Huo ni mkopo nafuu au Grants....uwe unatumia akili kdg hlf acha makasiriko rais ni SSH yule wa kwenu hayupo tena,pesa za makusanyo zinalipa madeni ya hiyo miradi mingi ya kihayawani aloanzisha mwendazake pmj na kulipa wafanyakazi,mliingiza nchi ktk mikopo ya hovyo na miradi bila kuangalia...
Sukuma gang zamu yenu imeisha kubalini tu sasa wenye nchi yao wanayo na wanafanya mambo kisomi sio hadithi za kusadikika kuwa tunaweza kusaidia nchi za ulaya kwakuwa ss ni matajiri sana
Kuna jambo halipo sawa baina yenu kubwa ni kukaa pmj na kuzungumza yanayowasibu,hakuna linaloharibika ktk mazungumzo lkn pia ikishindikana unamwacha aende ht km kuna maumivu
Safi sana hili ni boooooooonge la jb wkt sk hz tu ukianza mahusiano nae cha kwanza ni kuanza kujileta nyumbani kwa mwanaume,kufua,kupika mwisho wa sk unatiwa mimba hatimae unaomba kuolewa....nyinyi wenyewe mnajirahisisha(sk zt mwanaume ndio kichwa cha familly...ndio kiongozi na hakuna mwanaume...
Sijaona ulichoandika cha maana dada kasie,ni mwanaume gani ambaye hajiamini wala hatimizi majukumu yk?problem kubwa ni kwenu wadada wa sasa,wengi wenu c wakweli na mna tamaa sana na kupenda kuiga maisha ya wengine,wengi wenu mmeanza kale ka mchezo mapema sana,ni aghalabu kwa maisha ya sasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.