Msemaji wa Jeshi la ulinzi wa Iran (Khatam Al-anbya) anaeitwa Ebrahim Zolfaqari amesema..
"IRAN imethibitisha kuwakamata Wanajeshi wa Marekani kwenye kisiwa cha Kharg ambapo tukio limefanikiwa kwa usahihi kuwakamata Marines baada ya jaribio lao la kutua kufeli".
Iran imesema kuwa vikosi vyake vya kijeshi vimeshambulia vyombo sita vya kijeshi vya Marekani, na kusababisha kuuawa kwa idadi kubwa ya wanajeshi wa Marekani waliowataja kama magaidi.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa usiku wa Ijumaa na Ofisi ya Uhusiano wa Umma ya Kikosi cha Walinzi wa...
Zamani takribani muaka bilioni 4 iliyopita siku ilikuwa ni masaa 6 mpaka 8 tu sio 24,miaka million 500 hivi iliyopita siku ilikuwa na masaa 21 tu na kuna kipindi siku ilikuwa ni masaa 12 enzi za Dinisaurs.Hii inatokana na kitu kinaitwa Tidal friction huu ni mvutano wa jua na mwezi,mvutano huu...
yeah ndio ilivyo kwa sasa,ni mpk ntulie au jambo mpaka litokee ndio nakumbuka na kuanza kuunganisha matukio ya ile ndoto na kilichotokea tofauti na zamani ilikuwa ni direct naona tukio.Nadhani kuzinizini huku kunafunga vitu vingi sana kwenye nafsi za watu
Kuna AI videos nying sana nazionaga Messi na Eonaldo wakiwa pamoja wanazurura mitaani nchi mbalimbali,zile video mtu ukiambiwa ni AI unakataa maana hazina kasoro hata asilimia 10 tu hata hii ni mojawapo
Sijajua kwanini watu kwenye huu uzi wanabisha?kweli watanzania ubishi ni jadi kabisa,watu kana hawa wapo kwenye jamii weng tu na wengi hawajionyeshi..Binafsi ni kama mleta mda tu,nilivyokuwa mdogo niliweza kuviona vifo vya wapendwa na majiran na watu ninaowafahamu kwa kuota ndotoni tu na hili...
Msemaji wa Makao Makuu ya Khatam al-Anbia ya Iran ametoa maelezo kuhusu siku ya 26 ya operesheni za kijeshi za kulipiza kisasi dhidi ya adui, zinazoendeshwa chini ya jina la Operesheni Ahadi ya Kweli 4.
Kwa mujibu wa msemaji huyo, katika wimbi la 79 lililofanyika Jumatano, vikosi vya anga na...
Hhaha,hii vita kila mtu anajifanya mchambuzi! Kwa taarifa yako Washirika wa Iran ni China,Korea kaskazini,Urusi na Pakistan ambazo zote zimeshatoa msaada wa kijesh na kijamii,mfano China mwezi huu imeshatoa msaada wa $200,000 na pia yeye ndio mnunuzi mkuu wa mafuta ya Iran kwa asilimia 91...
Hamna shida,viti vimeshapelekwana vimeanza kufungwa,mambk mengine yatypite tu tuache upinzani wa kipuuzi kwa faida yetu..Watu wanaohoji inakuwaje vinatolewa kwa mkapa vinapelekwa kwenye uwanja binafsi,swali kuna viwanja vingspi vya serikali hapa Tz?..Uwanja wa uhuru unafungwa viti vipya,viti vya...
Ana porojo kinoma,mwenzie kampa source tu hakutaka kwenda mbali yeye anarudi na maandiko marefu utafikiri jamaa aliyempa source ni mwandishi wa The Hindustan au Guardian😆😆😆
Humu kuba mtu mmoja mpuuzi na ana ujuaji wakijinga sana,humu ukileta facts na vivid source hakuna hata atakayekubishia taarifa zako na kama huna source hatuwezi tukawavtunaamini kelele zako na maandiko yako mareefu..Mtu anapewa source ya Hindustan news media yenye miaka zaidi ya mia,Guardian...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.