There is no special about you,washamba,nchi yenu ya kishamba,ninyi wenyewe washamba mnaobebwa na kitengo cha propaganda ila there is nothing special about you guys.
Whwt a deuce!!? Sikufikiria kwamba kuna mtz siku moja anaweza kutembelea Timor leste.Hizi nchi za upande ule Kina Tuvalu,Vanuatu,Fiji,Tonga zipo mbali sana na dunia zamani enzi za kale sehemu yao ya karibu kufanya contacts na wenzao duniani ilikuwa Africa Mashariki hawakuwahi kujua km kuna...
Mshamba tu na mpenda sifa,pale mwenyewe anajiona muhuni! Post zake zote akiweka TBT ni masifa tu ashukuru ubunge ulimpa hela za mikopo bila hivyo angekuwa km kina Juma Nature kwa sasa
Sio kosa kupeperusha bendera ya taifa nyumbani kwako,kosa ni kuiharibu kwa namna yoyote ile kama hivyo...pia hata hivyo bado tupo nyuma sana aisee,kupeperusha bendera nyumbani kwako pia inahitaji kibali maalumu eti
Watu walikuwa hawajui tu,ila katambi na Mwafyele ndio viongozi wa juu kabisa wa shughuli za utekaji nchini na Katambi huwa hadi anajisifu kuwa yupo TISS kotengo.cha utekaji
Namuonaga instagram..Sijajua kwanini kawa inactive Jamiiforums..Mada za huyu,Humble African,na mada zako mbili za Magufuli atakuwa raisi na ile ya psychic powers ndizo zilizonifanya nijiunge JF 2015 na ndio mada zangu zilizo kwenye 10 bora ya machapisho bora zaid ya JF
Huu mkoa nao nahisi kuna ajenda ya kuufanya usiwe na barabara za uhakika za lami.Mfano hadi leo wameshindwa kabisa kuiunganisha Mpwapwa na barabara ya lami ya uhakika badala yake lami zimetengenezwa Mpwapwa mjini tu,yule mbunge mzee wa watu Lubereje maskini tangu mwaka 1975 kilio chake ni...
Watu hawajui kwamba hapa ishu sio kufungiwa kwenda Marekani,ishu ni kwamba ukishatajwa tu ni tayari unawekwa kwenyw black book ya Marekani na jinai yako haifi hata kwa miaka 100.Huyu Bashite wanayesema anadunda kuna sehemu tu atakwama na hapo ndioo Marekani itamsomea kesi yake
kama ana tabia nzuri msaidie acha roho mbaya,mtaani kuna watu wengi sana na wengine wakubwa serikalini wamebebwa na mashemeji.Tatizo nyie huwa mnawaza bajeti ya kula tu hivi jamani kumlisha mtu napo ni kitu cha kuwaza? Mimi kwenye familia yangu siwazagi kuhusu kula au kuongezeka kwa bajeti ya...
Mara ya kwanza 12 days war walisema wamemaliza uwezo wakinyuklia wa Iran
Ikaja juzi yeye na bwana wake Trump wamesema wamemaliza uwezo wakinyuklia wa Iran kwahiyo wameshinda vita
kwa statement hii ya leo bwana Echolima tukiwaambia hao jamaa zako hawana akili tutakuwatunakosea?
Hiyo ni project maalumu iliyoandaliwa na Raisi Moi kwa ajili ya kuidogosha Tanzania,na vijana wamekuwa na mentality hiyo ya bragging hata kama wanaona kjna mambo tunawazidi..
Media zao zinapewa maelekezo hayo ya kuidogosha Tz,blogs na social media pages hivyohivyo..
Solution na sisi tunaweza...
Hata huku ndio hivyohivyo..Zile biscut unazoziona feri na baadhi ha products mitaani Supermarkets huwa wanazitoa kwa promosheni zikikaribia kuexpaya.Sisi tulikuwa na supermarket na tulikuwa tunafanya hivyo bidhaa ikikaribia kuisha muda tunairudisha Godown kuna wadau wetu tynawapigia simu huwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.