Hizo timu ambazo wewe unaziona ndogo, basi zinagombaniwa na wachezaji wa nchi nyingi za kiafrica wapate nafasi japo ya kusajiliwa...
Kumbuka ya kuwa ligi kuu ya Misri ni moja kati ya ligi bora tatu za Africa
Sent using Jamii Forums mobile app
Wale wanaosema Ninja anabebwa na Baba ake watakuwa na chuki nae tu, kuna wachezaji wangapi wa zamani ambao Baba zao walikuwa wachezaji wazuri sana lakini wameshindwa kufanikiwa kwenye soka
Binafsi naamini Himid anasonga mbele kwa uwezo na nidhamu yake ya juu katika soka
Baba ake alikuwa Star wa...
Hiz
Salva alikuwa mtu zaidi ya shekhan Rashidy
Lakini hizo stori za uturuki sijui dirisha kakuta limefungwa ni stori ambazo wachezaji wote wanajificha kwenye kimvuli hicho
Salva alishindwa kucheza moira uturuki akazuga zuga kidogo akarejea Tz kuendelea kucheza Yanga
Sent using Jamii Forums...
Himid
Kwangu ni mchezaji mzuri sana aliyepitia ngazi zote za uchezaji, alianza kucheza Copa coca ya ile kwanza kisha achaguliwa kwenye kikosi kilichoenda Brazil na kubeba tuzo
Baada ya kurudi hapo akaendeleza kucheza timu za vijana za ngazi zote hadi timu ya Taifa uko pote alifanikiwa kuwa mmoja...
In short marehemu Sheby alikuwa muuza ngada, na amedhurumu mzigo wa watu mwingi sana wenye mali ndio wameamua kumalizana nae kwa aina hio
Mungu amuweke panapomstahili
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeshaziona barabara za zege tatu kwa mkoa wa Dsm
Moja inaanza kimara korogwe jirani na mwendo kasi inaeleka sehemu inaitwa Kilungule na nyingine mbili nimeziona Mwananyala
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.