Recent content by Tabora yetu

  1. Tabora yetu

    Nafasi za kazi za kampuni ya Britam sio za utapeli?

    Kampuni ya Britam ; ilitangaza nafasi za kazi hapa Tabora mjini, pamoja na maswala mengine kampuni hii toka jana na leo imeanza kuwajibu waombaji,kuwa wanatakiwa waje na vyeti na Cvs zao , semina na maelekezo ya kazi ni tarehe 23-12-2016 milambo sekondari tabora mjini saa 4:00 asubuhi ila...
  2. Tabora yetu

    Bila Mabadiliko ya Katiba, Msitegemee Mabadiliko mengine yoyote. miaka mingi Ijayo

    Bila katiba mpya hakuna jipya wala ccm kutoka madarakani
  3. Tabora yetu

    Mobisol Tanzania

    SETI YA DISHI LA ZUKU NDIO BURE
  4. Tabora yetu

    Mobisol Tanzania

    seti ya dishi la zuku ni ndio bure
  5. Tabora yetu

    Tatizo la Tanzania ni CCM siyo Watanzania!

    ccm haipo ili kuleta maendeleo na ustawi wa jamii ipo ili kulinda madaraka tu
  6. Tabora yetu

    Ukweli unaonyesha CCM haiwezi kabisa kushinda uchaguzi mwaka 2020

    vyombo vya dola ; Tiss, Jwtz, polisi vitatumika
  7. Tabora yetu

    Mobisol Tanzania

    OFFA!!! jipatie sola, tv inchi 19, redio, taa 5, betri, chaja kontrola, na seti ya Dishi la ZUKU bure kutoka kampuni ya sola ya mobisol kutoka ujerumani mobile 0786971086, au 0752116121.
  8. Tabora yetu

    2020 akishindwa sijui atakubali kutoka?

    2020 moto utawaka
Back
Top Bottom