Huko kwingine hakuna wa kufanana nae ndio maana linakuja kwa katili mwenzie wa kutesa na kuua wapinzani,dunia nzima zimebaki nchi mbili tu za kukamata,kutesa,kufira na kuua wapinzani na wakosoaji
Then wakiingia wawekezaji mjiandae na toll/peages/tozo..Jana tulikuwa na mjadala humu kwenye thead moja hivi watu wanalalamikia Bridge Toll ya buku jero pale Kigamboni,nikawaambia heri Toll ya hapo ni buku jero Congo DRC umbali wa km 500 tu unakutana na Toll gates zaidi ya saba na zote ni...
Haivutii,inaonekana visa vizuri lkn kiswaswadu kinakuangusha, mwandiko na mpangilio wa sarufi ni mbaya hakuna mfano..Nunua simu kwanza ndio uje uendelee
Mahindi si chakula kibaya ila ugali hasa usiokuwa na nyama choma (i mean ugali dagaa) ndio mbaya..
Mahindi yanaweza na yanatumika kutengeneza vyakula vingi tu Ambavyo hadi high income families zinakula kama Corn bread,Corn flakes,Popcorn na hata mahindi ya kuchemsha na sauce yoyote either...
Nilitegemea hili maana niliona pale kuna maofisa pia sijuagi kuhusu mavyeo ya kipolisi,lakini walikuwa wamejaza nyota mabegani.No wonder hata hili tangazo wameandika wao
nyumba nzima inakuwa na vyumba vinne,eneo liwe tambarare kwa ramani hiihii anaweza kutumia 180 million nyumba inakamilika,ingawa kuna watu watakuja hapa kumtisha kumtajia magharama makubwa
Check maoni ya Facebook na Instagram then utajua ni mitandao yote,wenyewe wanakuwaga na kauli ya kujipa moyo eti ni kelele tu za mitandaoni huko mtaani CCM inapendwa sana,hawajui watu waliopo mtaani ndio haohao wapo mtandaoni
Poa ila nakushauri next time kuwa makini usikurupuke kushambulia mtu bila kuwa na uhakika..kumuita mwanaume mwenzio muongo ni matusi makubwa sana binafsi sipendi..Nina miaka zaidi ya 11 humu niliyojijengea ya kutokuwa mzee wa fiksi na chai,sasa kuniita muongo ni dharau kubwa sana kwangu
Yeah aamini asidhani tunachangamsha genge humu,watu wengine hatupendi kutoleana maneno machafu na watu wazima wenzetu sema kuna watu wanalazimisha,mtu unamwambia kuhusu Congo anakuita muongo eti tafuta exposure
Kolwezi kule DRC ni eneo ambalo ndilo lina Migodi ya hizo shaba migodi mikubwa tu kama Kamoa,Kamoto,TCC,CCR na mingine ipo katika jimbo la Lualaba mbele kidogo ya Lubumbashi,huko ndipo wahuni wa kikongo wanateka roli zima la shaba wanakuja hadi na Crane..Gari zote zinazikuwa zimebeba copper huwa...
Nadhani ni mfumo wa kidunia hasa kuhusisha sector binafsi katika maendeleo ya miundombinu hasa kwa mfumo wa PPP..Hii kitu haipo Tanzania tu na congo hata Marekani kuna baadhi ya madaraja yanalipiwa kama Golden Gate Bridge lile daraja jekundu la San Fransisco nalo linalipiwa,Kenya tu hapo Nairobi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.