Recent content by TADPOLE

  1. TADPOLE

    JamiiForums Tanzania Ukweli Mchungu Kuhusu Wanyarwanda Tanzania

    There is no special about you,washamba,nchi yenu ya kishamba,ninyi wenyewe washamba mnaobebwa na kitengo cha propaganda ila there is nothing special about you guys.
  2. TADPOLE

    JamiiForums Tanzania Baada ya Kula nyama ya mbwa wakaanza Kuiga tabia za mbwa

    Whwt a deuce!!? Sikufikiria kwamba kuna mtz siku moja anaweza kutembelea Timor leste.Hizi nchi za upande ule Kina Tuvalu,Vanuatu,Fiji,Tonga zipo mbali sana na dunia zamani enzi za kale sehemu yao ya karibu kufanya contacts na wenzao duniani ilikuwa Africa Mashariki hawakuwahi kujua km kuna...
  3. TADPOLE

    JamiiForums Tanzania Msemo wa Sugu ‘matako yenu’ umekaa kishamba sana, aliye karibu naye mwambie aachane nao

    Mshamba tu na mpenda sifa,pale mwenyewe anajiona muhuni! Post zake zote akiweka TBT ni masifa tu ashukuru ubunge ulimpa hela za mikopo bila hivyo angekuwa km kina Juma Nature kwa sasa
  4. TADPOLE

    JamiiForums Tanzania Ukweli Mchungu Kuhusu Wanyarwanda Tanzania

    Hawana chochote cha kutufanya,Tanzania sio congo
  5. TADPOLE

    JamiiForums Tanzania Wataalamu wa sheria: Je, ni kosa kupandisha bendera ya taifa nyumbani kwako?

    Sio kosa kupeperusha bendera ya taifa nyumbani kwako,kosa ni kuiharibu kwa namna yoyote ile kama hivyo...pia hata hivyo bado tupo nyuma sana aisee,kupeperusha bendera nyumbani kwako pia inahitaji kibali maalumu eti
  6. TADPOLE

    JamiiForums Tanzania Huyu jamaa akishavuta ganja akipanda on the stage ni balaa tupu😂

    Show zake zimetulia sana,Sound system imekaa poa kinoma unaskia kila kitu kwenye ubora..na huwa anatumia vyombo vya music
  7. TADPOLE

    JamiiForums Tanzania Katambi kutoa maoni mitandaoni ni kosa? Unaimarisha kikosi ili kifanye nini? Kikosi cha UTEKAJI? Kikosi cha MAUAJI? Muda utaongea. Umekera wengi

    Watu walikuwa hawajui tu,ila katambi na Mwafyele ndio viongozi wa juu kabisa wa shughuli za utekaji nchini na Katambi huwa hadi anajisifu kuwa yupo TISS kotengo.cha utekaji
  8. TADPOLE

    JamiiForums Tanzania Roman Abramovich: Utajiri wa Damu, Risasi na Umafia

    Namuonaga instagram..Sijajua kwanini kawa inactive Jamiiforums..Mada za huyu,Humble African,na mada zako mbili za Magufuli atakuwa raisi na ile ya psychic powers ndizo zilizonifanya nijiunge JF 2015 na ndio mada zangu zilizo kwenye 10 bora ya machapisho bora zaid ya JF
  9. TADPOLE

    JamiiForums Tanzania KERO Barabara Kibaigwa-Dodoma wanasema imekamilika ila Kwanini haijafunguliwa?

    Huu mkoa nao nahisi kuna ajenda ya kuufanya usiwe na barabara za uhakika za lami.Mfano hadi leo wameshindwa kabisa kuiunganisha Mpwapwa na barabara ya lami ya uhakika badala yake lami zimetengenezwa Mpwapwa mjini tu,yule mbunge mzee wa watu Lubereje maskini tangu mwaka 1975 kilio chake ni...
  10. TADPOLE

    JamiiForums Tanzania My worry is rhis ; Mafwele does not need going to the USA

    Watu hawajui kwamba hapa ishu sio kufungiwa kwenda Marekani,ishu ni kwamba ukishatajwa tu ni tayari unawekwa kwenyw black book ya Marekani na jinai yako haifi hata kwa miaka 100.Huyu Bashite wanayesema anadunda kuna sehemu tu atakwama na hapo ndioo Marekani itamsomea kesi yake
  11. TADPOLE

    JamiiForums Tanzania Shemeji yangu kanogewa kukaa kwangu. Kamaliza chuo 2020 lakini haondoki, nifanyeje?

    kama ana tabia nzuri msaidie acha roho mbaya,mtaani kuna watu wengi sana na wengine wakubwa serikalini wamebebwa na mashemeji.Tatizo nyie huwa mnawaza bajeti ya kula tu hivi jamani kumlisha mtu napo ni kitu cha kuwaza? Mimi kwenye familia yangu siwazagi kuhusu kula au kuongezeka kwa bajeti ya...
  12. TADPOLE

    JamiiForums Tanzania Vita vyetu na Iran havijaisha mpaka Uraniumu iondoshwe-Benjamin Netanyahu

    Tunaongelea uongi wa Marekani kumaliza uwezo wa Iran Kinyuklia you pathetic!
  13. TADPOLE

    JamiiForums Tanzania Vita vyetu na Iran havijaisha mpaka Uraniumu iondoshwe-Benjamin Netanyahu

    Mara ya kwanza 12 days war walisema wamemaliza uwezo wakinyuklia wa Iran Ikaja juzi yeye na bwana wake Trump wamesema wamemaliza uwezo wakinyuklia wa Iran kwahiyo wameshinda vita kwa statement hii ya leo bwana Echolima tukiwaambia hao jamaa zako hawana akili tutakuwatunakosea?
  14. TADPOLE

    JamiiForums Tanzania Ningekuwa kiongozi wa nchi ningewashikisha adabu Wakenya

    Hiyo ni project maalumu iliyoandaliwa na Raisi Moi kwa ajili ya kuidogosha Tanzania,na vijana wamekuwa na mentality hiyo ya bragging hata kama wanaona kjna mambo tunawazidi.. Media zao zinapewa maelekezo hayo ya kuidogosha Tz,blogs na social media pages hivyohivyo.. Solution na sisi tunaweza...
  15. TADPOLE

    JamiiForums Tanzania Nchi za watu wanapunguza bei ya bia/product zikikaribia expiry. Tanzania je?

    Hata huku ndio hivyohivyo..Zile biscut unazoziona feri na baadhi ha products mitaani Supermarkets huwa wanazitoa kwa promosheni zikikaribia kuexpaya.Sisi tulikuwa na supermarket na tulikuwa tunafanya hivyo bidhaa ikikaribia kuisha muda tunairudisha Godown kuna wadau wetu tynawapigia simu huwa...
Back
Top Bottom