Upi ukweli kuhusu hizi fununu?

Puyugu 01

JF-Expert Member
Feb 3, 2018
573
455
Kwa muda mrefu nimekuwa nikisikia kuwa wanawake ni wengi kuliko wanaume hapa duniani, kln sijawai ona wala sikia ni lini na wapi iliwai fanyika Sensa ya utambuzi huu, aidha sijabahatika kuiona na kuisoma takwimu yoyote inayothibitisha jambo hili.

Nimalizie tu kwa kukubali usemi usemao: kutotambua kwako uwepo wa jambo fulani haina maana kuwa jambo hilo usilolitambua wewe ni kwamba halipo, kwa heshima na tahadhima napenda kujuzwa juu fununu hizi kama zinaukweli wowote kwa fact zilizoshiba na sio blabla tu vijiweni.
Karibu.
 
Angalia mabadiliko ya hali ya hewa..

Joto limeongezeka maradufu...
Hii ina maana wanawake ni wengi kuliko wanaume...


Cc: mahondaw
 
Namajibu bila shaka mkuu.
Fanya utafiti,tembelea hospt yoyote ya karibu, uliza watoto wa ngapi wa kiume au wa kike wamezaliwa ndani ya mwaka mmoja, pia uliza watu wakiume au wakike wangapi wamefariki ndani ya muda huo,je ndani ya ukoo wenu/mtaani watu wengi ni wanawake au wanaume?majibu utayapata
 
Hili jambo linawezekana kua la ukweli ingawa sina record zilizo sahihi
Nakumbuka ziliwahi kutolewa mfurulizo siku ya mkesha wa Christmas 2014 na mkesha wa siku ya mwaka mpya 2015 kwa mkoa wa DSM tu, ambapo kwenye mkesha wa Christmas watoto walio zaliwa walikua 135 kati yao wakiume walikua 43.
Na mkesha wa mwaka mpya walizaliwa 107 katiyao me walikua 24. Sasa hapo unaweza kuona ni watu gani wanazaliwa kwa wingi zaid
 
Wanaume wana maisha mafupi ya kuishi duniani kuliko wanawake na ndo mana wanawake ni wengi
 
Kiufupi mkuu, Cc kwetu tumezaliwa wa3 wakike 2 wakiume ni 1, Ambae ni mimi, Na mimi nina watoto 4" wakike wa3' Wakiume ni1'' Swali je kwenu mmezaliwa wangapi wakike na wakiume???" Ndo majibu ya tasmin, Tuyapate kupitia uzi huu ,Haina maana kutafuta wataalam na cc tupo tunaweza Kama twaweza.
 
Lakini pia nendeni mbali kidogo pale panapo kiwanda cha uzalishaji , kitaalam zaidi ktk maswala ya sayans Maana nikitizama naona kuna spam × na y, Kunakitu utagundua chanzo cha kuwepo kw idadi kubwa ya wanawake.
 
Ni kweli wamama ni wengi kuliko wababa. Mfano hapa kitaani kwetu wanaume tuliopo hata tugaiane mademu watatu watatu bado wengine watabaki bila bwana. Pls Hide my ID nsije kamatwa na wale wa NBS
 
Fungua Google kuhusu sensa, kama vile Tanzania utaona hilo wanatifautisha me na me. Lakin hilo si ajab hata mashulen hilo liko waz
 
Kiufupi mkuu, Cc kwetu tumezaliwa wa3 wakike 2 wakiume ni 1, Ambae ni mimi, Na mimi nina watoto 4" wakike wa3' Wakiume ni1'' Swali je kwenu mmezaliwa wangapi wakike na wakiume???" Ndo majibu ya tasmin, Tuyapate kupitia uzi huu ,Haina maana kutafuta wataalam na cc tupo tunaweza Kama twaweza.
mkuu sema tunaweza zaidi ya twaweza

twaweza hamna kitu wale
 
Twende kwenye practical life.Kuna Wanaume wengi waliooa Wanawake zaidi ya mmoja ila hali sijawahi sikia kuna Mwanamke kaoa Wanaume zaidi ya mmoja kwa wakati moja.Sijui ni kwanini laliki nadhani ni kwa sababu Wanawake wana bahati ya kulelewa na makundi tofauti katika jamii.Akiwa mtoto mchanga analelewa na Wazazi kwa kudekezwa,Akikuwa na kupendeza mitaani ndio usiseme walezi kabao,Akibahatika kuolewa mume anajitoa fahamu kumlea.Hiyo ni tisa siku wanae wakikua wanatake cover mpaka wanapokelewa na Wajukuu.Karibuni kwa utafiti zaidi
 
Lakini pia nendeni mbali kidogo pale panapo kiwanda cha uzalishaji , kitaalam zaidi ktk maswala ya sayans Maana nikitizama naona kuna spam × na y, Kunakitu utagundua chanzo cha kuwepo kw idadi kubwa ya wanawake.
1. xx+xY =XX, XX, XY . So chance ya kupata wa kiume ni 1/3
2. zaidi ya 60% ya ovulation period inasapoti mtoto wa kike. chance ya kupata wa kuime 40%
Hizi hesabu ni kwa random mating.
 
Wanaume wana maisha mafupi ya kuishi duniani kuliko wanawake na ndo mana wanawake ni wengi
Pamoja na hayo, sio wanaune wote wanataka kuoa, wengine maisha yamewapiga, wengine washakuwa mateja, wengine mashoga, wengine magereza, sasa ukiangajia idadi wanawake wanaihitaji wanaume lazima wanawake watakuwa wengi sana sana.
 
Mambo ya sensa mjomba yamepitwa na wakati. Data za uzazi na vifo zinapatikana papo kwa papo! Kwa kimombo wanasema real time...sisi kwetu third eti mpaka mambo ya sensa! Watu kwetu wanakufa na kuzaliwa kiholela holela tu..zaidi ya 80% ya watanzania hawana vyeti vya kuzaliwa. 90% ya vifo bongo havitolewi vyeti! We endeleeni na sensa!
 
Back
Top Bottom