Recent content by TADPOLE

  1. TADPOLE

    JamiiForums Tanzania Rais Wa Uganda Kufanya Ziara ya Kikazi Nchini Kwa Mualiko Maalumu Wa Jemedari Wetu Rais Dkt Samia Suluhu Hasssan

    Huko kwingine hakuna wa kufanana nae ndio maana linakuja kwa katili mwenzie wa kutesa na kuua wapinzani,dunia nzima zimebaki nchi mbili tu za kukamata,kutesa,kufira na kuua wapinzani na wakosoaji
  2. TADPOLE

    JamiiForums Tanzania Ni muda wa serikali kukaribisha wawekezaji kwenye barabara zetu

    Then wakiingia wawekezaji mjiandae na toll/peages/tozo..Jana tulikuwa na mjadala humu kwenye thead moja hivi watu wanalalamikia Bridge Toll ya buku jero pale Kigamboni,nikawaambia heri Toll ya hapo ni buku jero Congo DRC umbali wa km 500 tu unakutana na Toll gates zaidi ya saba na zote ni...
  3. TADPOLE

    JamiiForums Tanzania Vyote ninavyokumbuka naweka hapa kumbukumbu zote

    Haivutii,inaonekana visa vizuri lkn kiswaswadu kinakuangusha, mwandiko na mpangilio wa sarufi ni mbaya hakuna mfano..Nunua simu kwanza ndio uje uendelee
  4. TADPOLE

    JamiiForums Tanzania Naomba kufahamu nchi za ulaya zinazotumia unga wa mahindi kwenye mapishi yao

    Mahindi si chakula kibaya ila ugali hasa usiokuwa na nyama choma (i mean ugali dagaa) ndio mbaya.. Mahindi yanaweza na yanatumika kutengeneza vyakula vingi tu Ambavyo hadi high income families zinakula kama Corn bread,Corn flakes,Popcorn na hata mahindi ya kuchemsha na sauce yoyote either...
  5. TADPOLE

    JamiiForums Tanzania Polisi Bariadi wafafanua video ya Askari na Bodaboda aliyekuwa na Magunia ya Alizeti

    Nilitegemea hili maana niliona pale kuna maofisa pia sijuagi kuhusu mavyeo ya kipolisi,lakini walikuwa wamejaza nyota mabegani.No wonder hata hili tangazo wameandika wao
  6. TADPOLE

    JamiiForums Tanzania Nyumba kama hii inaweza gharimu sh ngapi ? Nione kama naweka mjengo wa 3

    nyumba nzima inakuwa na vyumba vinne,eneo liwe tambarare kwa ramani hiihii anaweza kutumia 180 million nyumba inakamilika,ingawa kuna watu watakuja hapa kumtisha kumtajia magharama makubwa
  7. TADPOLE

    JamiiForums Tanzania Nyumba kama hii inaweza gharimu sh ngapi ? Nione kama naweka mjengo wa 3

    Million 180 unakabidhiwa nyumba yako inakuwa na vyumba vinne
  8. TADPOLE

    JamiiForums Tanzania KERO Wakazi wa Ubungo–Msewe bado tunanunua ndoo ya maji Sh 1,300 hadi 1,500

    Nimekulia mitaa ya hapo Kibo aisee shida ya maji ambayo ipo mitaa hiyo ya Kibo na Msewe ni ya miaka na miaka
  9. TADPOLE

    JamiiForums Tanzania Madhara ya choo cha kuchuchumaa

    Hii nchi unaweza ukaamka kesho ukakuta kila kitu umekatazwa kina madhara!
  10. TADPOLE

    JamiiForums Tanzania Unafikiri kwa nini CCM haina ushawishi kwa members wengi humu JF?

    Check maoni ya Facebook na Instagram then utajua ni mitandao yote,wenyewe wanakuwaga na kauli ya kujipa moyo eti ni kelele tu za mitandaoni huko mtaani CCM inapendwa sana,hawajui watu waliopo mtaani ndio haohao wapo mtandaoni
  11. TADPOLE

    JamiiForums Tanzania HOJA Deni la Daraja la Kigamboni (Mwalimu Nyerere) litaisha lini?

    Poa ila nakushauri next time kuwa makini usikurupuke kushambulia mtu bila kuwa na uhakika..kumuita mwanaume mwenzio muongo ni matusi makubwa sana binafsi sipendi..Nina miaka zaidi ya 11 humu niliyojijengea ya kutokuwa mzee wa fiksi na chai,sasa kuniita muongo ni dharau kubwa sana kwangu
  12. TADPOLE

    JamiiForums Tanzania HOJA Deni la Daraja la Kigamboni (Mwalimu Nyerere) litaisha lini?

    Yeah aamini asidhani tunachangamsha genge humu,watu wengine hatupendi kutoleana maneno machafu na watu wazima wenzetu sema kuna watu wanalazimisha,mtu unamwambia kuhusu Congo anakuita muongo eti tafuta exposure
  13. TADPOLE

    JamiiForums Tanzania HOJA Deni la Daraja la Kigamboni (Mwalimu Nyerere) litaisha lini?

    Kolwezi kule DRC ni eneo ambalo ndilo lina Migodi ya hizo shaba migodi mikubwa tu kama Kamoa,Kamoto,TCC,CCR na mingine ipo katika jimbo la Lualaba mbele kidogo ya Lubumbashi,huko ndipo wahuni wa kikongo wanateka roli zima la shaba wanakuja hadi na Crane..Gari zote zinazikuwa zimebeba copper huwa...
  14. TADPOLE

    JamiiForums Tanzania HOJA Deni la Daraja la Kigamboni (Mwalimu Nyerere) litaisha lini?

    Nadhani ni mfumo wa kidunia hasa kuhusisha sector binafsi katika maendeleo ya miundombinu hasa kwa mfumo wa PPP..Hii kitu haipo Tanzania tu na congo hata Marekani kuna baadhi ya madaraja yanalipiwa kama Golden Gate Bridge lile daraja jekundu la San Fransisco nalo linalipiwa,Kenya tu hapo Nairobi...
Back
Top Bottom