:confused:Mara kadhaa Zitto amenukuliwa na mitandao ya kijamii akiwashauri wanaomwita yeye msaliti waweke akiba ya maneno. Na miongoni mwa walomponda ni Mnyika na Slaa pamoja na BAVICHA wengi hapa JF.
Sasa kwa haya yanayoendelea CHADEMA, je Zitto bado ni msaliti? Na Mbowe ataitwaje? Kwanini...
Aisee sasa ndiyo natambua usemi wa SIASA NI MCHEZO MCHAFU.kwa jinsi mchakato unavyoenda duuh
Watanzania tunapaswa kuwa makini na makocha wa kuchezea akili.
Iko kila dalili ya kupewa kila aina ya udanganyifu
Utasikia tunatakiwa kubadili mfumo ndani ya UKAWA mmmm inaleta kigugumizi aiseee...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.