Recent content by Taffman

  1. T

    Maswali ya kujiuliza juu ya misaada ya fedha anayopewa Rais Samia

    Huo ni mkopo nafuu au Grants....uwe unatumia akili kdg hlf acha makasiriko rais ni SSH yule wa kwenu hayupo tena,pesa za makusanyo zinalipa madeni ya hiyo miradi mingi ya kihayawani aloanzisha mwendazake pmj na kulipa wafanyakazi,mliingiza nchi ktk mikopo ya hovyo na miradi bila kuangalia...
  2. T

    Nini chanzo cha ugomvi wa January Makamba na Musukuma?

    Sukuma gang zamu yenu imeisha kubalini tu sasa wenye nchi yao wanayo na wanafanya mambo kisomi sio hadithi za kusadikika kuwa tunaweza kusaidia nchi za ulaya kwakuwa ss ni matajiri sana
  3. T

    Ni kitu gani unachotakiwa kufanya ukiona mpenzi au mke ameanza kujitenga na wewe?

    Kuna jambo halipo sawa baina yenu kubwa ni kukaa pmj na kuzungumza yanayowasibu,hakuna linaloharibika ktk mazungumzo lkn pia ikishindikana unamwacha aende ht km kuna maumivu
  4. T

    Ile ndoa imesambaratika!

    Safi sana hili ni boooooooonge la jb wkt sk hz tu ukianza mahusiano nae cha kwanza ni kuanza kujileta nyumbani kwa mwanaume,kufua,kupika mwisho wa sk unatiwa mimba hatimae unaomba kuolewa....nyinyi wenyewe mnajirahisisha(sk zt mwanaume ndio kichwa cha familly...ndio kiongozi na hakuna mwanaume...
  5. T

    Hivi mwanamke anaweza kumuacha mtu anae

    Sijaona ulichoandika cha maana dada kasie,ni mwanaume gani ambaye hajiamini wala hatimizi majukumu yk?problem kubwa ni kwenu wadada wa sasa,wengi wenu c wakweli na mna tamaa sana na kupenda kuiga maisha ya wengine,wengi wenu mmeanza kale ka mchezo mapema sana,ni aghalabu kwa maisha ya sasa...
  6. T

    Vijana wa kiume punguzeni shobo kwa mabinti, mnazingua

    Thats very vjna tafuteni pesa,jishughulishe acha kulialia uonewe huruma na mademu ni ujinga wa kiwango cha lami
  7. T

    Bonge La Bwana.... Madataa....

    Kasie hakika ww ni miongoni mwa waandishi wazuri sana hasa wa ma lovee,mie naomba nikuite kasie mahaba...ubarikiwe mama
  8. T

    Should I Say Yes....... Should I Say No....

    Thats lovely Kasie,mungu akujaalie mnyamwezi ww useme "yes"mambo yanoge
Back
Top Bottom