Baada ya kupitia ilani /dira ya chadema, azimio la Tabora na ilani ya CCM, nimekuwa dissapointed na CCM, Dira ya nchi ni MKUKUTA ambao kiini chake ni nchi za nje, ili ku seal hii dira wameichukua na kuiingiza kwenye ilani ya chama, lini tutatoka kwenye madeni ya world bank etc , lini...
Swali la msingi hapa ni Je kwa mujibu wa mikatabailiyosainiwa kati ya serikali na makampuni yaliyopewa leseni za kutafuta nakuchimba gesi ,serikali itapata asilimia ngapi ya faida pato la gesi namakampuni ya BG group / na Ophir yanayomiliki leseni za vitalu namba 1, 3 na 4 naExxon Mobil...
Hiyo Symbion ndio muendelezo wa Richmond, mitambo yenye utata ya Richmondaliuziwa Dowans, na baadae ikamilikiwa na Symbion hadi sasa, yote yalifanyikawakati Lowasa ameshaondoka kwenye uwaziri mkuu. Swali ni kwa nini Serikali inaendeleakuitumia hii mitambo na kuiruhusu iendelee kupata tenda ya...
Hata mimi nilidhani hivyo kwa CDM ila sasa nimegundua kwamba kwa jinsi mambo yalivyokuwa nyuma ya pazia kwa upande wa Slaa, na kwa kumsikiliza aliyosema pale Serena na kwenye vyombo vya habari baadaye, nachelea hali ya CDM ingekuwa mbaya, Nani alijua kwamba Slaa angeweza kugeuka kushoto na...
1. Kukatwa kwa slaa
Slaa mwenyewe alitamka pale serena kwamba tatizo halikuwa uraisi na hakukatwa, alichaguliwa na kuthibitiwa, lakini "uraisi sio wake" , na hata 2010 aliombwa kugombea.
Kwa hiyo basi Slaa hakuona tabu kuwepo kwenye mchakacho wa kutafuta mtu atayefaa kuwa raisi.
Kauli zako...
Hii taasisi ya 'ukweli' ni ya aina yake na inavutia sana, ila haiwezi kutumika katika siasa hatuwezi kuwaweka wanasiasa kwenye taasisi ya ukweli, hasa siasa za Tanzania, kwa sababu wanasiasa wana tenda kazi kwa makundi, wanafunikiana makosa kwa makundi, wanafanya madili kwa makundi, wanapigania...
Kwa nini kashindwa hata kumtaja jina Lowasa kama mmliki wa richmond , kwa nini hakusema live "richmond ni ya Lowasa" kama alivyosema Tundu Lisu kwamba richmond ni ya Kikwete?
Kama richmond ni ya Lowasa Dowans na symbion ni za nani?
Kama Lowasa ni mmiliki wa richmond kwa nini JK aliruhusu apewe...
Siasa za Tanzania zimekuwa kichekesho,yaani kweli huu yashutuma zote alizotoa Slaa mwenyewe , ananon'gonezwa kwamba Lowasa kahonga maaskofu 30 halafu bila kuchunguza ana jiunga kwenye mazungumzo ya kumkaribisha chamani na kumsikiliza na kumuwekea masharti?
Nasema kujiunga na mazungumzo kwa...
Jibu la swali kamba Dr alimkaribisha Lowassa kama naninadhani linapatikana kutoka kwa maelezo ya Slaa mwenyewe kasema "kiongozi ambaye anaenda kuwa raisi wa nchil azima awe na wafuasi nyuma yake" akaendelea kusema… "anakuja peke yake au anawafuasi wa kutosha nyuma yake? Na wafuasi hao wa...
kuna vipengele vya maelezo ya Slaa ambavyo sievielewi bado, kwa ujumla inaonekana kaosha mikono na ameweka lawama zote za ujio wa Lowasa kwa wengine, hii itamcost sana baadaye kwa mtizamo wangu
16. Nilitaka kujua ni mtaji gani lowassa atakuja nao na ni viongozi gan atakuja nao.
17. Nilijibiwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.