Nakupa ushauri huu ambao niliutumia mimi na nikasaidika sana" Kaza moyo wako, Usimsalimie wala usiitikie salam yake, Hata kusemezana nae usisubutu,, kuwa Bubu muda wote kw mkewo,, Usile chakula anacho andaa kw ajili yenu, Usioge maji alio kuandalia,, lala nae kitanda kimoja ila usichangie shuka...