Recent content by TafakuriJadidi

  1. T

    Singasinga wa PAP aelekea Dodoma kuzima wabunge dhidi ya wizi wa 200 Bilion

    Duh!! Kumbe ndiye huyu singasinga wa PAP... kitaeleweka tu
  2. T

    Singasinga wa PAP aelekea Dodoma kuzima wabunge dhidi ya wizi wa 200 Bilion

    Duh!! Kumbe ndiye huyu singasinga wa PAP... kitaeleweka tu
  3. T

    Vichwa vya habari ktk magazeti kesho kuhusiana na game ya yanga na al ahly

    Penalti ya Nadir Haroub "Cannavaro" yawakosesha usingizi matajiri wa Al-Ahly.
  4. T

    Madawa ya kulevya: Watanzania watatu wauawa nchini Afrika Kusini!

    nakubaliana na wewe kuhusu hilo lkn tujiulize tutadhibiti vipi hili janga la madawa ya kulevya ikiwa vyombo vya dola ni corrupt?
  5. T

    Madawa ya kulevya: Watanzania watatu wauawa nchini Afrika Kusini!

    imewapasa kufanya hivyo maana wamepoteza imani na hivyo vyombo vya dola huku wakishindwa kuvumilia kuona ndugu na jamaa zao wakizidi kuathirika... so ni bora kuwaua hao wauzaji ili wapunguze kasi ya madhara ya dawa hizo kwa jamii.
  6. T

    Sheikh Ponda ajeruhiwa vibaya baada ya kupigwa Risasi mjini Morogoro

    Yaa ALLAH wewe ndiye mponyaji.. Mpe shifaa Sheikh wetu in shaa allah
  7. T

    Sheikh Ponda ajeruhiwa vibaya baada ya kupigwa Risasi mjini Morogoro

    Kabisa ndugu maana wanadai kapelekwa hospitali chini ya ulinzi wa polisi jambo ambalo ni tofauti kabisa na taarifa zilizotufikia hapa.
  8. T

    Sheikh Ponda ajeruhiwa vibaya baada ya kupigwa Risasi mjini Morogoro

    hivi taarifa kama hizi wanazipataje hawa? maana ni tofauti kabisa na yaliyoandikwa na vyombo vyetu vya habari nchini. hawa wameenda mbali zaidi na kumfanya Sheikh Ponda kuwa mshukiwa namba moja wa tukio la tindikali znz.
  9. T

    Sheikh Ponda ajeruhiwa vibaya baada ya kupigwa Risasi mjini Morogoro

    Allahumma Amiin. ALLAH ampe shifaa in shaa allah
  10. T

    Watanzania wawili wakamatwa na madawa ya kulevya Hong Kong

    Mkuu kama vipi yatupie tena hayo majina ya hao wauza unga wa kariakoo tuwajue
  11. T

    Je na wewe unaweza kuthubutu kufanya hivi?!!

    Si unaona wazungu hapo simba hawezi kusogea ila wangekuwa wamatumbi peke yao ingeshakila kwao zamani a.k.a mweusi chakula ya simba
  12. T

    Jamani hii imekaaje? Rais wetu kupokea dola 10,000 zilizochangishwa na kahaba mkuu

    usishangae Rais kupokea msaada kutoka kwa kahaba, kwani misaada mingi tunayoipata katika vyama vyetu vya siasa na hata katika huduma za jamii tunajua chanzo cha mapato yake au kwa kuwa kafanya Rais.
  13. T

    Watanzania Wawili wakamatwa South Africa na Madawa

    Taratibu tu but mwisho wa siku itaeleweka... maana kila kukicha wabongo na ngada
  14. T

    Wananchi Mtwara Mjini wafanya maandamano makubwa kupinga gesi kusafirishwa kwenda Dar!

    Naunga mkono maandamano ikiwa tu ni kwa lengo la kuishinikiza serikali ifanye marekebisho katika sera zake kuhusu Rasilimali za nchi na lengo la kwanza liwe kuwanafaisha moja kwa moja wananchi wa maeneo husika zinapopatikana rasilimali hizo. Ni jambo la ajabu sana kwa hapa Tanzania kuona maeneo...
Back
Top Bottom