Puyugu 01
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 573
- 455
Kwa muda mrefu nimekuwa nikisikia kuwa wanawake ni wengi kuliko wanaume hapa duniani, kln sijawai ona wala sikia ni lini na wapi iliwai fanyika Sensa ya utambuzi huu, aidha sijabahatika kuiona na kuisoma takwimu yoyote inayothibitisha jambo hili.
Nimalizie tu kwa kukubali usemi usemao: kutotambua kwako uwepo wa jambo fulani haina maana kuwa jambo hilo usilolitambua wewe ni kwamba halipo, kwa heshima na tahadhima napenda kujuzwa juu fununu hizi kama zinaukweli wowote kwa fact zilizoshiba na sio blabla tu vijiweni.
Karibu.
Nimalizie tu kwa kukubali usemi usemao: kutotambua kwako uwepo wa jambo fulani haina maana kuwa jambo hilo usilolitambua wewe ni kwamba halipo, kwa heshima na tahadhima napenda kujuzwa juu fununu hizi kama zinaukweli wowote kwa fact zilizoshiba na sio blabla tu vijiweni.
Karibu.