Recent content by taboa

  1. T

    Rais Samia nakuomba usifanye mabadiliko ya Ma-DC, fanya kwa Ma-DED, Utanishukuru Baadaye

    Imekula kwako hapo kisarawe mzee,kaendelee kufoka afu si ulisema hutaki kazi?
  2. T

    Ni sahihi kwa mwanamke ambaye sio mchumba au mke wako kukaa kwako zaidi ya week mbili?

    Huyu dawa kumpa odds za uongo aweke mbupu zipasuliwe atulie
  3. T

    Mundende Imepigwa Marufuku, Ninaenda Kuaibika. Nitakulaje Papuchi?

    Hapo jiandae kuchapiwa tu lile wouwowo la mama....
  4. T

    Mama wa miaka 50 ananitaka

    Sasa si mutuombe tu
  5. T

    Hatimaye Halima Mdee na Wenzake wafungua kesi ya Kupinga kuvuliwa uanachama Mahakama Kuu

    Neke unazingeua sana au unataka kupegwa mashene kama yeye
  6. T

    Rais Samia aliweka wazi kuhusu ongezeko la mshahara, 23.3% ni kwa kima cha chini tu. Watumishi acheni lawama mara moja

    Hakuna kitu kama icho,hiyo increment si ya salary peke yake Bali na posho ambayo pia calculation yake hufanyika kwa kuangalia mshahara mpya
  7. T

    Kamishna Camillus Wambura ateuliwa kuwa IGP Mpya. Sirro apewa Ubalozi Zimbabwe, Kingai ateuliwa kuwa DCI

    Itakuwa hivyo mpk politics itakavokuwa mbali na jeshi hilo
  8. T

    Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameviagiza vyuo vikuu vyote nchini, kufanya mapitio ya mitaala, ili iweze kuendana na mahitaji halisi ya sasa

    Bachelor of science in biology,Bachelor of husband care,bachelor of science general udsm,bachelor of zoology,bachelor of botany,bachelor of linguistics,bachelor of archaeology, bachelor of history
  9. T

    Ukiona unawachukia wanasiasa hawa, inabidi ujitathmini sana

    hapo 1.Nyerere 2.mbowe 3.mwinyi 4.Lissu 5.Slaa(wa zaman) NB:MARUFUKU kumuweka jeipiemu
  10. T

    Mwanaume kuitegemea hela ya mwanamke ni ukahaba mamboleo

    Angalau mkuu umejitambua! Iko hivi kama mwanamke ni mama wa nyumbani basi mwanaume una takiwa kumuhudumia kikamilifu,ila kama mwanamke ni mfanyakazi hapo lazima ijulikane anakopeleka kipato chako. Sasa wewe just imagine labda mke na mume wote walimu au wote Polisi Yaani mume ahudumie familia...
  11. T

    Wale Wake Zenu Wanaofanya Kazi(walioajiriwa) Poleni Sana, Nilichokiona Jana Kinasikitisha

    Mama zuri mwenyewe Wana tumeweka au unataka ushahidi ukajinyonge?
  12. T

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    NILIVYOCHAKATA MALI MBILI JANA. 1.KIMASILAHA NAMBA MOJA Hii ilikuwa jana tarehe 2.3.2022,Basi nilivyotoka katika miangaiko yangu nikajipumzisha then kama saa 3 usiku nikaamka kuelekea kutafuta chakula,nilipofika kwenye chakula nikaagiza vyangu nikawa nasubiria, mara ghafla akatokea mdada naye...
Back
Top Bottom