Recent content by TADPOLE

  1. TADPOLE

    JamiiForums Tanzania Video: Wananchi wanavushwa Mto Ruaha kwa kamba, Mto una mamba wengi

    Sa sisi tufanyeje na wenyewe wameichagua ccm?!
  2. TADPOLE

    JamiiForums Tanzania Ukilewa usichat na usitoe hotuba, kongole wasaidizi kwa hili

    Ndio walimtoa lakini usijipakulie minyama kuwa ulisema,tabiri zako siku hizi ni za General sio kama zamani,siku hizi unaanzisha nyuzi nyingi ambazo hazitaji muhusika hata kwa code katika hizo nyingi moja lazima itatiki tu hata mimi hiyo naiweza,naweza kuandika "watu wamekaa kikao mwez wa 12 yule...
  3. TADPOLE

    JamiiForums Tanzania Mkeo simpati, nataka kuja kuwasalimia watoto wangu. Tafadhari mwambie awalete kesho saa 3 asubuhi Matayo Hoteli

    Ukikubali kuoa single mother ni lazima ukubali na vitu kama hivi usilete nongwa,tena wewe una bahati mwengine angekuja kumgonga mke wako hapohapo kwako
  4. TADPOLE

    JamiiForums Tanzania Diva: Alikiba ni Ex wangu ambae sitaweza kumsahau

    Mbona hadi CCM?😆😆😆
  5. TADPOLE

    JamiiForums Tanzania Orodha ya wasanii waliotoa hit moja kali kisha wakapotea kimyakimya

    Nimependa huu uzi umepanga kwa timeline na wasanii wengi ni kweli walifanya one hit wonder ila wengine kama Mataluma walijitutumua hadi 2 mfano Wimbo wake wa kariakoo ulikuwa ni hit na wengine wacgache hapo
  6. TADPOLE

    JamiiForums Tanzania Ugumu wa maisha ya Marekani, wamarekani wengi weusi kwa weupe wanakimbia Marekani na wanasema hawarudi tena.

    Miaka ya 2000 mpk 2010 walijaribu wengi kuhamia Africa lakini mazingira wakaona jahu,sahiz kuna wimbi kubwa sana la Wamarekani kuhamia China na Korea Kusini na Japan meza imegeuka
  7. TADPOLE

    JamiiForums Tanzania Binadamu hawakutoka kwa nyani au sokwe. Huu ni ujinga au uzushi uliosambaa sana

    Walimu huwa wanachanganya sana aisee asilimia 99 ya watu eti wanaelewa kama ulivyokataa kuwa binadamu anatokana na nyani,binadamu na primates(nyani) tunashare a common ancestor tu katika evolution na sio kwamba nyani/sokwe ndio walibadilika kuwa binadamu,kuelewa hili unatakiwa usome Evolution...
  8. TADPOLE

    JamiiForums Tanzania Ufunuo: Ninafadhaika Kuona kwamba Mtu mwingine anaenda kupotezwa

    Huu uganga na upiga ramli wa jf Muasisi ni britanicca
  9. TADPOLE

    JamiiForums Tanzania Angalia Rais makatili waliowahi kutokea Africa

    Watoto 80 tu unamuita Bokassa katili!?kuna dada 29/10/2025 aliua watoto wa watu zaidi ya 90,000 alipaswa awepo kwenye list
  10. TADPOLE

    JamiiForums Tanzania Free tips daily 1.50 odds and 2 odds

    Hizi odds za 1.5 sijui 1.8 ni rahisi sana yeyote anaweza kutabiri,mfano unaona kabisa kuna mechi haiwezi kufika magoli 6 unaweka tu under 4.5 unapata zako odds 1.3 unatembea..odds za maana za kusema kwwli umetabiri zinaanzia 2 na kuendelea,mimi sibeti lakini naweza nkaweka mechi tano hapa za...
  11. TADPOLE

    JamiiForums Tanzania Lionel Richie alazwa ICU baada ya tamasha lake

    Kazi na umri,huyu nyimbo zake tulikuwa tunasikiliza miaka ya 80 na tayari alikuwa mkubwa tu kiumri leo kawa kikongwe bado anatanua mapafu inabidi apumzike sasa
  12. TADPOLE

    JamiiForums Tanzania Ruby: Nilikuwa nalala kwenye kibaraza cha Diamond

    Ukiona Pascal Mayalla kalike comment au post ujue hiyo ishu ni kweli kabisa😀
  13. TADPOLE

    JamiiForums Tanzania iPhone 18 Pro Max na Ultra Yaja! Kaa tayari kwa Sept 9

    Dah!yaani nakumbuka hadi samsung S6 yangu niliyotumia 2017 ilikuwa na feature hii lakini Iphone wamekuja kuitoa kwenye latest phone yao
  14. TADPOLE

    JamiiForums Tanzania Nadhani ni kweli Rais Samia na makamu wake hawaivi

    Wewe unafikiri mwandishi wa gazeti hili anapata nguvu wapi??Umesahau yale ya Musiba?? Hakuna chombo chochote cha habari kinaweza kumbagaza makamu kama hivi bila kupata baraka kutoka kwa mkuu wake...Haiwezekani mwandishi apate kiburi kutoka kwenye mamlaka iliyo chini ya Makamu wa raisi
  15. TADPOLE

    JamiiForums Tanzania Kifo cha anko wangu, member wa JamiiForums, kiliniacha na maswali na mitazamo migumu

    Kuna siku tumeenda porini ndanindani maeneo ya pwani kukusanya mahindi,sasa tumefika sehemu kuna ka center hivi gari yetu tuliyokuwa nayo ikazingua halafu ilipozingulia ni nje ya nyumba fulani nzuri ina fremu nzuri nje na ndani kumepaki Hiace, hiyo ni saa 6 usiku! Ghafla akatoka mtu ndani ya...
Back
Top Bottom