...
Kwanza nakupongeza kwa kuwasemea wengi amboa ni waoga wa kudai haki zao. Pia naungana na wewe keto ya malimbikizo ya pesa za nauli, mshahara na nyinginezo imekithili serekalini na hii inatokana na mtandao wa wezi ambalo umekuwepo ngazi ya halmashauri mpaka taifa. Kiukweli jambo hili si jema kwa...
Kukopa sio tatizo ila tatizo ni usimamizi wa mkopo husika na mara nyingi katika nchi yetu usimamizi wa mikopo si mzuri hali inayopelekea hasara. Hasara hii inatokana na mikono michafu ya wasimamizi (wapigaji) wanaopewa dhamana na kukosa weledi katika usimamizi, hali hii hupelekea lengo la mkopo...
Safi sana. Umenikumbusha ile topic ya rate and variation.
1$=2600 Tsh
1000,000,000$=2600*1000,000,000
=2.6 Trillions TSH.
Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.