Recent content by TADPOLE

  1. TADPOLE

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Angalia hlafu tuambie km kuna habar imeokotwa okotwa na kuletwa humu kama anavyofanya Oklahoma city Thunder.
  2. TADPOLE

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Msemaji wa Jeshi la ulinzi wa Iran (Khatam Al-anbya) anaeitwa Ebrahim Zolfaqari amesema.. "IRAN imethibitisha kuwakamata Wanajeshi wa Marekani kwenye kisiwa cha Kharg ambapo tukio limefanikiwa kwa usahihi kuwakamata Marines baada ya jaribio lao la kutua kufeli".
  3. TADPOLE

    Viongozi na makamanda Iran wanavaa baibui kujificha kuuawawa na Israel.

    Haya tuambie sasa huyo ni kamanda nani!!
  4. TADPOLE

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Wale wanajeshi wa parachutu 5000 wameshaanza kupunguzwa tayari baada ya kutua middle East,wameshabaki 3100 wakijichanganya kuingia Iran yanarudi majeneza 3100 Marekani
  5. TADPOLE

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Iran imesema kuwa vikosi vyake vya kijeshi vimeshambulia vyombo sita vya kijeshi vya Marekani, na kusababisha kuuawa kwa idadi kubwa ya wanajeshi wa Marekani waliowataja kama magaidi. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa usiku wa Ijumaa na Ofisi ya Uhusiano wa Umma ya Kikosi cha Walinzi wa...
  6. TADPOLE

    Jimbo la Isimani, Iringa tunasema Festo Kiswaga anatosha kuwa mrithi wa Lukuvi

    Hya maccm ndio maana yanauana hovyohovyo,hata mazishi bado wameshaanza kugombania cheo!Hizi siasa zao za kuuana hatopona mtu
  7. TADPOLE

    Usiku kuwa mfupi na masaa kwenda kasi kwa nyakati hizi nini sababu?

    Zamani takribani muaka bilioni 4 iliyopita siku ilikuwa ni masaa 6 mpaka 8 tu sio 24,miaka million 500 hivi iliyopita siku ilikuwa na masaa 21 tu na kuna kipindi siku ilikuwa ni masaa 12 enzi za Dinisaurs.Hii inatokana na kitu kinaitwa Tidal friction huu ni mvutano wa jua na mwezi,mvutano huu...
  8. TADPOLE

    Nilipokuwa mdogo nilikuwa na uwezo wa kufanya Miujiza

    yeah ndio ilivyo kwa sasa,ni mpk ntulie au jambo mpaka litokee ndio nakumbuka na kuanza kuunganisha matukio ya ile ndoto na kilichotokea tofauti na zamani ilikuwa ni direct naona tukio.Nadhani kuzinizini huku kunafunga vitu vingi sana kwenye nafsi za watu
  9. TADPOLE

    MPYA Je, ni kweli Messi na Ronaldo wamekutana na kucheza pamoja kama video hii?

    Kuna AI videos nying sana nazionaga Messi na Eonaldo wakiwa pamoja wanazurura mitaani nchi mbalimbali,zile video mtu ukiambiwa ni AI unakataa maana hazina kasoro hata asilimia 10 tu hata hii ni mojawapo
  10. TADPOLE

    Nilipokuwa mdogo nilikuwa na uwezo wa kufanya Miujiza

    Sijajua kwanini watu kwenye huu uzi wanabisha?kweli watanzania ubishi ni jadi kabisa,watu kana hawa wapo kwenye jamii weng tu na wengi hawajionyeshi..Binafsi ni kama mleta mda tu,nilivyokuwa mdogo niliweza kuviona vifo vya wapendwa na majiran na watu ninaowafahamu kwa kuota ndotoni tu na hili...
  11. TADPOLE

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Msemaji wa Makao Makuu ya Khatam al-Anbia ya Iran ametoa maelezo kuhusu siku ya 26 ya operesheni za kijeshi za kulipiza kisasi dhidi ya adui, zinazoendeshwa chini ya jina la Operesheni Ahadi ya Kweli 4. Kwa mujibu wa msemaji huyo, katika wimbi la 79 lililofanyika Jumatano, vikosi vya anga na...
  12. TADPOLE

    Mkurugenzi mstaafu wa ujasusi Uingereza: Iran amemzidi Marekani kwenye hii vita

    Hhaha,hii vita kila mtu anajifanya mchambuzi! Kwa taarifa yako Washirika wa Iran ni China,Korea kaskazini,Urusi na Pakistan ambazo zote zimeshatoa msaada wa kijesh na kijamii,mfano China mwezi huu imeshatoa msaada wa $200,000 na pia yeye ndio mnunuzi mkuu wa mafuta ya Iran kwa asilimia 91...
  13. TADPOLE

    Viti kutoka uwanja wa taifa kupelekwa uwanja wa Jamuhuri Morogoro

    Hamna shida,viti vimeshapelekwana vimeanza kufungwa,mambk mengine yatypite tu tuache upinzani wa kipuuzi kwa faida yetu..Watu wanaohoji inakuwaje vinatolewa kwa mkapa vinapelekwa kwenye uwanja binafsi,swali kuna viwanja vingspi vya serikali hapa Tz?..Uwanja wa uhuru unafungwa viti vipya,viti vya...
  14. TADPOLE

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Ana porojo kinoma,mwenzie kampa source tu hakutaka kwenda mbali yeye anarudi na maandiko marefu utafikiri jamaa aliyempa source ni mwandishi wa The Hindustan au Guardian😆😆😆
  15. TADPOLE

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Humu kuba mtu mmoja mpuuzi na ana ujuaji wakijinga sana,humu ukileta facts na vivid source hakuna hata atakayekubishia taarifa zako na kama huna source hatuwezi tukawavtunaamini kelele zako na maandiko yako mareefu..Mtu anapewa source ya Hindustan news media yenye miaka zaidi ya mia,Guardian...
Back
Top Bottom