Ndio walimtoa lakini usijipakulie minyama kuwa ulisema,tabiri zako siku hizi ni za General sio kama zamani,siku hizi unaanzisha nyuzi nyingi ambazo hazitaji muhusika hata kwa code katika hizo nyingi moja lazima itatiki tu hata mimi hiyo naiweza,naweza kuandika "watu wamekaa kikao mwez wa 12 yule...
Ukikubali kuoa single mother ni lazima ukubali na vitu kama hivi usilete nongwa,tena wewe una bahati mwengine angekuja kumgonga mke wako hapohapo kwako
Nimependa huu uzi umepanga kwa timeline na wasanii wengi ni kweli walifanya one hit wonder ila wengine kama Mataluma walijitutumua hadi 2 mfano Wimbo wake wa kariakoo ulikuwa ni hit na wengine wacgache hapo
Miaka ya 2000 mpk 2010 walijaribu wengi kuhamia Africa lakini mazingira wakaona jahu,sahiz kuna wimbi kubwa sana la Wamarekani kuhamia China na Korea Kusini na Japan meza imegeuka
Walimu huwa wanachanganya sana aisee asilimia 99 ya watu eti wanaelewa kama ulivyokataa kuwa binadamu anatokana na nyani,binadamu na primates(nyani) tunashare a common ancestor tu katika evolution na sio kwamba nyani/sokwe ndio walibadilika kuwa binadamu,kuelewa hili unatakiwa usome Evolution...
Hizi odds za 1.5 sijui 1.8 ni rahisi sana yeyote anaweza kutabiri,mfano unaona kabisa kuna mechi haiwezi kufika magoli 6 unaweka tu under 4.5 unapata zako odds 1.3 unatembea..odds za maana za kusema kwwli umetabiri zinaanzia 2 na kuendelea,mimi sibeti lakini naweza nkaweka mechi tano hapa za...
Kazi na umri,huyu nyimbo zake tulikuwa tunasikiliza miaka ya 80 na tayari alikuwa mkubwa tu kiumri leo kawa kikongwe bado anatanua mapafu inabidi apumzike sasa
Wewe unafikiri mwandishi wa gazeti hili anapata nguvu wapi??Umesahau yale ya Musiba?? Hakuna chombo chochote cha habari kinaweza kumbagaza makamu kama hivi bila kupata baraka kutoka kwa mkuu wake...Haiwezekani mwandishi apate kiburi kutoka kwenye mamlaka iliyo chini ya Makamu wa raisi
Kuna siku tumeenda porini ndanindani maeneo ya pwani kukusanya mahindi,sasa tumefika sehemu kuna ka center hivi gari yetu tuliyokuwa nayo ikazingua halafu ilipozingulia ni nje ya nyumba fulani nzuri ina fremu nzuri nje na ndani kumepaki Hiace, hiyo ni saa 6 usiku! Ghafla akatoka mtu ndani ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.